Hebu tuanzie hapa: Ben Saanane alitoka kwao saa mbili asubuhi ila hakurudi mpaka leo. Yupo hai? Kuna huu ujumbe aliotuambia

Hebu tuanzie hapa: Ben Saanane alitoka kwao saa mbili asubuhi ila hakurudi mpaka leo. Yupo hai? Kuna huu ujumbe aliotuambia

Kuandika siyo tatizo ila huenda mkono wako uliokusaidia kuandika haya ukawa na kilema kama syo mkono basi kutakuwa na tatizo kwenye kokonatia!!

Kwakuwa tunapenda vitu vya uongo uongo ,,umbea, uhayawani, na masuala ya kumkandamiza mwanadam mwenzako kwa mambo ambayo nafaham nafsi inakusuta ila kwa sabab tu ya Visa vya wanadam unaweza kuongea yote Haya!!

Sina Hakika kisheria kama hata ww unaweza ama mie ninaweza kuhoji ama kutaka uhalali Wa elimu yangu!! Taasisi husika nadhani ndo zina authority hiyo nikiamni kwamba they are legalised and recognized institutions!!

You /I sina hakika kbsa kwamba you /I can question my or ur education and expecting to get a genuine answer may be according to the context of inquiry!!

Mengine haya ni kukosa tu kufikiri na kuendeleza hla tu!!!

Haya hayajaanza leo hata mataifa makubwa na yenye uwezo mkubwa kijeshi na kiusalama haya yanatokea na tusivyo na akili tunaenda ati kushtaki utafiki ni Baba zetu!!! Au kuongoza taifa la watu zaidi ya mil 50 tunalinganisha na familia zetu ambazo zinawatoto watatu lakn hata kuzi control zatushinda sembuse mamilion haya ya watu!!!!!

Mtalalamika lkn wenzenu wanatenda!!! Mtashtuka kumekucha mnaendelea kulia lia ila muda huo wenzenu watakuwa wame win!!

Heri ya mwaka mpya!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo ni sawa mtu kuuawa kisa ka question elimu ya mtu?
Mbona Obama hakummaliza Trump baada ya Trump kutaka Obama aonyeshe cheti chake cha kuzaliwa?
 
Kuandika siyo tatizo ila huenda mkono wako uliokusaidia kuandika haya ukawa na kilema kama syo mkono basi kutakuwa na tatizo kwenye kokonatia!!

Kwakuwa tunapenda vitu vya uongo uongo ,,umbea, uhayawani, na masuala ya kumkandamiza mwanadam mwenzako kwa mambo ambayo nafaham nafsi inakusuta ila kwa sabab tu ya Visa vya wanadam unaweza kuongea yote Haya!!

Sina Hakika kisheria kama hata ww unaweza ama mie ninaweza kuhoji ama kutaka uhalali Wa elimu yangu!! Taasisi husika nadhani ndo zina authority hiyo nikiamni kwamba they are legalised and recognized institutions!!

You /I sina hakika kbsa kwamba you /I can question my or ur education and expecting to get a genuine answer may be according to the context of inquiry!!

Mengine haya ni kukosa tu kufikiri na kuendeleza hla tu!!!

Haya hayajaanza leo hata mataifa makubwa na yenye uwezo mkubwa kijeshi na kiusalama haya yanatokea na tusivyo na akili tunaenda ati kushtaki utafiki ni Baba zetu!!! Au kuongoza taifa la watu zaidi ya mil 50 tunalinganisha na familia zetu ambazo zinawatoto watatu lakn hata kuzi control zatushinda sembuse mamilion haya ya watu!!!!!

Mtalalamika lkn wenzenu wanatenda!!! Mtashtuka kumekucha mnaendelea kulia lia ila muda huo wenzenu watakuwa wame win!!

Heri ya mwaka mpya!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni bashite

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko kukosa shabaha risasi 38?We ushawah ona tukio la assassination likatumia risasi nyingi kiasi hiki na mtu akawa mzima?Kwanza unaambiwa jamaa walianza kumfuatilia toka Dar hahahahahahah

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatimaye sasa nimekusoma. Misheni ilikuwa ya muda mfupi, hakuandaliwa mdunguaji,g.duty wakapewa kazi...
 
