Hebu tuweni wastaarabu hebu ona huyu....

Fungua upande huo unakaa betri angalia sehemu yenye uwaz ambao unaona mpaka ndani ueke vimaji kidogo likiwa ivoivo on.
Hatakuja kukusumbua tena
 
Kwann usiizime na wewe.

Unatuletea tabia za kiswahili za kulalamika kwa vitu vya kpuuzi
 
Wakoromije ndivyo walivyo!!! 😱😱😱

 


Una moyo, ingekuwa mimi nalitupilia mbali lisimu kisha namwambia mwenye simu sikumuona aliyeichukua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…