Hebu tukumbushane machungu ya timu zetu siku tulipojutia kwenda uwanjani au Vibanda Umiza

Na hakuna match zilinipa raha Kama

Simba vs Yanga, Yanga anakufa 2-1 Simba akitokea nyuma, Mavugo na Kichuya wakifanya yao

Simba vs Yanga mwaka Jana Azam Confederation cup nusu fainali, Yanga anakufa 4-1

Simba vs Fc platnum, 4-0.


Daahhh!!!
[emoji56][emoji56][emoji56][emoji56] kula[emoji1306]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…