Hebu tuanzie hapa: Ben Saanane alitoka kwao saa mbili asubuhi ila hakurudi mpaka leo. Yupo hai? Kuna huu ujumbe aliotuambia

Ukitaka jamii ikuone jasiri kemea jambo lenye masirahi kwa jamii hata kwa kulia utaeleweka na siyo kubwabwaja maneno ya kumlenga mtu, YOU WILL DESTROYED
 
Mikono ya mfalme imejaaa damu na laana za watu hawa ndio zinamtesa kila alifanyalo anavurunda.
Siku akiamua kuoga hadharani ndio wataukumbuka ule ushauri wa Zitto kutumia kipengele kile cha katiba kwa ajili ya chek up ya uhakika wa dish kukaa vizuri
 
Haya mauaji ya kina Ben, Azory na wengine. Hayata kwenda na upepo bure bure tu.

Iwe miaka 5, 10, 15, 20 iyajo wahalifu/wahusika watafikishwa kizimbani na kufungwa maisha. Haijalishi vyeo walivyokua navyo au kiburi walichokua nacho.
Mbona damu ya chacha wangwe na mtikila yenyewe ilienda na haulalamiki,na hii itaeenda bure tu kama za hao wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni hatari,, africa viongoz hawataki wakosolewe,, utapotea familia yako ibakie na upweke bila ht kuona kaburi lako,, Ben alikosea kumshambuliaa Ngosha kiasi kile,japo Kweli hata sisi wengine anatukera lakini hatuvuki mipaka
Hakika mkuu.... angeweka critics zake kwenye mfumo wa swali then angetembea zake kuwaacha watu wajadili. Alionekana kumkamia binafsi mfalme, hakusoma alama za nyakati za mfalme wa sasa.

Bro nikikutukana wewe kuwa ni mlemavu wakati sio mlemavu, utakasirika. Lakini nikikutukana wewe ni mlemavu ilihali ni mlemavu kweli utakasirika zaidi. Utahisi nakudharau na kukudhihaki, Utatafuta namna ya kunikabili. Ndicho kilichotokea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ben Saanane alitumwa na Mbowe Afrika Kusini, kumbe ilikuwa janja ya kumuuwa ili kuficha wizi wa ruzuku ya chama.

Ni kama Chacha Wangwe tu alichofanyiwa

Mkuu hauna ushuru Mdomo, chunGa Ulimi usilete mgogoro
 
Mwenzenu Kubenea alisema Ben hajapotea yupo anakula bata na washkaj zake. Mkikosa kiki mnaanza porojo porojo....
 
Exctly
 
Unaonaje kama ukaisadia Polisi na uje na ushahidi uliokamilika Central Police Dar
 
.
rejea maiti 11 za wahamiaji haramu zilizookotwa barabarani majuzi kati- sifa za waongo na wach0chezi huwa ni kukosa kumbukumbu
Na zenyewe zilikutwa kwenye viroba? wewe kaa kimya kwa vile halijamkuta ndugu yako. Lakini habari za kutoka ndani ni kuwa miaka hii mitatu matukio haya ni makubwa kuliko awamu ya tatu na nne
 
Hamna neno hata moja na lenye kuleta mantiki kwa aliyoyazungunza mleta mada.

Bora ungekaa kimya tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupigwa risasi sio hoja,Hoja ni kupigwa Risasi 38.Hivi ulishawah fanya imagination ya tukio lenyewe na uangalie linawezekana au lah?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nafikiri hata kukusudia tu kumpiga mtu risasi iwe moja au elfu 1 ni kinyume cha ubinadamu, na utawala wa haki! Lakini hoja ama swali langu la awali kwa eltwege, lilikua; alichookiandika ni fact au amesukumwa na chuki yake dhidi ya CHADEMA, hizi risasi 38 wala sijaziongelea!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…