Alisina
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 4,178
- 4,449
Sawa,
Inasadikika Malcolm X kwa tabia yake ya kusoma sana maandishi (Japo pia inasemekana baba yake Malcom X aliwahi kufanya kazi kwa Marcus) Atakuwa alipitia Machapisho yake Mengi ya Huyu Marcus.
Moja ya Nukuu yake ambayo niliipenda "kutofahamu vyema historia yako ni Sawa na Mti uliokosa mizizi imara"
Inasemekana hakuwahi kufika Africa japo alianzisha kampuni ya Usafiri Black Star Line "Meli" ili Watu Weusi warudi zao Africa katika ardhi yao ya asili( Mababu)....hii movement ilifeli.
Kwa lugha nyepesi waweza kusema alikuwa Mnafiki.
Baada ya harakati kukwama alikwenda zake kuishi Uingereza hata kifo kimemukuta London akiwa Alone,Broke na Unpopular.
Wewe unakubaliana kuwa alikuwa mnafiki, alikuwa akihubiri asiyoyatenda....??
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasadikika Malcolm X kwa tabia yake ya kusoma sana maandishi (Japo pia inasemekana baba yake Malcom X aliwahi kufanya kazi kwa Marcus) Atakuwa alipitia Machapisho yake Mengi ya Huyu Marcus.
Moja ya Nukuu yake ambayo niliipenda "kutofahamu vyema historia yako ni Sawa na Mti uliokosa mizizi imara"
Inasemekana hakuwahi kufika Africa japo alianzisha kampuni ya Usafiri Black Star Line "Meli" ili Watu Weusi warudi zao Africa katika ardhi yao ya asili( Mababu)....hii movement ilifeli.
Kwa lugha nyepesi waweza kusema alikuwa Mnafiki.
Baada ya harakati kukwama alikwenda zake kuishi Uingereza hata kifo kimemukuta London akiwa Alone,Broke na Unpopular.
Wewe unakubaliana kuwa alikuwa mnafiki, alikuwa akihubiri asiyoyatenda....??
Simple, harakat zake za kupigania haki za mtu Mweusi hasa Bara la America, na Speaches zake zilizo tukuka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app