Hebu tuweni wastaarabu hebu ona huyu....

Hebu tuweni wastaarabu hebu ona huyu....

hahahaha, bado nina hasira
27971570_159552564837599_6818417740656196653_n.jpg
😀😀😀 angalia usijechezea kichapo mkuu.
 
Bora hao mtu anaomba maji ya kunywa
Kwani ulikotoka maduka hakuna au? Unapangia watu kukupa maji kisa umekuja ofsini kwao? Ungekuwa umeleta hela basi. Unafata msaada na maji upewe ?
 
NAHUJA kumbe ile siku nilikukwaza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila nilisahau charger yangu
 
Wanadamu tunakosa ustaarabu.

Unakwenda kwenye ofisi ya mtu, "naomba uniwekee simu yangu ipate moto kidogo"
Cha ajabu hujazima li simu lako, volume umeweka ya juu, halafu wewe ni mtu wa kupigiwa simu mara kwa mara, yaani unamwachia mwenye ofisi kelele, na mbaya kuliko vyote haupo hata eneo la karibu umeshaenda na mambo yako🙁🙁🙁🙁.

Ukiomba kuwekewa huo moto, tafadhali zima simu yako au weka silence.

Nshachafukwa nafsi mie.

alivokuambia uiweke ipate moto kidogo, sasa ofisini kwenu si kuna jiko la ofisi na maikrowevu. ungeiweka kama dakika tano hivi. nakuhakikishia ingepata moto. achana na maikrowevu wewe
 
alivokuambia uiweke ipate moto kidogo, sasa ofisini kwenu si kuna jiko la ofisi na maikrowevu. ungeiweka kama dakika tano hivi. nakuhakikishia ingepata moto. achana na maikrowevu wewe
mmh! hahahahahah
 
Nipo jirani. Njia ya kwenda kule kwetu inapanuliwa. Kwa ramani ya pale kwenu uliponielekeza, naona miti ile yote ya karibu na barabarani inatoka.
Si kwa vumbi lile jirani aisee tutakufa hakuna raha wala amani nitakutafuta nikimaliza ubuzy kiasi
 
Si kwa vumbi lile jirani aisee tutakufa hakuna raha wala amani nitakutafuta nikimaliza ubuzy kiasi
Barua wali iparua kwa ajili ya Waziri Mkuu, jana alipita pale alienda halmashauri akasaini kitabu cha wageni halafu akapasua hadi Igombe kuongea na wananchi. Ila kuna vumbi balaa.
 
Barua wali iparua kwa ajili ya Waziri Mkuu, jana alipita pale alienda halmashauri akasaini kitabu cha wageni halafu akapasua hadi Igombe kuongea na wananchi. Ila kuna vumbi balaa.
Loool!!! Hata kujua kama alipita huko si kwa vyuma kukaza
 
Loool!!! Hata kujua kama alipita huko si kwa vyuma kukaza
Hahah alipita, eti vijana fulani hivi wakawa wameandaa mabango yao kuelezea kero, wakawa wamesimama pale "Centre" wakijaribu kufunga njia. hahahahahahah, gari ya FFU ilipita kidogo wagongwe wakakomaa tu, zilivyopita zingine walijistukia kila mmoja kadondokea upande wake. hahahahahaha
 
Hahah alipita, eti vijana fulani hivi wakawa wameandaa mabango yao kuelezea kero, wakawa wamesimama pale "Centre" wakijaribu kufunga njia. hahahahahahah, gari ya FFU ilipita kidogo wagongwe wakakomaa tu, zilivyopita zingine walijistukia kila mmoja kadondokea upande wake. hahahahahaha
Haahaaaaaaaaaaaa yale huwa yanapangwa ati wananchi wamsimamisha JPM au Majaliwa uongo mkubwa ule
 
Naongezea tu na kwenye
Nyumba za ibada mzme cm
Zen mtu umeenda ibada badala
Ufuate kilichokupeleka unaanza kuchart
Badiliken
 
Back
Top Bottom