Hebu tuanzie hapa: Ben Saanane alitoka kwao saa mbili asubuhi ila hakurudi mpaka leo. Yupo hai? Kuna huu ujumbe aliotuambia

Hebu tuanzie hapa: Ben Saanane alitoka kwao saa mbili asubuhi ila hakurudi mpaka leo. Yupo hai? Kuna huu ujumbe aliotuambia

Kuandika siyo tatizo ila huenda mkono wako uliokusaidia kuandika haya ukawa na kilema kama syo mkono basi kutakuwa na tatizo kwenye kokonatia!!

Kwakuwa tunapenda vitu vya uongo uongo ,,umbea, uhayawani, na masuala ya kumkandamiza mwanadam mwenzako kwa mambo ambayo nafaham nafsi inakusuta ila kwa sabab tu ya Visa vya wanadam unaweza kuongea yote Haya!!

Sina Hakika kisheria kama hata ww unaweza ama mie ninaweza kuhoji ama kutaka uhalali Wa elimu yangu!! Taasisi husika nadhani ndo zina authority hiyo nikiamni kwamba they are legalised and recognized institutions!!

You /I sina hakika kbsa kwamba you /I can question my or ur education and expecting to get a genuine answer may be according to the context of inquiry!!

Mengine haya ni kukosa tu kufikiri na kuendeleza hla tu!!!

Haya hayajaanza leo hata mataifa makubwa na yenye uwezo mkubwa kijeshi na kiusalama haya yanatokea na tusivyo na akili tunaenda ati kushtaki utafiki ni Baba zetu!!! Au kuongoza taifa la watu zaidi ya mil 50 tunalinganisha na familia zetu ambazo zinawatoto watatu lakn hata kuzi control zatushinda sembuse mamilion haya ya watu!!!!!

Mtalalamika lkn wenzenu wanatenda!!! Mtashtuka kumekucha mnaendelea kulia lia ila muda huo wenzenu watakuwa wame win!!

Heri ya mwaka mpya!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesoma kama mara mbili hii komenti lakini sijaielewa au naweza sema ulichoandika hakielewek sana.
Ila nashukuru tunakubaliana jambo moja kwamba kuhoji elim ya mfalme ndio chanzo cha kupotezwa Ben. Mungu analipa kadri ya matendo yetu na malipi ya alichofanyiwa Ben yapo.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili ya mjinga huwa haina gumu sababu ya utegemezi na kutokua na mikakati ya kusimama mwenyewe
Uko sahihi coz according to Serengeti national Park kujitambua ni kuwa sawa kifikra kama walivyo nyumbu. Sishangai mawazo yenu coz ndio sifa kuu ya wakaz wa huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umejaribu kuhoji credibility ya Hiyo maada?Au kisa kimeandikwa unachotaka kusikia?Habar imeungwa ungwa na story za akina Roma,Lisu mara Arzory mara cocobeach imradi tu desa lipatikane. Ukifuatilia matukio yote aliyotaja humo unaona ni matukio yaliyojaa mikanganyiko.Hivi Roma alitekwa na nani na alifanya nini kiasi atekwe?Huko anakodai kupigwa hivi anajua mtu aliyetekwa na kupigwa huwa ktk mazingira gani?Walitekwa akina Ulimboka au kibanda Ukiangalia haya matukio unaona kweli hawa jamaa walitekwa na sababu za kutekwa zina mashiko.Hivi Roma alitekwa kwa Lipi?Asitekwe Ney wa mitego atekwe Roma?

Mtu analeta tukio la lisu kujenga hoja za Ben,Anakwambia Risasi 38.Hivi kwanini hatutaki kuumiza akili hata kidogo?Risasi 38 tunazijua au tunazisikia tu?Hili tukio la Lisu ni kwamba limevunja record ya dunia sasa na kwa ujumla ni kwamba ni binadamu pekee ambaye bado yuko hai na kila mfuko wake wa mwili uko sawa. Ukihoji inawezekanaje upigwe risasi 38 na bado uwe hai unaitwa buku 7 mara hijitambui nk.Lkn kwa tukio la Lisu ukisema utengeneze movie,ni wazi utapata movie ya kipumbavu haijawah tokea.

Huyo Ben kwamba hana ndugu au wazaz wenye uchungu sana kuliko wafuasi wa chadema?Mbona hamtaki kuhoji nguvu inayotumika na wazaz kuhusu mtoto wao kuwa ni ndogo sana?Ushawah potelewa na ndugu wewe?tena wa damu?Vipi reaction yake?

Sent using Jamii Forums mobile app
jamaa alisema anaichukia sana CHADEMA, leo amesema Mbowe alimtuma saa8 Sauzi na kwamba kafanyiwa ya Chacha Wangwe! Mi nimeuliza kama haya ni fact au ni ile chuki?!! Ila nakushukuru kwa hoja yako, ambapo unaamini Lisu kupigwa risasi ni sawa, pia Saa8 kupotea ni pouwa2!
 
Ben Saanane alitumwa na Mbowe Afrika Kusini, kumbe ilikuwa janja ya kumuuwa ili kuficha wizi wa ruzuku ya chama.

Ni kama Chacha Wangwe tu alichofanyiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
WE NI MUONGO INGEKUWA KWELI BASI HIYO INGEKUWA KARATA NZURI YA SERIKARI YETU YA CCM KUMALIZA MBOWE NA CHADEMA UMAARUFU WA KISIASA.
BY THE WAY SIKULAUMU,UNA POOR REASONING NA UMEAMUA KUCHAGUA UJINGA.
HONGERAKWA KUCHAGUA UJINGA.
 
Juzi niliona picha ya Rais Magufuli akimuombea mama yake mzazi ambaye amepatwa na maswahibu kama yaliyokatisha uhai wa binti yake ambaye alizikwa hivi karibuni.Nilipomuona nilijikuta nikiwaza sana!

Turudi kwenye mada. Ben Saanane mara ya mwisho kabla hajapotea alitoka kwao asubuhi kama kawaida kwenda kwenye mihangaiko ila hakurudi tena hadi leo. Siku chache baada ya kupotea namba yake ikaondolewa kwenye makundi yote ya WhatsApp naamini alikuwa akishurutishwa fanya hili...fanya hili...Siku baada ya siku hadi alipomaliza yote. Mbaya zaidi kuna ujumbe aliotuachia "Tuutafakari" ambapo alikuwa akilalamika kuwa yupo mtu mmoja alikuwa akimtumia ujumbe kila alipokuwa akiishambulia elimu ya mfalme kule kisiwani kwenye mitandao ya kijamii kuwa "mara umebakiza post tatu mara mbili" na mwisho kabisa akamwambia "Naamini sasa hutapost tena" Ujumbe zaidi aliambiwa "Baba yako atajilaumu sana kwa kukusomesha na sasa hatayafaidi matunda ya elimu yako,Ben wewe bado ni kijana mdogo sana kufa"

Ninachoamini ni kuwa dola inajua kabisa yaliyomkuta Ben. Kama sivyo basi wangeshachukua hatua stahiki. Emb fikiria watu wote waliokuwa wamekithiri kwa ukosoaji kipindi kile walifanywa nini? Tundu Lissu mbunge na mwanasiasa maarufu sana alishambuliwa kwa risasi nyingi mchana kweupe tena mbele ya makazi yenye ulinzi mkali na hakuna chochote mpaka leo. Njoo kwa kuke kwa ofisi za Fatuma Karume hadi bomu likarushwa kwenye ofisi zao. Kina Roma walivyopigwa kwenye majumba yasiyojulikana! Itakuwaje kwa Ben aliyekuwa naye amekithiri kwa ukosoaji?

Mimi naweza kufikiria haya na huenda moja wapo likawa sahihi
1. Huenda Ben kapigwa ban labda kwa kipindi fulani....Ila hapana, siku wakimtoa huko je? Si wataaibika?
2. Huenda walidhamiria kumpiga kisha wamuachie ila wakazidisha kipigo na ikawa bahati mbaya jumla!
3. Au moja kwa moja walimmaliza.
4. Au labda walimpa ofa ya kwenda nchi za watu kukaa tu huko ili asiwe tena anashambulia....Thubutuuu yani mfalme umkosoe, uwe mfuasi wa "mabeberu" halafu akupeleke kula bata?

