Hebu tuanzie hapa: Ben Saanane alitoka kwao saa mbili asubuhi ila hakurudi mpaka leo. Yupo hai? Kuna huu ujumbe aliotuambia

Hebu tuanzie hapa: Ben Saanane alitoka kwao saa mbili asubuhi ila hakurudi mpaka leo. Yupo hai? Kuna huu ujumbe aliotuambia

Juzi niliona picha ya Rais Magufuli akimuombea mama yake mzazi ambaye amepatwa na maswahibu kama yaliyokatisha uhai wa binti yake ambaye alizikwa hivi karibuni.Nilipomuona nilijikuta nikiwaza sana!

Turudi kwenye mada. Ben Saanane mara ya mwisho kabla hajapotea alitoka kwao asubuhi kama kawaida kwenda kwenye mihangaiko ila hakurudi tena hadi leo. Siku chache baada ya kupotea namba yake ikaondolewa kwenye makundi yote ya WhatsApp naamini alikuwa akishurutishwa fanya hili...fanya hili...Siku baada ya siku hadi alipomaliza yote. Mbaya zaidi kuna ujumbe aliotuachia "Tuutafakari" ambapo alikuwa akilalamika kuwa yupo mtu mmoja alikuwa akimtumia ujumbe kila alipokuwa akiishambulia elimu ya mfalme kule kisiwani kwenye mitandao ya kijamii kuwa "mara umebakiza post tatu mara mbili" na mwisho kabisa akamwambia "Naamini sasa hutapost tena" Ujumbe zaidi aliambiwa "Baba yako atajilaumu sana kwa kukusomesha na sasa hatayafaidi matunda ya elimu yako,Ben wewe bado ni kijana mdogo sana kufa"

Ninachoamini ni kuwa dola inajua kabisa yaliyomkuta Ben. Kama sivyo basi wangeshachukua hatua stahiki. Emb fikiria watu wote waliokuwa wamekithiri kwa ukosoaji kipindi kile walifanywa nini? Tundu Lissu mbunge na mwanasiasa maarufu sana alishambuliwa kwa risasi nyingi mchana kweupe tena mbele ya makazi yenye ulinzi mkali na hakuna chochote mpaka leo. Njoo kwa kuke kwa ofisi za Fatuma Karume hadi bomu likarushwa kwenye ofisi zao. Kina Roma walivyopigwa kwenye majumba yasiyojulikana! Itakuwaje kwa Ben aliyekuwa naye amekithiri kwa ukosoaji?

Mimi naweza kufikiria haya na huenda moja wapo likawa sahihi
1. Huenda Ben kapigwa ban labda kwa kipindi fulani....Ila hapana, siku wakimtoa huko je? Si wataaibika?
2. Huenda walidhamiria kumpiga kisha wamuachie ila wakazidisha kipigo na ikawa bahati mbaya jumla!
3. Au moja kwa moja walimmaliza.
4. Au labda walimpa ofa ya kwenda nchi za watu kukaa tu huko ili asiwe tena anashambulia....Thubutuuu yani mfalme umkosoe, uwe mfuasi wa "mabeberu" halafu akupeleke kula bata?

Wazo namba 2 linanishawishi nikubaliane nalo zaidi kwakuwa naamini hata kina Roma Mkatoliki na wenzake walipokuwa wanapigwa kama ingetokea bahati mbaya iwe jumla basi nao wasingeonekana mpaka leo.Linanishawishi nikubaliane nalo kwakuwa wote waliokosoa walielekezwa kwenye mfumo huu wa kupotezwa ila baadhi yao Mola akawanusuru!

