Hebu tuanzie hapa: Ben Saanane alitoka kwao saa mbili asubuhi ila hakurudi mpaka leo. Yupo hai? Kuna huu ujumbe aliotuambia

Hebu tuanzie hapa: Ben Saanane alitoka kwao saa mbili asubuhi ila hakurudi mpaka leo. Yupo hai? Kuna huu ujumbe aliotuambia

Juzi niliona picha ya Rais Magufuli akimuombea mama yake mzazi ambaye amepatwa na maswahibu kama yaliyokatisha uhai wa binti yake ambaye alizikwa hivi karibuni.Nilipomuona nilijikuta nikiwaza sana!

Turudi kwenye mada. Ben Saanane mara ya mwisho kabla hajapotea alitoka kwao asubuhi kama kawaida kwenda kwenye mihangaiko ila hakurudi tena hadi leo. Siku chache baada ya kupotea namba yake ikaondolewa kwenye makundi yote ya WhatsApp naamini alikuwa akishurutishwa fanya hili...fanya hili...Siku baada ya siku hadi alipomaliza yote. Mbaya zaidi kuna ujumbe aliotuachia "Tuutafakari" ambapo alikuwa akilalamika kuwa yupo mtu mmoja alikuwa akimtumia ujumbe kila alipokuwa akiishambulia elimu ya mfalme kule kisiwani kwenye mitandao ya kijamii kuwa "mara umebakiza post tatu mara mbili" na mwisho kabisa akamwambia "Naamini sasa hutapost tena" Ujumbe zaidi aliambiwa "Baba yako atajilaumu sana kwa kukusomesha na sasa hatayafaidi matunda ya elimu yako,Ben wewe bado ni kijana mdogo sana kufa"

Ninachoamini ni kuwa dola inajua kabisa yaliyomkuta Ben. Kama sivyo basi wangeshachukua hatua stahiki. Emb fikiria watu wote waliokuwa wamekithiri kwa ukosoaji kipindi kile walifanywa nini? Tundu Lissu mbunge na mwanasiasa maarufu sana alishambuliwa kwa risasi nyingi mchana kweupe tena mbele ya makazi yenye ulinzi mkali na hakuna chochote mpaka leo. Njoo kwa kuke kwa ofisi za Fatuma Karume hadi bomu likarushwa kwenye ofisi zao. Kina Roma walivyopigwa kwenye majumba yasiyojulikana! Itakuwaje kwa Ben aliyekuwa naye amekithiri kwa ukosoaji?

Mimi naweza kufikiria haya na huenda moja wapo likawa sahihi
1. Huenda Ben kapigwa ban labda kwa kipindi fulani....Ila hapana, siku wakimtoa huko je? Si wataaibika?
2. Huenda walidhamiria kumpiga kisha wamuachie ila wakazidisha kipigo na ikawa bahati mbaya jumla!
3. Au moja kwa moja walimmaliza.
4. Au labda walimpa ofa ya kwenda nchi za watu kukaa tu huko ili asiwe tena anashambulia....Thubutuuu yani mfalme umkosoe, uwe mfuasi wa "mabeberu" halafu akupeleke kula bata?

Wazo namba 2 linanishawishi nikubaliane nalo zaidi kwakuwa naamini hata kina Roma Mkatoliki na wenzake walipokuwa wanapigwa kama ingetokea bahati mbaya iwe jumla basi nao wasingeonekana mpaka leo.Linanishawishi nikubaliane nalo kwakuwa wote waliokosoa walielekezwa kwenye mfumo huu wa kupotezwa ila baadhi yao Mola akawanusuru!

Kuna kile kipindi maiti zilikuwa zinaokotwa kiholela sana kule baharini mara mto Ruvu huku zikiwa zimefungwa kwenye viroba. Hiki ndicho kipindi kile cha kukamatwa watu kule MKIRU na kwenda kuona joto la motoni kule Stakishari! hiki ndicho kipindi kilichokuwa muda mfupi tu tangia Ben atoweke. Ndicho kipindi alichopotea Azory.........Mbona siku hizi zile maiti za "wahamiaji haramu" hazipo tena? Kwanini kipindi kile ziliibuka sana zikiwa zimefungwa kwenye mifuko huku sisi wengine tukielewa kuwa kule Stakishari kulikuwa na kwata la kufa mtu likiendelea? Hadi watu wakawa wanatambaa kama nyoka? Kwanini kwanini kwanini?