Sasa ndo mjue mlikodishaa jamaa falaa kama nyiee..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni kumtoa uhai serikali haiitaji kutumia nguvu kubwa kama hiyo.Ilikua ni kuvunja kioo na kumtwanga risasi 1 ya kichwa au mbili na kukimbia. Sasa ukisoma maelezo ya tukio ndio utaona hakukua na muuaji pale.Eti wamefika wakaanza kusubiri, mara wakatoa bunduki, mara dereva anashuka anamlaza lisu naye anaingia uvungun na ndio jamaa wanaanza kumwaga risasi kama njugu.Hii assassination ni ya kwanza Duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya yako ni mawazo ya Kishetani. Hivi nyie watu wenye hoja na mawazo ya karne za ujima huwa mimba zenu zinatungwa kwenye kona zipi za hapa duniani!!!!!?
Hivi unajua kuwa raia wa Tanzania ndiye bosi wa kiongozi yeyote wa nchi hii? Raia anayo haki ya kikatiba ya khoji uhalali wa jambo lolote juu ya kiongozi yeyote. Soma Katiba ibara ya 8 (a) na (b). Kumlinganisha kiongozi wa karne ya 21 na Sulemani wa karne 9 BC ni kutaka kutuaminisha ujinga
Yeyote aliyemhukumu Ben kwenye Mahakama ya Kangaroo ana hatia ya damu yake.
Sawa cha kuhoji, we jifanye kuhoji ambavyo hata usipohoji hunufaiki na chochote zaidi ya kupoteza muda wako tu na kutafuta sifa za kijinga.

Ngoja sisi tusionufaika na kuhoji maisha ya mtu kielimu tuendelee kukaa kimya katika jamii lakini kwa Mungu tu wenye hekima kama alivyotuagiza kwenye Biblia kuwa "tuchunge sana ulimi".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni kumtoa uhai serikali haiitaji kutumia nguvu kubwa kama hiyo.Ilikua ni kuvunja kioo na kumtwanga risasi 1 ya kichwa au mbili na kukimbia. Sasa ukisoma maelezo ya tukio ndio utaona hakukua na muuaji pale.Eti wamefika wakaanza kusubiri, mara wakatoa bunduki, mara dereva anashuka anamlaza lisu naye anaingia uvungun na ndio jamaa wanaanza kumwaga risasi kama njugu.Hii assassination ni ya kwanza Duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh so wewe unataka kusema Lisu katengeneza movie ya Kujipiga risasi???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna risasi 38 zilizotumika na kama zilitumika hakukua na malengo ya UUAJI. Muuaji ni risasi 1 au 3 tu tena haiitaji akufuatilie toka Dar hadi Dom na wewe unamuona.Kingine Sio Rahis upigwe risasi karibu na spinal cord na bado network iwepo. Nishashuhudia jamaa pingiri zilicheza kidogo tu,Huo ubebwaji wake sio masihara. Huyu wa risasi bado iko kwenye mgongo na anapata chance ya kuongea huko Nairobi ni uhuni na kuwafanya watu wote hamna shule kichwani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Issue ya MO kutekwa na wasouth-Africa/Wamsumbiji kwa kutumia Toyota Surf ni kweli mkuu?
 
Issue ya MO kutekwa na wasouth-Africa/Wamsumbiji kwa kutumia Toyota Surf ni kweli mkuu?
Ndio muendelezo wa movie. Kama umeweza kuhoji hili la Mo na kuona kuna uhuni, kwanini hili la muuaji kupewa bunduki ya risasi 38 na akashindwa kazi kuwa nayo ni movie?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui kama ni lisu au nani.Ila kama UNAAKILI timamu utaona hilo tukio ni la kipuuz. Usiforce kile ulichoambiwa ndio kiwe sahihi Jitaid siku usome maelezo ya tukio then fanya imagination

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi kama Lumumba mlifanya tukio liwe vilee ili muje kuongeaa ujinga huo hapa.. Hakuna maelezo wala maandishi hapaa.. Ishu ni Lisu kupigwa risasi eneo lenye Ulinzi mkali na CCTV cameraa.. Alafu mbona Jiwe hajawahi kusema neno lolote la kuhamasisha Lisu kesi yake ishughulikiwee..kina Saa nanee...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio muendelezo wa movie. Kama umeweza kuhoji hili la Mo na kuona kuna uhuni, kwanini hili la muuaji kupewa bunduki ya risasi 38 na akashindwa kazi kuwa nayo ni movie?

Sent using Jamii Forums mobile app
Eehee wewe unadhani Movie ya MO ile kama una akili timamu nani kaitengeneza???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi kama Lumumba mlifanya tukio liwe vilee ili muje kuongeaa ujinga huo hapa.. Hakuna maelezo wala maandishi hapaa.. Ishu ni Lisu kupigwa risasi eneo lenye Ulinzi mkali na CCTV cameraa.. Alafu mbona Jiwe hajawahi kusema neno lolote la kuhamasisha Lisu kesi yake ishughulikiwee..kina Saa nanee...

Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja yangu mkuu ni kupigwa Risasi 38 na kudai hao jamaa anawafaham toka Dar na siku ya tukio aliwaona tena wakimfuata. Hapo ndio movie inapokuwa ya kibongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja yangu mkuu ni kupigwa Risasi 38 na kudai hao jamaa anawafaham toka Dar na siku ya tukio aliwaona tena wakimfuata. Hapo ndio movie inapokuwa ya kibongo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata akiwafahamu haisaidii kituuu... Nape alitolewa bastola nin kilitokea??? Kesi ya nyani uipeleke kwa Ngedere??? Risasi 38 hizo inawezekana walihesabu mAganda eneo la tukio na Pia sio lazima risasi zote zimpatee..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio muendelezo wa movie. Kama umeweza kuhoji hili la Mo na kuona kuna uhuni, kwanini hili la muuaji kupewa bunduki ya risasi 38 na akashindwa kazi kuwa nayo ni movie?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo matukio mawili hayafanani.

Wewe umesema kuwa kumwua mtu inahitajika risasi moja tuu.Na ndicho nilichosema awali, kuwa tukiachilia mbali kuwa alilengwa na risasi 16 ambapo nyingi zilimiga mguuni(huku muuaji akidhani zimemlenga maeneo hatari zaidi) hata tukisema amepigwa moja na akaishi still ni muujiza.

Kama argument yako ni idadi ya risasi, ninarudia tena, hata TL akikuambia ukweli bado hutomuamini hivyo sikushangai sana usiponiamini mimi.Labda ungepigwa wewe ndio ungeamini.
 
Eehee wewe unadhani Movie ya MO ile kama una akili timamu nani kaitengeneza???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui imetengenezwa na nani ila ni movie tu tena ya kibongo. Hata ya lisu ni movie tu.Yaani muuaji anaingia na gari yake hadi getini hahahahahahah.Muuaji anakufuata nyuma nyuma hahahahahahah. Nachojua muuaji anakaa sehem ambayo anajua huyu jamaa ni lzm apite. Muuaji wa lisu toka Dar yuko naye tu,kafika Dom yupo lisu anatangaza kwenye vyombo vya hbr huyu muuaji yupo tu hata abadili mbinu ye ni kumfuata fuata tu.Ni hatar sana.Fuatilia Assassination za akina Jf Kenedy na kuna makala za jicho pevu uone nini kinafanyika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui imetengenezwa na nani ila ni movie tu tena ya kibongo. Hata ya lisu ni movie tu.Yaani muuaji anaingia na gari yake hadi getini hahahahahahah.Muuaji anakufuata nyuma nyuma hahahahahahah. Nachojua muuaji anakaa sehem ambayo anajua huyu jamaa ni lzm apite. Muuaji wa lisu toka Dar yuko naye tu,kafika Dom yupo lisu anatangaza kwenye vyombo vya hbr huyu muuaji yupo tu hata abadili mbinu ye ni kumfuata fuata tu.Ni hatar sana.Fuatilia Assassination za akina Jf Kenedy na kuna makala za jicho pevu uone nini kinafanyika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na Kina Jeff kenedy...!! Movie ya MO kama nayo hujui nani kaitengeneza bhasi kakojoe ulalee mzee baba... Hakuna kitu utaniambia cha maana hapa kama unatetea Uhalifu wa wazi wazii...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na Kina Jeff kenedy...!! Movie ya MO kama nayo hujui nani kaitengeneza bhasi kakojoe ulalee mzee baba... Hakuna kitu utaniambia cha maana hapa kama unatetea Uhalifu wa wazi wazii...

Sent using Jamii Forums mobile app
Yah,kama nilivyoeleza kuwa Mimi hoja yangu ni mazingira ya tukio na sio nani muhusika. Kwamba hili ni tukio serious au kuna agenda nyuma?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom