Hebu tuwekane sawa kwenye hili


Kumbe!!!!!!!!!!!!

Dooes it make a difference; kumegwa siku ya kwanza ama kumegwa siku ya mwisho!😱
 
ni kuchunana tu akuna jingine na wengi wanatabia hiyo sana umemwalika umepanga bajeti yako na yy anaenda kuchukua shoga yake wachune buzi

Dr wacha uchoyo ndugu yangu!
Afrika yetu chakula ni kitamu kikiliwa na wengi nawe kama una wac wac na kabajeti kako ya nini kutaka makuu; na kwa nini ucimweleze bayana ama kumwuliza ataambana na nani; kuwa muwazi inakuweka huru!

Teh teh te so akija na campany yake mzee unafura ka chatu! kisa unwazia hotchair haitaosha maana uliagiza robo! teh teh teh teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…