Ukweli wa haya naamini kuwa hautajulikana kama tutaujenga "mfumo mfalme wa kisiwa" kama tulivyotahadharishwa humu Jf......"Mfumo mfalme huyu" ni hatari kwa afya yetu hivyo tuchukue tahadhari mapema sana.
Yaani mie natamani kama hawajakamalizia, wakamalizie kabisa, kafie mbele huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ANZA KUCHUKUA HIYO TAADHARI KWAKO WEWE MWENYEWE BINAFSI KWA KUTOKUWA "KIHEREHERE", SABABU BIBLIA INATUONYA KUWA "UCHUNGE SANA ULIMI KATIKA METHALI ZA MFALME SULEIMAN".

KUKAA KIMYA PIA NI BUSARA SANA SABABU UNAEPUKANA NA MENGI HATA AMBAYO HUKUTEGEMEA, EBU TAFAKARI KWA KINA SANA UKIJIULIZA.

JE NI BEN SAA NANE PEKEE NDIYE ALIYEKUWA ANAFAHAMU UPATIKANAJI WA "PHD" YA KIONGOZI WAKO KWA 100%?

JE BEN SAA NANE ANGEPUNGUKIWA KIPI HASA ASINGEULIZA HIYO PHD YA BABA WA TAIFA LAKO?

JE HATA ANGEJIBIWA ANGENUFAIKA NA LIPI HASA(ANGEONGEZEWA MSHAHARA, MADARAKA, HADHI YA ELIMU AU FAMILIA)???

JIFUNZENI KUKAA KIMYA ENYI KIZAZI CHA KIHEREHERE KWA KUJUA NA KUTAKA KUJUA KILA KITU SABABU NI HERI KUJIFUNZA KULIKO KUJUA KILA KITU KTK MAISHA.

UKIMYA NI BONGE LA HEKIMA WALA HAUKUSHUSHII HADHI YOYOTE KATIKA JAMII YOYOTE ILE DUNIANI.





Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu umeongea maneno ya msingi sana.

Bahati mbaya vijana wengi hawapendi kusikia haya maneno wakiamini ni mashujaa,wanaweza waka tu offer chochot kipya ili kujijengea heshima na msingi imara katika safari yao ya kisiasa.

Leo hii tunapaza sauti namna bora hata ya kukosoa utawala kwa manufaa ya taifa kwa ujumla,watu hawaelewi,wanajisahau kwamba hata hii jamii forums tuliishaikosa kwa mwezi mzima kisa tu watu walichukia.wakaamua kufanya wanayojisikia,siku isiyo na jina inaweza ikafungiwa kabisa,tukakosa hata kibaraza cha kujadili,na hakuna panya wa kufanya chochote.

Mwisho niseme tu,mwenye pesa,au mamlaka si mwenzako dunia hii,labda subiri awamu nyingine mbinguni,kumkwaza kwa namna yoyote ni kujitafutia matatizo yasiyo na ulazima,ndio maana wenye busara hukaa kimya.
 
Haya yanatokea Tz tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Heri ya mwaka mpya kaka Misuli. Nimepishana na gari lako unaelekea Mtwara. Nimeona lina ulinzi mkali sana. Najua ilikuwa ni hela za kulipa wakulima wa korosho, maana mlisema siku 2 mtakuwa mshawalipa wakulima. Zikibaki kidogo niite hata tupige supu ya samaki wakati tunajadili hayo mafanikio.
 
Mkuu umejaribu kuhoji credibility ya Hiyo maada?Au kisa kimeandikwa unachotaka kusikia?Habar imeungwa ungwa na story za akina Roma,Lisu mara Arzory mara cocobeach imradi tu desa lipatikane. Ukifuatilia matukio yote aliyotaja humo unaona ni matukio yaliyojaa mikanganyiko.Hivi Roma alitekwa na nani na alifanya nini kiasi atekwe?Huko anakodai kupigwa hivi anajua mtu aliyetekwa na kupigwa huwa ktk mazingira gani?Walitekwa akina Ulimboka au kibanda Ukiangalia haya matukio unaona kweli hawa jamaa walitekwa na sababu za kutekwa zina mashiko.Hivi Roma alitekwa kwa Lipi?Asitekwe Ney wa mitego atekwe Roma?

