Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
- Thread starter
-
- #21
Kwa nini itupangie pa kujifunza? Kwa nini tusijifunze South Africa, Ghana au Marekani?Jifunzeni kutoka kwa nchi zilizoandika katiba mpya zikidhani ndiyo maendeleo kumbe ni vurumai tupu. Jifunzeni Kenya, Zambia, Malawi etc. Zimebadisha marais toka vyama mbalimbali lakini hakuna maendeleo yoyote
Na haiwezekani wote tukawa maRais ! Twendeni polepole tutafika tu ! Subira yavuta heri bandugu !!Ndiyo uchaguzi huo, si rais yupo bwana, au ulitakeje wewe!
Time barred! Muda uliopita ni mrefu mno kutoka pale maoni yalipotolewa; kwa hiyo kunahitajika mchakato mwingine mpya kabisa na maoni mengine mapya pia. Mambo mengi mno yameshabadilikaWanasiasa hebu twende taratibu maana mnatuchanganya, hivi ndio kusema kazi nzuri iliyofanywa na tume/kamati ya Jaji Warioba ndio dead and burried na sasa tunaletewa usanii wa kikosi kazi kilichojaa wahuni na walafi?
Hebu tuelimishane hapa wengine tunashindwa hata kuelewa kinachoendelea, maana kama ni issue ya katiba mpya tayari rasimu ipo, na kama ni tume huru ya uchaguzi ipo ndani ya rasimu ya Warioba, hiki kikosi kazi kilichojaa wahuni, matapeli wa kisiasa na walafi ni cha kazi gani?
Zitto hata wewe? Hukuumbwa na haya? Huna aibu?
Jifunzeni kutoka kwa nchi zilizoandika katiba mpya zikidhani ndiyo maendeleo kumbe ni vurumai tupu. Jifunzeni Kenya, Zambia, Malawi etc. Zimebadisha marais toka vyama mbalimbali lakini hakuna maendeleo yoyote
Ina maana maoni yaliyotolewa yalikusudia yatumike kwa miaka kumi tu kisha yatafutwe tena maoni mengine kwa kuwa mambo mengi mno yamebadilika ??!!Time barred! Muda uliopita ni mrefu mno kutoka pale maoni yalipotolewa; kwa hiyo kunahitajika mchakato mwingine mpya kabisa na maoni mengine mapya pia. Mambo mengi mno yameshabadilika
Wewe ni kijana au mzee?kama kijana nakupa pole sana,una akili ya kanga,tishert na kofia na kusubiria kuiba kuraJifunzeni kutoka kwa nchi zilizoandika katiba mpya zikidhani ndiyo maendeleo kumbe ni vurumai tupu. Jifunzeni Kenya, Zambia, Malawi etc. Zimebadisha marais toka vyama mbalimbali lakini hakuna maendeleo yoyote
We jamaa Sijui una akili za wapJifunzeni kutoka kwa nchi zilizoandika katiba mpya zikidhani ndiyo maendeleo kumbe ni vurumai tupu. Jifunzeni Kenya, Zambia, Malawi etc. Zimebadisha marais toka vyama mbalimbali lakini hakuna maendeleo yoyote
Watanzania Tuipiganie RASIMU YA WARIOBA hakuna sababu ya Kuhangaika na KIKOSI KAZIWanasiasa hebu twende taratibu maana mnatuchanganya, hivi ndio kusema kazi nzuri iliyofanywa na tume/kamati ya Jaji Warioba ndio dead and burried na sasa tunaletewa usanii wa kikosi kazi kilichojaa wahuni na walafi?
Hebu tuelimishane hapa wengine tunashindwa hata kuelewa kinachoendelea, maana kama ni issue ya katiba mpya tayari rasimu ipo, na kama ni tume huru ya uchaguzi ipo ndani ya rasimu ya Warioba, hiki kikosi kazi kilichojaa wahuni, matapeli wa kisiasa na walafi ni cha kazi gani?
Zitto hata wewe? Hukuumbwa na haya? Huna aibu?