Hebu tukumbushane machungu ya timu zetu siku tulipojutia kwenda uwanjani au Vibanda Umiza

Hebu tukumbushane machungu ya timu zetu siku tulipojutia kwenda uwanjani au Vibanda Umiza

Na hakuna match zilinipa raha Kama

Simba vs Yanga, Yanga anakufa 2-1 Simba akitokea nyuma, Mavugo na Kichuya wakifanya yao

Simba vs Yanga mwaka Jana Azam Confederation cup nusu fainali, Yanga anakufa 4-1

Simba vs Fc platnum, 4-0.


Daahhh!!!
[emoji56][emoji56][emoji56][emoji56] kula[emoji1306]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom