Mama alikuwa busy na biashara wakati baba pia yupo busy na kazi na biashara.Vitu vingine ni sisi wazazi tunasababisha vitokee..sasa mama kama mama alikua wap mpaka au unakuwa wap mama mpaka mambo kama haya yanatokea?
!na kwa hali ya sasa hvi wazazi tusipokaa chini na watoto wetu na kuwaeleza bila kuwaficha kila kitu kuhusu mahusiano mapenzi yan kila kitu walah itatugarimu sana
Kuna umri mtoto akifika mzazi unatakiwa kuanza kucheza na mind yake..
Shida wazazi wameshafunga ndoa, halafu wana watoto wawili wa ndoa.Mi sioni tatizo hapo, hata wakitaka kuoana nawapa baraka tu, hamna undugu wowote hapo
Wao wanaenjoy na hivi sasa ni watu wazima kabisa sio umri mdogo, ila wanajua kuwa wao sio blood related na wazazi wameshafariki.... So wanaweza kuaga kuwa wanakwenda salimia kijijini kisha wakakutana na kupeana gemu bila shida.Ni mbaya sana asee.
Wahusika wanaweza hata kujiua.
Umeona sasa hapo?! [emoji23][emoji23][emoji23]Mtihani mgumu sana huu.
Shida ndio inaanzia kwa hawa madogo wapya..... Maana wale ni blood related siblings kwao sasa kusikia na kushuhudia kuwa wanapigana miti imemfanya huyu binti kuloose kabisa focus ya kifamilia.Kijamii tunaona tu sio sawa, ila kiuhalisia hawana undugu, wapelekeane tu huo moto....
Ishu kwa wadogo sasa badala ya kaka anakua shemeji, na huyu badala ya dada anakua wifi, complicated.
Nadhani ni issue ya msongo wa mawazo tu. Ni kama msomi ambaye hana ajira huwa inahitajika nguvu ya ziada sana kukubaliana na ukweli hadi aingie kitaa kuanza kupambana nje ya wigo wa ajira rasmi.Huyo anayewaza itakuwaje ikijirudia kwa watoto wake (ambao hata hajawapata, na hajui ikiwa atawapata wa namna hiyo).... anajihangaisha tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] So mzee ungekuwa wewe ungepeleka libeneke kwa step sister wako?!Peleka motroooo
Ha ha ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ameen ya kipashukuna kabisa....Ameeeeeen
Watafungia wapi hiyo ndoa na kwa baraka za nani?! "[emoji23]Waache waoane (in chege's voice)
Sioni complication yoyote hapo,,Shida wazazi wameshafunga ndoa, halafu wana watoto wawili wa ndoa.
So complications zinaanzia hapo. Wazazi wataitanaje watoto wakifunga ndoa...
Wakizaa watoto wataitanaje kati yao wazazi na pia kwa wazazi wao....?!
I think hapa sasa ndio tunaanza kuelewa maelekezo ya vitabu vya MUNGU katika kutubana kuheshimu na kuitumikia ndoa na kupatia watoto ndani ya ndoa tu....
Sent using Jamii Forums mobile app
Khaaaaaaaah, wazazi wenunimekuwaje sasa hebu nifafanulie?!Sioni complication yoyote hapo,,
Nipo kwenye mahusiano ya hivyo, Mungu aliagiza tuzaane tuijaze dunia hayo ya ndoa Ni yenu waoga waoga
Siku nyingine nitakusimulia
Mama alikuwa busy na biashara wakati baba pia yupo busy na kazi na biashara.
So watoto walikuwa na muda mwingi wa kuspend pamoja....
Sasa how can u stop the chemistry between two kids ambao sio blood related?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmmmmhmn babu... Mkishaonjana kuacha inakuwa mtihani. Labda itokee tu.... Ila mmmmmmhmn huwa inakuwa ngumu sana....Genetically are not related but socially and spiritually are related... Hofu waliyo nayo ni kwa wadogo zao waona share damu watawachukuliaje maana wao ndio kiungo cha undugu wao, jamii pia...
Suluhu ya hofu ni kurudi kwenye mzizi wa hofu...ikiwa hofu ni kiimani (ungama) huko kuna masuluhisho yake. Ikiwa kijamii pia napo yapo masuluhisho (kili omba radhi kwa nafsi) akianza na nafsi yake.
Kuna wazazi wanakuwa busy hawana tym na watoto hata wiki.... Mbona ipo sana hiyo....Hakuna ubusy wa hvo jaman kwan tunataka kupindua nchi yan niwe busy mpaka nishindwe kuongea na watoto wangu hell no haiwez kutokea..na huku kujitia ubusy ndo kumeharibu sana familia nyingi..and once kama mzazj ukianza kuinsert some files kwene kichwa cha watoto wako wanakua ktk msingi huo wa kuamin kile ulichokipandikiza wewe at first sasa jitie ubusy wakufanyie maajabu...