Mtu analeta tukio la lisu kujenga hoja za Ben,Anakwambia Risasi 38.Hivi kwanini hatutaki kuumiza akili hata kidogo?Risasi 38 tunazijua au tunazisikia tu?Hili tukio la Lisu ni kwamba limevunja record ya dunia sasa na kwa ujumla ni kwamba ni binadamu pekee ambaye bado yuko hai na kila mfuko wake wa mwili uko sawa. Ukihoji inawezekanaje upigwe risasi 38 na bado uwe hai unaitwa buku 7 mara hijitambui nk.Lkn kwa tukio la Lisu ukisema utengeneze movie,ni wazi utapata movie ya kipumbavu haijawah tokea.

Huyo Ben kwamba hana ndugu au wazaz wenye uchungu sana kuliko wafuasi wa chadema?Mbona hamtaki kuhoji nguvu inayotumika na wazaz kuhusu mtoto wao kuwa ni ndogo sana?Ushawah potelewa na ndugu wewe?tena wa damu?Vipi reaction yake?

Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani mkuu..
Mo dewji hakurudi na majeraha kama akina ulimboka, kwahiyo hakutekwa.?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi niliona picha ya Rais Magufuli akimuombea mama yake mzazi ambaye amepatwa na maswahibu kama yaliyokatisha uhai wa binti yake ambaye alizikwa hivi karibuni.Nilipomuona nilijikuta nikiwaza sana!

Turudi kwenye mada. Ben Saanane mara ya mwisho kabla hajapotea alitoka kwao asubuhi kama kawaida kwenda kwenye mihangaiko ila hakurudi tena hadi leo. Siku chache baada ya kupotea namba yake ikaondolewa kwenye makundi yote ya WhatsApp naamini alikuwa akishurutishwa fanya hili...fanya hili...Siku baada ya siku hadi alipomaliza yote. Mbaya zaidi kuna ujumbe aliotuachia "Tuutafakari" ambapo alikuwa akilalamika kuwa yupo mtu mmoja alikuwa akimtumia ujumbe kila alipokuwa akiishambulia elimu ya mfalme kule kisiwani kwenye mitandao ya kijamii kuwa "mara umebakiza post tatu mara mbili" na mwisho kabisa akamwambia "Naamini sasa hutapost tena" Ujumbe zaidi aliambiwa "Baba yako atajilaumu sana kwa kukusomesha na sasa hatayafaidi matunda ya elimu yako,Ben wewe bado ni kijana mdogo sana kufa"

Ninachoamini ni kuwa dola inajua kabisa yaliyomkuta Ben. Kama sivyo basi wangeshachukua hatua stahiki. Emb fikiria watu wote waliokuwa wamekithiri kwa ukosoaji kipindi kile walifanywa nini? Tundu Lissu mbunge na mwanasiasa maarufu sana alishambuliwa kwa risasi nyingi mchana kweupe tena mbele ya makazi yenye ulinzi mkali na hakuna chochote mpaka leo. Njoo kwa kuke kwa ofisi za Fatuma Karume hadi bomu likarushwa kwenye ofisi zao. Kina Roma walivyopigwa kwenye majumba yasiyojulikana! Itakuwaje kwa Ben aliyekuwa naye amekithiri kwa ukosoaji?

Mimi naweza kufikiria haya na huenda moja wapo likawa sahihi
1. Huenda Ben kapigwa ban labda kwa kipindi fulani....Ila hapana, siku wakimtoa huko je? Si wataaibika?
2. Huenda walidhamiria kumpiga kisha wamuachie ila wakazidisha kipigo na ikawa bahati mbaya jumla!
3. Au moja kwa moja walimmaliza.
4. Au labda walimpa ofa ya kwenda nchi za watu kukaa tu huko ili asiwe tena anashambulia....Thubutuuu yani mfalme umkosoe, uwe mfuasi wa "mabeberu" halafu akupeleke kula bata?