Wazo namba 2 linanishawishi nikubaliane nalo zaidi kwakuwa naamini hata kina Roma Mkatoliki na wenzake walipokuwa wanapigwa kama ingetokea bahati mbaya iwe jumla basi nao wasingeonekana mpaka leo.Linanishawishi nikubaliane nalo kwakuwa wote waliokosoa walielekezwa kwenye mfumo huu wa kupotezwa ila baadhi yao Mola akawanusuru!

Kuna kile kipindi maiti zilikuwa zinaokotwa kiholela sana kule baharini mara mto Ruvu huku zikiwa zimefungwa kwenye viroba. Hiki ndicho kipindi kile cha kukamatwa watu kule MKIRU na kwenda kuona joto la motoni kule Stakishari! hiki ndicho kipindi kilichokuwa muda mfupi tu tangia Ben atoweke. Ndicho kipindi alichopotea Azory.........Mbona siku hizi zile maiti za "wahamiaji haramu" hazipo tena? Kwanini kipindi kile ziliibuka sana zikiwa zimefungwa kwenye mifuko huku sisi wengine tukielewa kuwa kule Stakishari kulikuwa na kwata la kufa mtu likiendelea? Hadi watu wakawa wanatambaa kama nyoka? Kwanini kwanini kwanini?

Ukweli wa haya naamini kuwa hautajulikana kama tutaujenga "mfumo mfalme wa kisiwa" kama tulivyotahadharishwa humu Jf......"Mfumo mfalme huyu" ni hatari kwa afya yetu hivyo tuchukue tahadhari mapema sana.
ANZA KUCHUKUA HIYO TAADHARI KWAKO WEWE MWENYEWE BINAFSI KWA KUTOKUWA "KIHEREHERE", SABABU BIBLIA INATUONYA KUWA "UCHUNGE SANA ULIMI KATIKA METHALI ZA MFALME SULEIMAN".

KUKAA KIMYA PIA NI BUSARA SANA SABABU UNAEPUKANA NA MENGI HATA AMBAYO HUKUTEGEMEA, EBU TAFAKARI KWA KINA SANA UKIJIULIZA.

JE NI BEN SAA NANE PEKEE NDIYE ALIYEKUWA ANAFAHAMU UPATIKANAJI WA "PHD" YA KIONGOZI WAKO KWA 100%?

JE BEN SAA NANE ANGEPUNGUKIWA KIPI HASA ASINGEULIZA HIYO PHD YA BABA WA TAIFA LAKO?

JE HATA ANGEJIBIWA ANGENUFAIKA NA LIPI HASA(ANGEONGEZEWA MSHAHARA, MADARAKA, HADHI YA ELIMU AU FAMILIA)???

JIFUNZENI KUKAA KIMYA ENYI KIZAZI CHA KIHEREHERE KWA KUJUA NA KUTAKA KUJUA KILA KITU SABABU NI HERI KUJIFUNZA KULIKO KUJUA KILA KITU KTK MAISHA.

UKIMYA NI BONGE LA HEKIMA WALA HAUKUSHUSHII HADHI YOYOTE KATIKA JAMII YOYOTE ILE DUNIANI.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
jamaa alisema anaichukia sana CHADEMA, leo amesema Mbowe alimtuma saa8 Sauzi na kwamba kafanyiwa ya Chacha Wangwe! Mi nimeuliza kama haya ni fact au ni ile chuki?!! Ila nakushukuru kwa hoja yako, ambapo unaamini Lisu kipigwa risasi ni sawa, pia Saa8 kupotea ni pouwa2!
Kupigwa risasi sio hoja,Hoja ni kupigwa Risasi 38.Hivi ulishawah fanya imagination ya tukio lenyewe na uangalie linawezekana au lah?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi niliona picha ya Rais Magufuli akimuombea mama yake mzazi ambaye amepatwa na maswahibu kama yaliyokatisha uhai wa binti yake ambaye alizikwa hivi karibuni.Nilipomuona nilijikuta nikiwaza sana!

Turudi kwenye mada. Ben Saanane mara ya mwisho kabla hajapotea alitoka kwao asubuhi kama kawaida kwenda kwenye mihangaiko ila hakurudi tena hadi leo. Siku chache baada ya kupotea namba yake ikaondolewa kwenye makundi yote ya WhatsApp naamini alikuwa akishurutishwa fanya hili...fanya hili...Siku baada ya siku hadi alipomaliza yote. Mbaya zaidi kuna ujumbe aliotuachia "Tuutafakari" ambapo alikuwa akilalamika kuwa yupo mtu mmoja alikuwa akimtumia ujumbe kila alipokuwa akiishambulia elimu ya mfalme kule kisiwani kwenye mitandao ya kijamii kuwa "mara umebakiza post tatu mara mbili" na mwisho kabisa akamwambia "Naamini sasa hutapost tena" Ujumbe zaidi aliambiwa "Baba yako atajilaumu sana kwa kukusomesha na sasa hatayafaidi matunda ya elimu yako,Ben wewe bado ni kijana mdogo sana kufa"

Ninachoamini ni kuwa dola inajua kabisa yaliyomkuta Ben. Kama sivyo basi wangeshachukua hatua stahiki. Emb fikiria watu wote waliokuwa wamekithiri kwa ukosoaji kipindi kile walifanywa nini? Tundu Lissu mbunge na mwanasiasa maarufu sana alishambuliwa kwa risasi nyingi mchana kweupe tena mbele ya makazi yenye ulinzi mkali na hakuna chochote mpaka leo. Njoo kwa kuke kwa ofisi za Fatuma Karume hadi bomu likarushwa kwenye ofisi zao. Kina Roma walivyopigwa kwenye majumba yasiyojulikana! Itakuwaje kwa Ben aliyekuwa naye amekithiri kwa ukosoaji?

Mimi naweza kufikiria haya na huenda moja wapo likawa sahihi
1. Huenda Ben kapigwa ban labda kwa kipindi fulani....Ila hapana, siku wakimtoa huko je? Si wataaibika?
2. Huenda walidhamiria kumpiga kisha wamuachie ila wakazidisha kipigo na ikawa bahati mbaya jumla!
3. Au moja kwa moja walimmaliza.
4. Au labda walimpa ofa ya kwenda nchi za watu kukaa tu huko ili asiwe tena anashambulia....Thubutuuu yani mfalme umkosoe, uwe mfuasi wa "mabeberu" halafu akupeleke kula bata?

Wazo namba 2 linanishawishi nikubaliane nalo zaidi kwakuwa naamini hata kina Roma Mkatoliki na wenzake walipokuwa wanapigwa kama ingetokea bahati mbaya iwe jumla basi nao wasingeonekana mpaka leo.Linanishawishi nikubaliane nalo kwakuwa wote waliokosoa walielekezwa kwenye mfumo huu wa kupotezwa ila baadhi yao Mola akawanusuru!

Kuna kile kipindi maiti zilikuwa zinaokotwa kiholela sana kule baharini mara mto Ruvu huku zikiwa zimefungwa kwenye viroba. Hiki ndicho kipindi kile cha kukamatwa watu kule MKIRU na kwenda kuona joto la motoni kule Stakishari! hiki ndicho kipindi kilichokuwa muda mfupi tu tangia Ben atoweke. Ndicho kipindi alichopotea Azory.........Mbona siku hizi zile maiti za "wahamiaji haramu" hazipo tena? Kwanini kipindi kile ziliibuka sana zikiwa zimefungwa kwenye mifuko huku sisi wengine tukielewa kuwa kule Stakishari kulikuwa na kwata la kufa mtu likiendelea? Hadi watu wakawa wanatambaa kama nyoka? Kwanini kwanini kwanini?

Ukweli wa haya naamini kuwa hautajulikana kama tutaujenga "mfumo mfalme wa kisiwa" kama tulivyotahadharishwa humu Jf......"Mfumo mfalme huyu" ni hatari kwa afya yetu hivyo tuchukue tahadhari mapema sana.
Huwa nasikitika sana kila nimwonapo mfalme kanisani akijitia unyenyekevu bandia na kushiriki sakramenti takatifu, wakati ameangamiza roho nyingi zisizo na hatia, muuaji anashiriki mambo matakatifu!
 
