Hebu tuwe wawazi hapa jamani wana JF

Hebu tuwe wawazi hapa jamani wana JF

Word

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2016
Posts
1,356
Reaction score
3,235
et wanaJF wenzangu mi nashangaa sana hawa watumiaji wa madawa wanavyosemaga ile raha wanayoipata haina mfano hapa duniani..
Mi naawaambia hakuna raha isiyo na Mfano kama kutumia Fake Account JF. Yani una bubujika tuu.. Yani ukweli usemwe. Salam kwenu Verified User ila najua tuu mnazo zile za kujilipua.

[HASHTAG]#live[/HASHTAG] long JF
Ahsante Max
 

Attachments

  • MaskLaptop650.jpg
    MaskLaptop650.jpg
    12.1 KB · Views: 98
Hahaaa ni kweli mkuu,

Unaandika mashudu unavyotaka,

Mtu akikuboa, unampa kubwa yake [emoji3][emoji3][emoji3],

Ukute ni mama /baba mkwe wako[emoji3][emoji3][emoji3],
hapo ndo unaona raha yake yani.. na akikuzingua huku una switch nyingine tu hahah
 
[emoji72] [emoji72] [emoji72] [emoji72]
 
Mnaweza kutongozana pm kumbe ni kaka na dada wa damu kabisa, aseeh jf raha sana.
 
Unawez kuta unaebishan nae kumb ni room mate wako,, afu mkiwa mnapg stor mnaambian kuna mshkaj jf kanizngua nmemtukan hatakaa asahau kumb ni nyie hao hao mliokua mnatukanana [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kwel jf kiboko……!!!
 
et wanaJF wenzangu mi nashangaa sana hawa watumiaji wa madawa wanavyosemaga ile raha wanayoipata haina mfano hapa duniani..
Mi naawaambia hakuna raha isiyo na Mfano kama kutumia Fake Account JF. Yani una bubujika tuu.. Yani ukweli usemwe. Salam kwenu Verified User ila najua tuu mnazo zile za kujilipua.

[HASHTAG]#live[/HASHTAG] long JF
Ahsante Max
Ila kila mtu na kilevi chake
 
Mbaya mbovu ni kubishana na usiyemjua yaani unaweza jikuta unajibizana na mumeo humu
Hahahahahahahaaaaaaa.


Mi nahisi najibizana na rafiki yangu halafu tumelala kwenye bed moja na tunashushia na mastori kibao
 
Jf mnaweza kuwa maeneo ga kaz au kijiwen wote mna akaunt jf lakin hakuna hata mmoja anaejua mwenzake anatumia jinagani ni rahis mtu kukuambia pasword za m pesa sio acount name ya jf
 
Back
Top Bottom