Kuna kile kipindi maiti zilikuwa zinaokotwa kiholela sana kule baharini mara mto Ruvu huku zikiwa zimefungwa kwenye viroba. Hiki ndicho kipindi kile cha kukamatwa watu kule MKIRU na kwenda kuona joto la motoni kule Stakishari! hiki ndicho kipindi kilichokuwa muda mfupi tu tangia Ben atoweke. Ndicho kipindi alichopotea Azory.........Mbona siku hizi zile maiti za "wahamiaji haramu" hazipo tena? Kwanini kipindi kile ziliibuka sana zikiwa zimefungwa kwenye mifuko huku sisi wengine tukielewa kuwa kule Stakishari kulikuwa na kwata la kufa mtu likiendelea? Hadi watu wakawa wanatambaa kama nyoka? Kwanini kwanini kwanini?

Ukweli wa haya naamini kuwa hautajulikana kama tutaujenga "mfumo mfalme wa kisiwa" kama tulivyotahadharishwa humu Jf......"Mfumo mfalme huyu" ni hatari kwa afya yetu hivyo tuchukue tahadhari mapema sana.
Umenikumbusha mkasa wa Meya wa ubungo namna watu fulani wa hapo Ufipa walivyotaka kumtenda!
 
Mkuu kuna viongozi duniani tumeshuhudia wakifungwa MAISHA kwa mauaji waliofanya/waliosababisha/waliochochea kwa zaidi ya miaka 15 - 25 iliopita.

Mfano,

Aliekua Rais Wa Egypt (Mh Hosni Mubarak), alipigwa STROKE ila wanaume walimpeleka mahakamani hivo hivo, akiwa kalala kitandani hajiwezi, wanaume waligoma kusubiri apate hata NAFUU YA AFYA YAKE. Kisha alisomewa mashitaka huku kalala taabani (baada ya muda case kuendelea ndio akapata nafuu ya kuanza kukaa kwenye WHEELCHAIR). Alijisahau sana wakati wa madaraka yake, ila leo hii anaimba MABATA MADOGO MADOGO kwa kichina rumande.View attachment 983537

Maji hufuata mkondo wake. Tanzania sidhani kama tutashindwa kuitafuta haki hio pia kwaajili ya FAMILIA, MARAFIKI, JAMAA wa wahanga waliopotea na kuuliwa.

Acha watu WASIOJULIKANA wajidanganye na kujisahaulisha tu. Ila ipo siku watashangaa na roho zao.

# Siku baba atakapo mkana mwana, na mwana atakapo mkana mzazi.[emoji18] [emoji53] [emoji52]
Hata wasiojulikana wa yayha jamehi Baro kawasukuma ndani wote wanajibu historia,huwezi ikimbia historia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umejaribu kuhoji credibility ya Hiyo maada?Au kisa kimeandikwa unachotaka kusikia?Habar imeungwa ungwa na story za akina Roma,Lisu mara Arzory mara cocobeach imradi tu desa lipatikane. Ukifuatilia matukio yote aliyotaja humo unaona ni matukio yaliyojaa mikanganyiko.Hivi Roma alitekwa na nani na alifanya nini kiasi atekwe?Huko anakodai kupigwa hivi anajua mtu aliyetekwa na kupigwa huwa ktk mazingira gani?Walitekwa akina Ulimboka au kibanda Ukiangalia haya matukio unaona kweli hawa jamaa walitekwa na sababu za kutekwa zina mashiko.Hivi Roma alitekwa kwa Lipi?Asitekwe Ney wa mitego atekwe Roma?

Mtu analeta tukio la lisu kujenga hoja za Ben,Anakwambia Risasi 38.Hivi kwanini hatutaki kuumiza akili hata kidogo?Risasi 38 tunazijua au tunazisikia tu?Hili tukio la Lisu ni kwamba limevunja record ya dunia sasa na kwa ujumla ni kwamba ni binadamu pekee ambaye bado yuko hai na kila mfuko wake wa mwili uko sawa. Ukihoji inawezekanaje upigwe risasi 38 na bado uwe hai unaitwa buku 7 mara hijitambui nk.Lkn kwa tukio la Lisu ukisema utengeneze movie,ni wazi utapata movie ya kipumbavu haijawah tokea.

Huyo Ben kwamba hana ndugu au wazaz wenye uchungu sana kuliko wafuasi wa chadema?Mbona hamtaki kuhoji nguvu inayotumika na wazaz kuhusu mtoto wao kuwa ni ndogo sana?Ushawah potelewa na ndugu wewe?tena wa damu?Vipi reaction yake?

Sent using Jamii Forums mobile app
Uandishi wako tu, unaonyesha kiwango chako cha elimu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuandika siyo tatizo ila huenda mkono wako uliokusaidia kuandika haya ukawa na kilema kama syo mkono basi kutakuwa na tatizo kwenye kokonatia!!

Kwakuwa tunapenda vitu vya uongo uongo ,,umbea, uhayawani, na masuala ya kumkandamiza mwanadam mwenzako kwa mambo ambayo nafaham nafsi inakusuta ila kwa sabab tu ya Visa vya wanadam unaweza kuongea yote Haya!!

Sina Hakika kisheria kama hata ww unaweza ama mie ninaweza kuhoji ama kutaka uhalali Wa elimu yangu!! Taasisi husika nadhani ndo zina authority hiyo nikiamni kwamba they are legalised and recognized institutions!!

You /I sina hakika kbsa kwamba you /I can question my or ur education and expecting to get a genuine answer may be according to the context of inquiry!!

Mengine haya ni kukosa tu kufikiri na kuendeleza hla tu!!!

Haya hayajaanza leo hata mataifa makubwa na yenye uwezo mkubwa kijeshi na kiusalama haya yanatokea na tusivyo na akili tunaenda ati kushtaki utafiki ni Baba zetu!!! Au kuongoza taifa la watu zaidi ya mil 50 tunalinganisha na familia zetu ambazo zinawatoto watatu lakn hata kuzi control zatushinda sembuse mamilion haya ya watu!!!!!

Mtalalamika lkn wenzenu wanatenda!!! Mtashtuka kumekucha mnaendelea kulia lia ila muda huo wenzenu watakuwa wame win!!

Heri ya mwaka mpya!!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Mawazo ya kitumwa kabisa haya.. Wewe ni mtumwa.
 
Nilikua mmoja wa watu walio pendezwa (like) post au jumbe za Ben Rabiu wa saanane huko Facebook. Hakika kijana alitiririka kwenye ukosoaji hasa ule uliohusu elimu ya juu ya bwana mkubwa.
Japokua nili like zile post, moyoni nilisikita juu ya kile kitachompata ben, na kweli baada ya mda si mrefu yalitokea yale ambayo wengi tuliyahisi.

Naionea huruma sana familia ya mzee saanane, najua uchungu walionao hakuna mwenye uchungu kama walionao wao. Ben alishangiliwa na weng Facebook lakini huko aliko analia peke yake. Chama alichokipigania kipo na ruzuku mwenyekiti anasaini.

Makamanda mtandaoni still wapo, wanasogeza maisha kimtindo kupitia chama. Ben alitumika tu.....
Kuna dogo mwingine anakuja kwa kasi sana anajiita Mdude.... kila nikiona picha yake mitandaoni natamani nimuambie kitu, siasa za bongo ni ngumu sana



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuandika siyo tatizo ila huenda mkono wako uliokusaidia kuandika haya ukawa na kilema kama syo mkono basi kutakuwa na tatizo kwenye kokonatia!!

Kwakuwa tunapenda vitu vya uongo uongo ,,umbea, uhayawani, na masuala ya kumkandamiza mwanadam mwenzako kwa mambo ambayo nafaham nafsi inakusuta ila kwa sabab tu ya Visa vya wanadam unaweza kuongea yote Haya!!

Sina Hakika kisheria kama hata ww unaweza ama mie ninaweza kuhoji ama kutaka uhalali Wa elimu yangu!! Taasisi husika nadhani ndo zina authority hiyo nikiamni kwamba they are legalised and recognized institutions!!

