Hebu tuwekane sawa, ndio kusema Rasimu ya Jaji Warioba imezikwa?

Hebu tuwekane sawa, ndio kusema Rasimu ya Jaji Warioba imezikwa?

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Wanasiasa hebu twende taratibu maana mnatuchanganya, hivi ndio kusema kazi nzuri iliyofanywa na tume/kamati ya Jaji Warioba ndio dead and burried na sasa tunaletewa usanii wa kikosi kazi kilichojaa wahuni na walafi?

Hebu tuelimishane hapa wengine tunashindwa hata kuelewa kinachoendelea, maana kama ni issue ya katiba mpya tayari rasimu ipo, na kama ni tume huru ya uchaguzi ipo ndani ya rasimu ya Warioba, hiki kikosi kazi kilichojaa wahuni, matapeli wa kisiasa na walafi ni cha kazi gani?

Zitto hata wewe? Hukuumbwa na haya? Huna aibu?
 
Rasimu ya Jaji Warioba itumike kama bench mark, kazi ilikuwa nzuri na tutaanzia hapo - ifike pahala watanzania tuchore mstari kwamba - HAKUNA KATIBA MPYA HAKUNA UCHAGUZI 2025.
 
Slaa alisema kama ndo tukirudi kwenye katiba pendekezwa ya Mzee Sitta iwe ndo Katiba yetu! Bora hii 1977 yenye viraka vingi kuliko ile ya Mzee Sitta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rasimu ya Warioba ilikwisha jadiliwa na bunge maalumu la katiba chini ya mwenyekiti wa bunge hilo hayati Mzee Sita na aliyekuwa makamu wake ambaye kwa sasa ndiye Rais, hivyo kilichobaki ni kura ya maoni tu.
 
Rais mwenyewe anaiogopa katiba mpya, viongozi wote wanaiogopa katiba mpya sidhani kama litakua jambo rahisi kufanikisha
 
We endelea kulia tu, kikosi kilishateuliwa na kipo kazini. We endelea kuwaza rasimu ya warioba!
 
Rasimu ya Jaji Warioba itumike kama bench mark, kazi ilikuwa nzuri na tutaanzia hapo - ifike pahala watanzania tuchore mstari kwamba - HAKUNA KATIBA HAKUNA UCHAGUZI 2025.
Katiba ipo na hakuna mwaka uchaguzi hautakuwepo, labda nyie wananchi sijui wa wapi ambao kwa uchache wenu hamtapiga kura lakini uchaguzi utakuwepo tu.
 
Katiba ipo na hakuna mwaka uchaguzi hautakuwepo, labda nyie wananchi sijui wa wapi ambao kwa uchache wenu hamtapiga kura lakini uchaguzi utakuwepo tu.
Uchaguzi gani ndugu wa kukimbizana na mabox ya kura mchana mchana - aibu kubwa.
 
Rais mwenyewe anaiogopa katiba mpya, viongozi wote wanaiogopa katiba mpya sidhani kama litakua jambo rahisi kufanikisha
Jifunzeni kutoka kwa nchi zilizoandika katiba mpya zikidhani ndiyo maendeleo kumbe ni vurumai tupu. Jifunzeni Kenya, Zambia, Malawi etc. Zimebadisha marais toka vyama mbalimbali lakini hakuna maendeleo yoyote
 
Rasimu ya Warioba ilikwisha jadiliwa na bunge maalumu la katiba chini ya mwenyekiti wa bunge hilo hayati Mzee Sita na aliyekuwa makamu wake ambaye kwa sasa ndiye Rais, hivyo kilichobaki ni kura ya maoni tu.
Kwani nini maana ya si hasa?!
 
Wanasiasa hebu twende taratibu maana mnatuchanganya, hivi ndio kusema kazi nzuri iliyofanywa na tume/kamati ya Jaji Warioba ndio dead and burried na sasa tunaletewa usanii wa kikosi kazi kilichojaa wahuni na walafi?

Hebu tuelimishane hapa wengine tunashindwa hata kuelewa kinachoendelea, maana kama ni issue ya katiba mpya tayari rasimu ipo, na kama ni tume huru ya uchaguzi ipo ndani ya rasimu ya Warioba, hiki kikosi kazi kilichojaa wahuni, matapeli wa kisiasa na walafi ni cha kazi gani?

Zitto hata wewe? Hukuumbwa na haya? Huna aibu?
kama kuna wakati tunapaswa kuwa makini basinisasa, japo niwakati wa wale wote walio nyuma ya waminya haki wote kuwa hadharani kwani mbinu zote zimekisha sasa hakuna namna watajulikana tu''ccm hawana nia ya kuleta haki ktk nchi hii rasimu ya warioba ilitosha kuwa suruhisho la katiba bora hapa nchini imeweka kila kitu katika usawa na namna ya upatikanaji wa madaraka,kujaribu kuunda vijitume ili kufifisha kelele zakudai katiba na tume huru wanajidharirisha zaidi.
 
Wanasiasa hebu twende taratibu maana mnatuchanganya, hivi ndio kusema kazi nzuri iliyofanywa na tume/kamati ya Jaji Warioba ndio dead and burried na sasa tunaletewa usanii wa kikosi kazi kilichojaa wahuni na walafi?

Hebu tuelimishane hapa wengine tunashindwa hata kuelewa kinachoendelea, maana kama ni issue ya katiba mpya tayari rasimu ipo, na kama ni tume huru ya uchaguzi ipo ndani ya rasimu ya Warioba, hiki kikosi kazi kilichojaa wahuni, matapeli wa kisiasa na walafi ni cha kazi gani?

Zitto hata wewe? Hukuumbwa na haya? Huna aibu?
NI wazi kuwa watawala wa ccm hawataki Katiba Mpya..
Polepole aliwahi kuwatahadharisha kuwa Uchaguzi ukiwa wa huru na haki wanaangukia pua!
Na hiyo ndo hofu yao kubwa juu ya ujio wa Katiba Mpya..

 
Back
Top Bottom