Wazo namba 2 linanishawishi nikubaliane nalo zaidi kwakuwa naamini hata kina Roma Mkatoliki na wenzake walipokuwa wanapigwa kama ingetokea bahati mbaya iwe jumla basi nao wasingeonekana mpaka leo.Linanishawishi nikubaliane nalo kwakuwa wote waliokosoa walielekezwa kwenye mfumo huu wa kupotezwa ila baadhi yao Mola akawanusuru!

Kuna kile kipindi maiti zilikuwa zinaokotwa kiholela sana kule baharini mara mto Ruvu huku zikiwa zimefungwa kwenye viroba. Hiki ndicho kipindi kile cha kukamatwa watu kule MKIRU na kwenda kuona joto la motoni kule Stakishari! hiki ndicho kipindi kilichokuwa muda mfupi tu tangia Ben atoweke. Ndicho kipindi alichopotea Azory.........Mbona siku hizi zile maiti za "wahamiaji haramu" hazipo tena? Kwanini kipindi kile ziliibuka sana zikiwa zimefungwa kwenye mifuko huku sisi wengine tukielewa kuwa kule Stakishari kulikuwa na kwata la kufa mtu likiendelea? Hadi watu wakawa wanatambaa kama nyoka? Kwanini kwanini kwanini?

Ukweli wa haya naamini kuwa hautajulikana kama tutaujenga "mfumo mfalme wa kisiwa" kama tulivyotahadharishwa humu Jf......"Mfumo mfalme huyu" ni hatari kwa afya yetu hivyo tuchukue tahadhari mapema sana.
Ben saa nane alipitiliza kwenye unazi wa kijinga. Alitaka kujionyesha mkereketwa wa chadema na mfuasi mahiri wa falsafa ya umangi eti 'kujitambua' huku ukweli ni falsafa ya ubinafsi na ukabila. Baada ya cdm kushindwa walihamaki na kuanza campaign ya kumtukana kumzarau na kumbeza jpm kinara akiwa lissu. Ben saanane alipewa au kujipa shughuli ya kuonesha jpm kama mtu mjinga mwenye shahada ya phd feki. Alitumia uongo wa kustaajabisha na hadaa yenye maudhi kwelikweli.
Nachotaka kusema rais wa jamhuri ni mtu anayestahili heshima na kisheria wananchi wanawajibika kumpa heshima. Wapo wateule wa rais kikatiba wanawajibika kuonesha utii wa hali ya juu. Huenda ben alijitafutia balaa mwenyewe japo tofauti ndani ya cdm yenyewe inawezekana ndio chanzo cha yeye kutoweka.
 
Kuandika siyo tatizo ila huenda mkono wako uliokusaidia kuandika haya ukawa na kilema kama syo mkono basi kutakuwa na tatizo kwenye kokonatia!!

Kwakuwa tunapenda vitu vya uongo uongo ,,umbea, uhayawani, na masuala ya kumkandamiza mwanadam mwenzako kwa mambo ambayo nafaham nafsi inakusuta ila kwa sabab tu ya Visa vya wanadam unaweza kuongea yote Haya!!

Sina Hakika kisheria kama hata ww unaweza ama mie ninaweza kuhoji ama kutaka uhalali Wa elimu yangu!! Taasisi husika nadhani ndo zina authority hiyo nikiamni kwamba they are legalised and recognized institutions!!

You /I sina hakika kbsa kwamba you /I can question my or ur education and expecting to get a genuine answer may be according to the context of inquiry!!

Mengine haya ni kukosa tu kufikiri na kuendeleza hla tu!!!

Haya hayajaanza leo hata mataifa makubwa na yenye uwezo mkubwa kijeshi na kiusalama haya yanatokea na tusivyo na akili tunaenda ati kushtaki utafiki ni Baba zetu!!! Au kuongoza taifa la watu zaidi ya mil 50 tunalinganisha na familia zetu ambazo zinawatoto watatu lakn hata kuzi control zatushinda sembuse mamilion haya ya watu!!!!!

Mtalalamika lkn wenzenu wanatenda!!! Mtashtuka kumekucha mnaendelea kulia lia ila muda huo wenzenu watakuwa wame win!!

Heri ya mwaka mpya!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesikitika sana kuwa unaandika upuuzi uliochanganywa na kiingereza kibovu ili mradi tu uhalalishe masahibu yaliwapata akina Ben Saanane!!!? Haya onyesha ni sheria ipi au kanuni inayozuia mtu kuhoji elimu yako au ya mwingine yeyote. Mbona kwenye kuhakiki vyeti mlihoji uhalali wa elimu ya watu wengi tu, ila ilipofika kwa Bashite akaonekana ni malaika. 'Why the double standard'!!!!!!!?
 
Sababu No. 2 ndo naiona inachukua uzito wa kipotea kwa Sanane. Kama Sanane aliuawa itakuja kujulikana tu, regardless miaka mingapi itapita. Waliowaza kumuua na waliotekeleza mauwaji watakuja kujulikana hilo halina wasiwasi.
 
Umeandika article ndefu lkn ni upupuuuu.....

Once a person become a public figure, hata vaa yake, maamuzi yake, lifestyle, mahusiano yake na wengine etc.... huwa inaweza hojiwa, kama hata mavazi yanahojiwa why not elimu kitu ambacho ni moja kati ya criteria muhimu?



Kuandika siyo tatizo ila huenda mkono wako uliokusaidia kuandika haya ukawa na kilema kama syo mkono basi kutakuwa na tatizo kwenye kokonatia!!

Kwakuwa tunapenda vitu vya uongo uongo ,,umbea, uhayawani, na masuala ya kumkandamiza mwanadam mwenzako kwa mambo ambayo nafaham nafsi inakusuta ila kwa sabab tu ya Visa vya wanadam unaweza kuongea yote Haya!!

Sina Hakika kisheria kama hata ww unaweza ama mie ninaweza kuhoji ama kutaka uhalali Wa elimu yangu!! Taasisi husika nadhani ndo zina authority hiyo nikiamni kwamba they are legalised and recognized institutions!!

You /I sina hakika kbsa kwamba you /I can question my or ur education and expecting to get a genuine answer may be according to the context of inquiry!!

Mengine haya ni kukosa tu kufikiri na kuendeleza hla tu!!!

Haya hayajaanza leo hata mataifa makubwa na yenye uwezo mkubwa kijeshi na kiusalama haya yanatokea na tusivyo na akili tunaenda ati kushtaki utafiki ni Baba zetu!!! Au kuongoza taifa la watu zaidi ya mil 50 tunalinganisha na familia zetu ambazo zinawatoto watatu lakn hata kuzi control zatushinda sembuse mamilion haya ya watu!!!!!

Mtalalamika lkn wenzenu wanatenda!!! Mtashtuka kumekucha mnaendelea kulia lia ila muda huo wenzenu watakuwa wame win!!

Heri ya mwaka mpya!!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umejaribu kuhoji credibility ya Hiyo maada?Au kisa kimeandikwa unachotaka kusikia?Habar imeungwa ungwa na story za akina Roma,Lisu mara Arzory mara cocobeach imradi tu desa lipatikane. Ukifuatilia matukio yote aliyotaja humo unaona ni matukio yaliyojaa mikanganyiko.Hivi Roma alitekwa na nani na alifanya nini kiasi atekwe?Huko anakodai kupigwa hivi anajua mtu aliyetekwa na kupigwa huwa ktk mazingira gani?Walitekwa akina Ulimboka au kibanda Ukiangalia haya matukio unaona kweli hawa jamaa walitekwa na sababu za kutekwa zina mashiko.Hivi Roma alitekwa kwa Lipi?Asitekwe Ney wa mitego atekwe Roma?

Mtu analeta tukio la lisu kujenga hoja za Ben,Anakwambia Risasi 38.Hivi kwanini hatutaki kuumiza akili hata kidogo?Risasi 38 tunazijua au tunazisikia tu?Hili tukio la Lisu ni kwamba limevunja record ya dunia sasa na kwa ujumla ni kwamba ni binadamu pekee ambaye bado yuko hai na kila mfuko wake wa mwili uko sawa. Ukihoji inawezekanaje upigwe risasi 38 na bado uwe hai unaitwa buku 7 mara hijitambui nk.Lkn kwa tukio la Lisu ukisema utengeneze movie,ni wazi utapata movie ya kipumbavu haijawah tokea.

Huyo Ben kwamba hana ndugu au wazaz wenye uchungu sana kuliko wafuasi wa chadema?Mbona hamtaki kuhoji nguvu inayotumika na wazaz kuhusu mtoto wao kuwa ni ndogo sana?Ushawah potelewa na ndugu wewe?tena wa damu?Vipi reaction yake?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kweli "Misuli"; unajaribu kuyeyusha hoja inayodai uhai wa mtu kwa maneno rahisi.
Haya tengeneza hiyo muvi yako tuione. Tuone jinsi gari jeupe lilivyomfuata Lisu, tuone jinsi sherehe adhimu ilivyofanyika kwenye Kasri ya Mfalme bila ya kuwepo mwana mpendwa, tujiulize mwana mfalme alikuwa umbali gani toka mahali risasi zilipomiminwa kwa Lisu, tutazame jinsi cctv camera zilivyonyofolewa na kutupiliwa mbali na nani alitoa agizo hilo lenye lengo la kupoteza ushahidi.
Hatutaki tuishie hapo, utuonyeshe jinsi Watanzania kwa maelfu yao walivyozuiwa kukusanyika kumwombea Lisu makanisani na misikitini; kitendo kilichofanywa na askari wa dola hadharani, pia usisahau jinsi mfalme alivyokataa kusaini fedha kwa ajili ya matibabu ya raia wa Tanzania aliyeangukia kwenye madhila makuu ya kupigwa risasi 38.
Ee Mwenyezi Mungu mweza wa yote, mpe huyu ndugu uwezo wa kutengeneza filamu murua ya Madhila ya Ndugu zetu hawa!!!!
 
Wewe kweli "Misuli"; unajaribu kuyeyusha hoja inayodai uhai wa mtu kwa maneno rahisi.
Haya tengeneza hiyo muvi yako tuione. Tuone jinsi gari jeupe lilivyomfuata Lisu, tuone jinsi sherehe adhimu ilivyofanyika kwenye Kasri ya Mfalme bila ya kuwepo mwana mpendwa, tujiulize mwana mfalme alikuwa umbali gani toka mahali risasi zilipomiminwa kwa Lisu, tutazame jinsi cctv camera zilivyonyofolewa na kutupiliwa mbali na nani alitoa agizo hilo lenye lengo la kupoteza ushahidi.
Hatutaki tuishie hapo, utuonyeshe jinsi Watanzania kwa maelfu yao walivyozuiwa kukusanyika kumwombea Lisu makanisani na misikitini; kitendo kilichofanywa na askari wa dola hadharani, pia usisahau jinsi mfalme alivyokataa kusaini fedha kwa ajili ya matibabu ya raia wa Tanzania aliyeangukia kwenye madhila makuu ya kupigwa risasi 38.
Ee Mwenyezi Mungu mweza wa yote, mpe huyu ndugu uwezo wa kutengeneza filamu murua ya Madhila ya Ndugu zetu hawa!!!!
Movie inatakiwa uanze kuitengeneza kuanzia Lisu anafuatwa fuatwa toka Dar na anaenda kuongea na waandishi wa Habari na sio polisi. Tunaenda anatoka bungeni watu walewale wa Dar wanazid kufuatilia hadi anaenda home kwake, hapa hakuna kusimama ye ni kuendelea na safari tu.Tufanye hayo ni trailer, movie kali sana ni pale jamaa wanashuka na mabunduki ya kivita ye na dereva wako ndani tu.Mara dereva analaza kiti na anamlaza lisu na yeye anashuka na kujificha chini ya gari.Movie inaendele mara paaaaaap risasi zinaanza kumiminwa kama njugu. Anapigwa risasi 38.Hapa tuchukue mfano risasi moja ni sekunde 1,so wanatumia zaid ya nusu dakika kumshambulia lisu na wakati huohuo hawajui hizo risasi zinamfikia au lah,wao ni kufyatua tu.Mwisho wanaondoka na dereva anaenda kumuokota lisu.Movie bado tu ni kwamba lisu bado alikua na faham licha ya mashambulizi ya siraha ya kivita na kupigwa Risasi 38.Utamu wa movie ni pale Lisu kuwa na faham licha ya risasi kupigwa karibu na spinal cord. Kwa wanaojua kazi za spinal cord basi hapa hii movie itawafurahisha sana.Movie bado ndefu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ANZA KUCHUKUA HIYO TAADHARI KWAKO WEWE MWENYEWE BINAFSI KWA KUTOKUWA "KIHEREHERE", SABABU BIBLIA INATUONYA KUWA "UCHUNGE SANA ULIMI KATIKA METHALI ZA MFALME SULEIMAN".

KUKAA KIMYA PIA NI BUSARA SANA SABABU UNAEPUKANA NA MENGI HATA AMBAYO HUKUTEGEMEA, EBU TAFAKARI KWA KINA SANA UKIJIULIZA.

JE NI BEN SAA NANE PEKEE NDIYE ALIYEKUWA ANAFAHAMU UPATIKANAJI WA "PHD" YA KIONGOZI WAKO KWA 100%?

JE BEN SAA NANE ANGEPUNGUKIWA KIPI HASA ASINGEULIZA HIYO PHD YA BABA WA TAIFA LAKO?

JE HATA ANGEJIBIWA ANGENUFAIKA NA LIPI HASA(ANGEONGEZEWA MSHAHARA, MADARAKA, HADHI YA ELIMU AU FAMILIA)???

JIFUNZENI KUKAA KIMYA ENYI KIZAZI CHA KIHEREHERE KWA KUJUA NA KUTAKA KUJUA KILA KITU SABABU NI HERI KUJIFUNZA KULIKO KUJUA KILA KITU KTK MAISHA.

UKIMYA NI BONGE LA HEKIMA WALA HAUKUSHUSHII HADHI YOYOTE KATIKA JAMII YOYOTE ILE DUNIANI.





Sent using Jamii Forums mobile app
Haya yako ni mawazo ya Kishetani. Hivi nyie watu wenye hoja na mawazo ya karne za ujima huwa mimba zenu zinatungwa kwenye kona zipi za hapa duniani!!!!!?
Hivi unajua kuwa raia wa Tanzania ndiye bosi wa kiongozi yeyote wa nchi hii? Raia anayo haki ya kikatiba ya khoji uhalali wa jambo lolote juu ya kiongozi yeyote. Soma Katiba ibara ya 8 (a) na (b). Kumlinganisha kiongozi wa karne ya 21 na Sulemani wa karne 9 BC ni kutaka kutuaminisha ujinga
Yeyote aliyemhukumu Ben kwenye Mahakama ya Kangaroo ana hatia ya damu yake.
 
Movie inatakiwa uanze kuitengeneza kuanzia Lisu anafuatwa fuatwa toka Dar na anaenda kuongea na waandishi wa Habari na sio polisi. Tunaenda anatoka bungeni watu walewale wa Dar wanazid kufuatilia hadi anaenda home kwake, hapa hakuna kusimama ye ni kuendelea na safari tu.Tufanye hayo ni trailer, movie kali sana ni pale jamaa wanashuka na mabunduki ya kivita ye na dereva wako ndani tu.Mara dereva analaza kiti na anamlaza lisu na yeye anashuka na kujificha chini ya gari.Movie inaendele mara paaaaaap risasi zinaanza kumiminwa kama njugu. Anapigwa risasi 38.Hapa tuchukue mfano risasi moja ni sekunde 1,so wanatumia zaid ya nusu dakika kumshambulia lisu na wakati huohuo hawajui hizo risasi zinamfikia au lah,wao ni kufyatua tu.Mwisho wanaondoka na dereva anaenda kumuokota lisu.Movie bado tu ni kwamba lisu bado alikua na faham licha ya mashambulizi ya siraha ya kivita na kupigwa Risasi 38.Utamu wa movie ni pale Lisu kuwa na faham licha ya risasi kupigwa karibu na spinal cord. Kwa wanaojua kazi za spinal cord basi hapa hii movie itawafurahisha sana.Movie bado ndefu

Sent using Jamii Forums mobile app
Endeleza Mzaha, nakutakia kila la heri, "hujafa hujaumbika" mwanangu.
 
Back
Top Bottom