mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Amekwambia lini hizi habari za kulainika moyo?Rais wa Ukreine moyo wake umeashalainika kukubali matakwa ya Putin lakini NATO wanataka akaze.
Kwenye mazungumzo yyt uwezi kuwa unatabasamu au unacheka muda wote wa mazungumzo kama iyo pc imepigwa akiwa kwenye moment of sorrow? Any way ni mtazamo wako sio mbayaPicha ya kwanza ni:
View attachment 2264542
Na picha ya pili ni:View attachment 2264546
Kwenye picha ya kwanza Rais Macron wa ufaransa akiwa anakaribishwa na mwenyeji wake rais Zelensky wa Ukraine. Naona kama Zelensky amenuna, ni kama ana bifu fulani!. Rais Macron naona ni kama analazimisha tabasamu angalau ajaribu kumwambukiza mwenyeji wake tabasamu lakini bila mafanikio. Kwenye picha ya pili ni wazirio mkuu wa Uingereza akimpet-pet mwenyeji wake Zelensky wa Ukkraine. Hapa naona Zelensky uso umekunjuka na tabasamu linaonekana kwa mbali!! Hawa inaelekea ni maswaiba dam-dam!!. Karibuni tuzitafsiri hizi picha mbili.
Rais wa Ukreine moyo wake umeashalainika kukubali matakwa ya Putin lakini NATO wanataka akaze.
Hata ukieleweshwa hutaelewa maana kichwa chako ni kabati tu la kuhifadhia menoMatakwa ya Putin ni yapi?
Hata ukieleweshwa hutaelewa maana kichwa chako ni kabati tu la kuhifadhia meno
Sasa hivi pro Russia mnaokoteza habari, kimsingi hamna tena cha kuandika, very sad.Picha ya kwanza ni:
View attachment 2264542
Na picha ya pili ni:View attachment 2264546
Kwenye picha ya kwanza Rais Macron wa ufaransa akiwa anakaribishwa na mwenyeji wake rais Zelensky wa Ukraine. Naona kama Zelensky amenuna, ni kama ana bifu fulani!. Rais Macron naona ni kama analazimisha tabasamu angalau ajaribu kumwambukiza mwenyeji wake tabasamu lakini bila mafanikio. Kwenye picha ya pili ni wazirio mkuu wa Uingereza akimpet-pet mwenyeji wake Zelensky wa Ukkraine. Hapa naona Zelensky uso umekunjuka na tabasamu linaonekana kwa mbali!! Hawa inaelekea ni maswaiba dam-dam!!. Karibuni tuzitafsiri hizi picha mbili.
Alafu ujifunze kuandika heading kwa herufi ndogo, herufi kubwa unatukwaza wasomaji.Picha ya kwanza ni:
View attachment 2264542
Na picha ya pili ni:View attachment 2264546
Kwenye picha ya kwanza Rais Macron wa ufaransa akiwa anakaribishwa na mwenyeji wake rais Zelensky wa Ukraine. Naona kama Zelensky amenuna, ni kama ana bifu fulani!. Rais Macron naona ni kama analazimisha tabasamu angalau ajaribu kumwambukiza mwenyeji wake tabasamu lakini bila mafanikio. Kwenye picha ya pili ni wazirio mkuu wa Uingereza akimpet-pet mwenyeji wake Zelensky wa Ukkraine. Hapa naona Zelensky uso umekunjuka na tabasamu linaonekana kwa mbali!! Hawa inaelekea ni maswaiba dam-dam!!. Karibuni tuzitafsiri hizi picha mbili.
Kuna picha nyingine hapaPicha ya kwanza ni:
View attachment 2264542
Na picha ya pili ni:View attachment 2264546
Kwenye picha ya kwanza Rais Macron wa ufaransa akiwa anakaribishwa na mwenyeji wake rais Zelensky wa Ukraine. Naona kama Zelensky amenuna, ni kama ana bifu fulani!. Rais Macron naona ni kama analazimisha tabasamu angalau ajaribu kumwambukiza mwenyeji wake tabasamu lakini bila mafanikio. Kwenye picha ya pili ni wazirio mkuu wa Uingereza akimpet-pet mwenyeji wake Zelensky wa Ukkraine. Hapa naona Zelensky uso umekunjuka na tabasamu linaonekana kwa mbali!! Hawa inaelekea ni maswaiba dam-dam!!. Karibuni tuzitafsiri hizi picha mbili.
Kuna kitu hapa unatafuta wee, yaan bila kuhusisha hamuwezi, sijui hata mkoje yaan.Kuna picha nyingine hapaView attachment 2268978
Waziri Mkuu wa Uingereza naye anatumia Counter Book Quire 4 kama watoto wetu wa Sekondari!! Hahahahahaha......Picha ya kwanza ni:
View attachment 2264542
Na picha ya pili ni:View attachment 2264546
Kwenye picha ya kwanza Rais Macron wa ufaransa akiwa anakaribishwa na mwenyeji wake rais Zelensky wa Ukraine. Naona kama Zelensky amenuna, ni kama ana bifu fulani!. Rais Macron naona ni kama analazimisha tabasamu angalau ajaribu kumwambukiza mwenyeji wake tabasamu lakini bila mafanikio. Kwenye picha ya pili ni wazirio mkuu wa Uingereza akimpet-pet mwenyeji wake Zelensky wa Ukkraine. Hapa naona Zelensky uso umekunjuka na tabasamu linaonekana kwa mbali!! Hawa inaelekea ni maswaiba dam-dam!!. Karibuni tuzitafsiri hizi picha mbili.