Hizi mada ni za kupima upepo na kutia wahusika tumbo joto, naamini muda si mrefu watu watamwaga mboga na ugali pamoja.

Mkuu kuna viongozi duniani tumeshuhudia wakifungwa MAISHA kwa mauaji waliofanya/waliosababisha/waliochochea kwa zaidi ya miaka 15 - 25 iliopita.

Mfano,

Aliekua Rais Wa Egypt (Mh Hosni Mubarak), alipigwa STROKE ila wanaume walimpeleka mahakamani hivo hivo, akiwa kalala kitandani hajiwezi, wanaume waligoma kusubiri apate hata NAFUU YA AFYA YAKE. Kisha alisomewa mashitaka huku kalala taabani (baada ya muda case kuendelea ndio akapata nafuu ya kuanza kukaa kwenye WHEELCHAIR). Alijisahau sana wakati wa madaraka yake, ila leo hii anaimba MABATA MADOGO MADOGO kwa kichina rumande.
1317396-1003488542.jpg


Maji hufuata mkondo wake. Tanzania sidhani kama tutashindwa kuitafuta haki hio pia kwaajili ya FAMILIA, MARAFIKI, JAMAA wa wahanga waliopotea na kuuliwa.

Acha watu WASIOJULIKANA wajidanganye na kujisahaulisha tu. Ila ipo siku watashangaa na roho zao.

# Siku baba atakapo mkana mwana, na mwana atakapo mkana mzazi.[emoji18] [emoji53] [emoji52]
 
Juzi niliona picha ya Rais Magufuli akimuombea mama yake mzazi ambaye amepatwa na maswahibu kama yaliyokatisha uhai wa binti yake ambaye alizikwa hivi karibuni.Nilipomuona nilijikuta nikiwaza sana!

Turudi kwenye mada. Ben Saanane mara ya mwisho kabla hajapotea alitoka kwao asubuhi kama kawaida kwenda kwenye mihangaiko ila hakurudi tena hadi leo. Siku chache baada ya kupotea namba yake ikaondolewa kwenye makundi yote ya WhatsApp naamini alikuwa akishurutishwa fanya hili...fanya hili...Siku baada ya siku hadi alipomaliza yote. Mbaya zaidi kuna ujumbe aliotuachia "Tuutafakari" ambapo alikuwa akilalamika kuwa yupo mtu mmoja alikuwa akimtumia ujumbe kila alipokuwa akiishambulia elimu ya mfalme kule kisiwani kwenye mitandao ya kijamii kuwa "mara umebakiza post tatu mara mbili" na mwisho kabisa akamwambia "Naamini sasa hutapost tena" Ujumbe zaidi aliambiwa "Baba yako atajilaumu sana kwa kukusomesha na sasa hatayafaidi matunda ya elimu yako,Ben wewe bado ni kijana mdogo sana kufa"

Ninachoamini ni kuwa dola inajua kabisa yaliyomkuta Ben. Kama sivyo basi wangeshachukua hatua stahiki. Emb fikiria watu wote waliokuwa wamekithiri kwa ukosoaji kipindi kile walifanywa nini? Tundu Lissu mbunge na mwanasiasa maarufu sana alishambuliwa kwa risasi nyingi mchana kweupe tena mbele ya makazi yenye ulinzi mkali na hakuna chochote mpaka leo. Njoo kwa kuke kwa ofisi za Fatuma Karume hadi bomu likarushwa kwenye ofisi zao. Kina Roma walivyopigwa kwenye majumba yasiyojulikana! Itakuwaje kwa Ben aliyekuwa naye amekithiri kwa ukosoaji?

Mimi naweza kufikiria haya na huenda moja wapo likawa sahihi
1. Huenda Ben kapigwa ban labda kwa kipindi fulani....Ila hapana, siku wakimtoa huko je? Si wataaibika?
2. Huenda walidhamiria kumpiga kisha wamuachie ila wakazidisha kipigo na ikawa bahati mbaya jumla!
3. Au moja kwa moja walimmaliza.
4. Au labda walimpa ofa ya kwenda nchi za watu kukaa tu huko ili asiwe tena anashambulia....Thubutuuu yani mfalme umkosoe, uwe mfuasi wa "mabeberu" halafu akupeleke kula bata?

