Hebu tujaribu kusoma ujumbe uliojificha kwenye picha hizi mbili

Hebu tujaribu kusoma ujumbe uliojificha kwenye picha hizi mbili

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Picha ya kwanza ni:

1655536921176.png


Na picha ya pili ni:

1655537088623.png


Kwenye picha ya kwanza Rais Macron wa ufaransa akiwa anakaribishwa na mwenyeji wake rais Zelensky wa Ukraine. Naona kama Zelensky amenuna, ni kama ana bifu fulani!. Rais Macron naona ni kama analazimisha tabasamu angalau ajaribu kumwambukiza mwenyeji wake tabasamu lakini bila mafanikio. Kwenye picha ya pili ni wazirio mkuu wa Uingereza akimpet-pet mwenyeji wake Zelensky wa Ukkraine. Hapa naona Zelensky uso umekunjuka na tabasamu linaonekana kwa mbali!! Hawa inaelekea ni maswaiba dam-dam!!. Karibuni tuzitafsiri hizi picha mbili.
 
Picha ya kwanza ni:

View attachment 2264542

Na picha ya pili ni:View attachment 2264546
Kwenye picha ya kwanza Rais Macron wa ufaransa akiwa anakaribishwa na mwenyeji wake rais Zelensky wa Ukraine. Naona kama Zelensky amenuna, ni kama ana bifu fulani!. Rais Macron naona ni kama analazimisha tabasamu angalau ajaribu kumwambukiza mwenyeji wake tabasamu lakini bila mafanikio. Kwenye picha ya pili ni wazirio mkuu wa Uingereza akimpet-pet mwenyeji wake Zelensky wa Ukkraine. Hapa naona Zelensky uso umekunjuka na tabasamu linaonekana kwa mbali!! Hawa inaelekea ni maswaiba dam-dam!!. Karibuni tuzitafsiri hizi picha mbili.
Kwenye mazungumzo yyt uwezi kuwa unatabasamu au unacheka muda wote wa mazungumzo kama iyo pc imepigwa akiwa kwenye moment of sorrow? Any way ni mtazamo wako sio mbaya
 
Picha ya kwanza ni:

View attachment 2264542

Na picha ya pili ni:View attachment 2264546
Kwenye picha ya kwanza Rais Macron wa ufaransa akiwa anakaribishwa na mwenyeji wake rais Zelensky wa Ukraine. Naona kama Zelensky amenuna, ni kama ana bifu fulani!. Rais Macron naona ni kama analazimisha tabasamu angalau ajaribu kumwambukiza mwenyeji wake tabasamu lakini bila mafanikio. Kwenye picha ya pili ni wazirio mkuu wa Uingereza akimpet-pet mwenyeji wake Zelensky wa Ukkraine. Hapa naona Zelensky uso umekunjuka na tabasamu linaonekana kwa mbali!! Hawa inaelekea ni maswaiba dam-dam!!. Karibuni tuzitafsiri hizi picha mbili.
Sasa hivi pro Russia mnaokoteza habari, kimsingi hamna tena cha kuandika, very sad.

Poleni sana najua mnapitia maumivu makali moyoni, Putin kawaangusha.
 
Picha ya kwanza ni:

View attachment 2264542

Na picha ya pili ni:View attachment 2264546
Kwenye picha ya kwanza Rais Macron wa ufaransa akiwa anakaribishwa na mwenyeji wake rais Zelensky wa Ukraine. Naona kama Zelensky amenuna, ni kama ana bifu fulani!. Rais Macron naona ni kama analazimisha tabasamu angalau ajaribu kumwambukiza mwenyeji wake tabasamu lakini bila mafanikio. Kwenye picha ya pili ni wazirio mkuu wa Uingereza akimpet-pet mwenyeji wake Zelensky wa Ukkraine. Hapa naona Zelensky uso umekunjuka na tabasamu linaonekana kwa mbali!! Hawa inaelekea ni maswaiba dam-dam!!. Karibuni tuzitafsiri hizi picha mbili.
Alafu ujifunze kuandika heading kwa herufi ndogo, herufi kubwa unatukwaza wasomaji.
 
Picha ya kwanza ni:

View attachment 2264542

Na picha ya pili ni:View attachment 2264546
Kwenye picha ya kwanza Rais Macron wa ufaransa akiwa anakaribishwa na mwenyeji wake rais Zelensky wa Ukraine. Naona kama Zelensky amenuna, ni kama ana bifu fulani!. Rais Macron naona ni kama analazimisha tabasamu angalau ajaribu kumwambukiza mwenyeji wake tabasamu lakini bila mafanikio. Kwenye picha ya pili ni wazirio mkuu wa Uingereza akimpet-pet mwenyeji wake Zelensky wa Ukkraine. Hapa naona Zelensky uso umekunjuka na tabasamu linaonekana kwa mbali!! Hawa inaelekea ni maswaiba dam-dam!!. Karibuni tuzitafsiri hizi picha mbili.
Kuna picha nyingine hapa
IMG_20220622_164803.jpg
 
Picha ya kwanza ni:

View attachment 2264542

Na picha ya pili ni:View attachment 2264546
Kwenye picha ya kwanza Rais Macron wa ufaransa akiwa anakaribishwa na mwenyeji wake rais Zelensky wa Ukraine. Naona kama Zelensky amenuna, ni kama ana bifu fulani!. Rais Macron naona ni kama analazimisha tabasamu angalau ajaribu kumwambukiza mwenyeji wake tabasamu lakini bila mafanikio. Kwenye picha ya pili ni wazirio mkuu wa Uingereza akimpet-pet mwenyeji wake Zelensky wa Ukkraine. Hapa naona Zelensky uso umekunjuka na tabasamu linaonekana kwa mbali!! Hawa inaelekea ni maswaiba dam-dam!!. Karibuni tuzitafsiri hizi picha mbili.
Waziri Mkuu wa Uingereza naye anatumia Counter Book Quire 4 kama watoto wetu wa Sekondari!! Hahahahahaha......
 
Back
Top Bottom