You /I sina hakika kbsa kwamba you /I can question my or ur education and expecting to get a genuine answer may be according to the context of inquiry!!

Mengine haya ni kukosa tu kufikiri na kuendeleza hla tu!!!

Haya hayajaanza leo hata mataifa makubwa na yenye uwezo mkubwa kijeshi na kiusalama haya yanatokea na tusivyo na akili tunaenda ati kushtaki utafiki ni Baba zetu!!! Au kuongoza taifa la watu zaidi ya mil 50 tunalinganisha na familia zetu ambazo zinawatoto watatu lakn hata kuzi control zatushinda sembuse mamilion haya ya watu!!!!!

Mtalalamika lkn wenzenu wanatenda!!! Mtashtuka kumekucha mnaendelea kulia lia ila muda huo wenzenu watakuwa wame win!!

Heri ya mwaka mpya!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
unaumwa kwani yakitokea ndio yasisemwe,nadhani haya yanapaswa kumtokea mzazi mwenzio au mtu umpendae sana.Binaadamu ataendelea kuwa binaadam na utu utabaki kuwa utu.SOTE tutakufa mazee.
 
Juzi niliona picha ya Rais Magufuli akimuombea mama yake mzazi ambaye amepatwa na maswahibu kama yaliyokatisha uhai wa binti yake ambaye alizikwa hivi karibuni.Nilipomuona nilijikuta nikiwaza sana!

Turudi kwenye mada. Ben Saanane mara ya mwisho kabla hajapotea alitoka kwao asubuhi kama kawaida kwenda kwenye mihangaiko ila hakurudi tena hadi leo. Siku chache baada ya kupotea namba yake ikaondolewa kwenye makundi yote ya WhatsApp naamini alikuwa akishurutishwa fanya hili...fanya hili...Siku baada ya siku hadi alipomaliza yote. Mbaya zaidi kuna ujumbe aliotuachia "Tuutafakari" ambapo alikuwa akilalamika kuwa yupo mtu mmoja alikuwa akimtumia ujumbe kila alipokuwa akiishambulia elimu ya mfalme kule kisiwani kwenye mitandao ya kijamii kuwa "mara umebakiza post tatu mara mbili" na mwisho kabisa akamwambia "Naamini sasa hutapost tena" Ujumbe zaidi aliambiwa "Baba yako atajilaumu sana kwa kukusomesha na sasa hatayafaidi matunda ya elimu yako,Ben wewe bado ni kijana mdogo sana kufa"

Ninachoamini ni kuwa dola inajua kabisa yaliyomkuta Ben. Kama sivyo basi wangeshachukua hatua stahiki. Emb fikiria watu wote waliokuwa wamekithiri kwa ukosoaji kipindi kile walifanywa nini? Tundu Lissu mbunge na mwanasiasa maarufu sana alishambuliwa kwa risasi nyingi mchana kweupe tena mbele ya makazi yenye ulinzi mkali na hakuna chochote mpaka leo. Njoo kwa kuke kwa ofisi za Fatuma Karume hadi bomu likarushwa kwenye ofisi zao. Kina Roma walivyopigwa kwenye majumba yasiyojulikana! Itakuwaje kwa Ben aliyekuwa naye amekithiri kwa ukosoaji?

Mimi naweza kufikiria haya na huenda moja wapo likawa sahihi
1. Huenda Ben kapigwa ban labda kwa kipindi fulani....Ila hapana, siku wakimtoa huko je? Si wataaibika?
2. Huenda walidhamiria kumpiga kisha wamuachie ila wakazidisha kipigo na ikawa bahati mbaya jumla!
3. Au moja kwa moja walimmaliza.
4. Au labda walimpa ofa ya kwenda nchi za watu kukaa tu huko ili asiwe tena anashambulia....Thubutuuu yani mfalme umkosoe, uwe mfuasi wa "mabeberu" halafu akupeleke kula bata?

Wazo namba 2 linanishawishi nikubaliane nalo zaidi kwakuwa naamini hata kina Roma Mkatoliki na wenzake walipokuwa wanapigwa kama ingetokea bahati mbaya iwe jumla basi nao wasingeonekana mpaka leo.Linanishawishi nikubaliane nalo kwakuwa wote waliokosoa walielekezwa kwenye mfumo huu wa kupotezwa ila baadhi yao Mola akawanusuru!

Kuna kile kipindi maiti zilikuwa zinaokotwa kiholela sana kule baharini mara mto Ruvu huku zikiwa zimefungwa kwenye viroba. Hiki ndicho kipindi kile cha kukamatwa watu kule MKIRU na kwenda kuona joto la motoni kule Stakishari! hiki ndicho kipindi kilichokuwa muda mfupi tu tangia Ben atoweke. Ndicho kipindi alichopotea Azory.........Mbona siku hizi zile maiti za "wahamiaji haramu" hazipo tena? Kwanini kipindi kile ziliibuka sana zikiwa zimefungwa kwenye mifuko huku sisi wengine tukielewa kuwa kule Stakishari kulikuwa na kwata la kufa mtu likiendelea? Hadi watu wakawa wanatambaa kama nyoka? Kwanini kwanini kwanini?

Ukweli wa haya naamini kuwa hautajulikana kama tutaujenga "mfumo mfalme wa kisiwa" kama tulivyotahadharishwa humu Jf......"Mfumo mfalme huyu" ni hatari kwa afya yetu hivyo tuchukue tahadhari mapema sana.
Mkuu watu wala hawaenyeshwi stakishari,, ukiambiwa wala hutoamini,, na uwezi jua,, ila duniani kila nch huwa na vikosi kazi maalum kwajili y'a mambo kama hayo,,
Hakuna serikali duniani ambayo haifanyi hayo,, japo Kweli inauma, ila ndio dunia ilivyo,, siumeona nch ya kiislamu ilivyomfanya aliekuwa anamchafua MBs.

Mungu kila mtu amempangia atakufa kwa mtindo upi, suala là Ben ipo siku kila kitu kitakuwa wazi,, Mungu atafichua kila kitu,

Ila marehemu nae alikuwa n'a ujasiri,, kumdhalilisha mkuu wa kaya juu ya elimu yake ,na alimshikia bango kweli,, haikuwa poa, aswa kwa nchi zetu za africa,, .
 
Nilikua mmoja wa watu walio pendezwa (like) post au jumbe za Ben Rabiu wa saanane huko Facebook. Hakika kijana alitiririka kwenye ukosoaji hasa ule uliohusu elimu ya juu ya bwana mkubwa.
Japokua nili like zile post, moyoni nilisikita juu ya kile kitachompata ben, na kweli baada ya mda si mrefu yalitokea yale ambayo wengi tuliyahisi.

Naionea huruma sana familia ya mzee saanane, najua uchungu walionao hakuna mwenye uchungu kama walionao wao. Ben alishangiliwa na weng Facebook lakini huko aliko analia peke yake. Chama alichokipigania kipo na ruzuku mwenyekiti anasaini.

Makamanda mtandaoni still wapo, wanasogeza maisha kimtindo kupitia chama. Ben alitumika tu.....
Kuna dogo mwingine anakuja kwa kasi sana anajiita Mdude.... kila nikiona picha yake mitandaoni natamani nimuambie kitu, siasa za bongo ni ngumu sana



Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hatari,, africa viongoz hawataki wakosolewe,, utapotea familia yako ibakie na upweke bila ht kuona kaburi lako,, Ben alikosea kumshambuliaa Ngosha kiasi kile,japo Kweli hata sisi wengine anatukera lakini hatuvuki mipaka
 
Back
Top Bottom