Wazo namba 2 linanishawishi nikubaliane nalo zaidi kwakuwa naamini hata kina Roma Mkatoliki na wenzake walipokuwa wanapigwa kama ingetokea bahati mbaya iwe jumla basi nao wasingeonekana mpaka leo.Linanishawishi nikubaliane nalo kwakuwa wote waliokosoa walielekezwa kwenye mfumo huu wa kupotezwa ila baadhi yao Mola akawanusuru!

Kuna kile kipindi maiti zilikuwa zinaokotwa kiholela sana kule baharini mara mto Ruvu huku zikiwa zimefungwa kwenye viroba. Hiki ndicho kipindi kile cha kukamatwa watu kule MKIRU na kwenda kuona joto la motoni kule Stakishari! hiki ndicho kipindi kilichokuwa muda mfupi tu tangia Ben atoweke. Ndicho kipindi alichopotea Azory.........Mbona siku hizi zile maiti za "wahamiaji haramu" hazipo tena? Kwanini kipindi kile ziliibuka sana zikiwa zimefungwa kwenye mifuko huku sisi wengine tukielewa kuwa kule Stakishari kulikuwa na kwata la kufa mtu likiendelea? Hadi watu wakawa wanatambaa kama nyoka? Kwanini kwanini kwanini?

Ukweli wa haya naamini kuwa hautajulikana kama tutaujenga "mfumo mfalme wa kisiwa" kama tulivyotahadharishwa humu Jf......"Mfumo mfalme huyu" ni hatari kwa afya yetu hivyo tuchukue tahadhari mapema sana.
Ulivyoandika ni kama tayari unafahamu nani alimfanyia ubaya huo. Lakini kwangu mimi naomba kufahamishwa undani wa tukio na hatua za familia zilizochukuliwa.

Naomba kufahamu kama familia ilitoa taarifa ya kupotea kwake. Kama familia ilitoa taarifa, naomba kufahamu kama inafuatilia hatma ya uchunguzi wa Polisi. Haya ni muhimu bila kujali hisia zako juu ya kutoweka kwake. Baya zaidi ni kutaka msaada wa serikali na wakati huo huo unaelekeza kidole kwa serikali. Inafanya zoezi zima kuwa ni gumu. Tukumbuke kwamba Huyo tunamfahamu hapa JF na tunadhani hiyo inatosha kulifanya taifa zima kumtafuta, lakini kuna wengi wametoweka vijijini bila sisi kufahamu.

NOTE: Ktk zozana hii nimeona maadiko yakisema mtu huyo alikuwa na wadhifa ndani ya CHADEMA, je, Viongozi wa CHADEMA wameonyesha kuhangaikia jambo hilo, au ni mbele kwa mbele hayo yamepita? CHADEMA kama chama kinasema nini juu ya hilo. Tusizozane wala kutukanana kwa siasa maana kupotea kwa mtu huyu kuna machungu kwa wazazi kuliko CHADEMA.
 
Na ukaendelea kusavaivu tu,, mambo mengine inabid ustumie akili kuyaelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi kuna mambo ukitumia AKILI utapata shida sana.Tuendelee kuimba jamaa alipigwa risasi 38 na kati ya hizo nyingine ilitua karibu na spinal cord.Ukijiuliza kaz ya spinal cord unaweza pata uchizi. Kiufupi sema tu jamaa yuko mzima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi kuna mambo ukitumia AKILI utapata shida sana.Tuendelee kuimba jamaa alipigwa risasi 38 na kati ya hizo nyingine ilitua karibu na spinal cord.Ukijiuliza kaz ya spinal cord unaweza pata uchizi. Kiufupi sema tu jamaa yuko mzima

Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau dreva yeye hakujeruhiwa pamoja na idadi ya risasi zote wanazodai walishambuliwa nazo wakiwa pamoja kwa gari zikitokea nje,,,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom