we nomahhahahah, ndio hivyo wimbo ulikuwa "kamatia chini x2..." hahahahaah
RIP AqulinaPlz tupo tunaomboleza msiba,tuache kwanza
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 ukimaliza ku bet njoo uichukue hahahhahaNAHUJA kumbe ile siku nilikukwaza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila nilisahau charger yangu
Wanadamu tunakosa ustaarabu.
Unakwenda kwenye ofisi ya mtu, "naomba uniwekee simu yangu ipate moto kidogo"
Cha ajabu hujazima li simu lako, volume umeweka ya juu, halafu wewe ni mtu wa kupigiwa simu mara kwa mara, yaani unamwachia mwenye ofisi kelele, na mbaya kuliko vyote haupo hata eneo la karibu umeshaenda na mambo yako🙁🙁🙁🙁.
Ukiomba kuwekewa huo moto, tafadhali zima simu yako au weka silence.
Nshachafukwa nafsi mie.
Nipo jirani. Njia ya kwenda kule kwetu inapanuliwa. Kwa ramani ya pale kwenu uliponielekeza, naona miti ile yote ya karibu na barabarani inatoka.NAHUJA upo
mmh! hahahahahahalivokuambia uiweke ipate moto kidogo, sasa ofisini kwenu si kuna jiko la ofisi na maikrowevu. ungeiweka kama dakika tano hivi. nakuhakikishia ingepata moto. achana na maikrowevu wewe
Si kwa vumbi lile jirani aisee tutakufa hakuna raha wala amani nitakutafuta nikimaliza ubuzy kiasiNipo jirani. Njia ya kwenda kule kwetu inapanuliwa. Kwa ramani ya pale kwenu uliponielekeza, naona miti ile yote ya karibu na barabarani inatoka.
Barua wali iparua kwa ajili ya Waziri Mkuu, jana alipita pale alienda halmashauri akasaini kitabu cha wageni halafu akapasua hadi Igombe kuongea na wananchi. Ila kuna vumbi balaa.Si kwa vumbi lile jirani aisee tutakufa hakuna raha wala amani nitakutafuta nikimaliza ubuzy kiasi
Loool!!! Hata kujua kama alipita huko si kwa vyuma kukazaBarua wali iparua kwa ajili ya Waziri Mkuu, jana alipita pale alienda halmashauri akasaini kitabu cha wageni halafu akapasua hadi Igombe kuongea na wananchi. Ila kuna vumbi balaa.
Hahah alipita, eti vijana fulani hivi wakawa wameandaa mabango yao kuelezea kero, wakawa wamesimama pale "Centre" wakijaribu kufunga njia. hahahahahahah, gari ya FFU ilipita kidogo wagongwe wakakomaa tu, zilivyopita zingine walijistukia kila mmoja kadondokea upande wake. hahahahahahaLoool!!! Hata kujua kama alipita huko si kwa vyuma kukaza
Haahaaaaaaaaaaaa yale huwa yanapangwa ati wananchi wamsimamisha JPM au Majaliwa uongo mkubwa uleHahah alipita, eti vijana fulani hivi wakawa wameandaa mabango yao kuelezea kero, wakawa wamesimama pale "Centre" wakijaribu kufunga njia. hahahahahahah, gari ya FFU ilipita kidogo wagongwe wakakomaa tu, zilivyopita zingine walijistukia kila mmoja kadondokea upande wake. hahahahahaha
Sasa wa kwetu jana naona walijipangia tu. hahahahahahhaahaha. walioshuhudia wanasema kidogo yatokee maafa.Haahaaaaaaaaaaaa yale huwa yanapangwa ati wananchi wamsimamisha JPM au Majaliwa uongo mkubwa ule
Aiseee hii hatari sana,hakuna shida mchana mwemaSasa wa kwetu jana naona walijipangia tu. hahahahahahhaahaha. walioshuhudia wanasema kidogo yatokee maafa.
AmeeeeeeeeeeeeeeeenAiseee hii hatari sana,hakuna shida mchana mwema