Hebu tuyaangazie mafanikio ya Diamond Platnumz mwaka huu wa 2018. Tunaweza pata cha kujifunza

Hebu tuyaangazie mafanikio ya Diamond Platnumz mwaka huu wa 2018. Tunaweza pata cha kujifunza

Labda mafanikio ya kibongo bongo,kina Davido wapo levo za private jet na Mansion.

-Dimondi atoke madale anunue "Low Density" area >3600 sqm ajenge Mansion auze screpa za japan anunue vitu vya mjerumani/muiingereza.

-Awekeze kwenye Manufacturing aache kutumika na kina kusaga kuuza perfume na karanga,aanzishe kiwanda chake hapo ndio tutasema ana mafanikio.

Sijawahi kuona msanii mwenye mafanikio anaishi kwenye kiwanja kama kiganja cha mkono,sijawahi kuona msanii mwenye mfanikio anatembelea screpa za japan zenye zaidi ya km laki moja,sijawahi kuona msanii mwenye mafanikio hana big investiment zaidi ya udananda(uchuuzi).
Broe nayaheshimu mawazo yako lakin nayapinga kwa asilimia mia... hakuna kampuni ambayo inamilikiwa na mtu mmoja, hilo la kwanza.... la pili kumiliki mansion sio ndo kuwa una mafanikio.... chris brown aliulizwaga km ana mansion lakin alikataa kuwa sio dream yake.... christiano ronaldo hana private jet... na kuongezea hapo kwa ronaldo ile nembo ya cr7 inatumika na nike kwny upande wa viatu na adidas kwny nguo, hana umiliki wa asilimia mia wa ile nembo na hana kiwanda cha kuzalisha hvo viatu wala nguo... Rihanna ile brand yake ya fenty anashare na puma.... hiyo n mifano michache sana kati ya mingi iliyopo kwa wasanii wengi waliopo... hapo hatujagusia matajiri konk wa dunia au hapahapa bongo ambapo mo dewji ana umiliki wa asilimia 65% ya kampuni lake na bakhresa 80%. Sasa mi nakushangaa sana unapodai mond anatumika na kina kusaga.. kivp labda mi sijakuelewa hapo.... hata akiwa na umiliki wa 50% unatosha kabisa sababu ile ni kampuni na kwa taarifa tu hakuna kampuni ya mtu mmoja tu.... ukienda microsoft bill gates ana hisa chache sana.... facebook hisa zimegawanywa kwanza kwa wale macofounder wanne ndo na wengine wamefata..... sasa hapo cjajua hoja yako ni ipi. Labda unambie kuwa kwny mambo ya kibiashara hazikupandi....
Kuhusu magari... harrier nahisi huijui vizuri ndo maana unasema ni screpa... BMW bado hujawahi isikia ndo maana unahisi inafanana na mark II... nayaheshimu mawazo yako lakini nakupa pole sana sababu ni baba wa mtu fulani ambaye anajivunia kuwa na mshua hatari wakati sie huku tunakuona zuzu... 🙏🙏🙏
 
Broe nayaheshimu mawazo yako lakin nayapinga kwa asilimia mia... hakuna kampuni ambayo inamilikiwa na mtu mmoja, hilo la kwanza.... la pili kumiliki mansion sio ndo kuwa una mafanikio.... chris brown aliulizwaga km ana mansion lakin alikataa kuwa sio dream yake.... christiano ronaldo hana private jet... na kuongezea hapo kwa ronaldo ile nembo ya cr7 inatumika na nike kwny upande wa viatu na adidas kwny nguo, hana umiliki wa asilimia mia wa ile nembo na hana kiwanda cha kuzalisha hvo viatu wala nguo... Rihanna ile brand yake ya fenty anashare na puma.... hiyo n mifano michache sana kati ya mingi iliyopo kwa wasanii wengi waliopo... hapo hatujagusia matajiri konk wa dunia au hapahapa bongo ambapo mo dewji ana umiliki wa asilimia 65% ya kampuni lake na bakhresa 80%. Sasa mi nakushangaa sana unapodai mond anatumika na kina kusaga.. kivp labda mi sijakuelewa hapo.... hata akiwa na umiliki wa 50% unatosha kabisa sababu ile ni kampuni na kwa taarifa tu hakuna kampuni ya mtu mmoja tu.... ukienda microsoft bill gates ana hisa chache sana.... facebook hisa zimegawanywa kwanza kwa wale macofounder wanne ndo na wengine wamefata..... sasa hapo cjajua hoja yako ni ipi. Labda unambie kuwa kwny mambo ya kibiashara hazikupandi....
Kuhusu magari... harrier nahisi huijui vizuri ndo maana unasema ni screpa... BMW bado hujawahi isikia ndo maana unahisi inafanana na mark II... nayaheshimu mawazo yako lakini nakupa pole sana sababu ni baba wa mtu fulani ambaye anajivunia kuwa na mshua hatari wakati sie huku tunakuona zuzu... 🙏🙏🙏
Rudia kusoma tena kisha mshauri Dimondi anunue kiwanja kikubwa aachane na viganja vya mkono.
 
Nimeishia kusoma uliposema A BOY FROM TANDALE ilikua bonge la album,.. that shit was trash,kajaza ngoma kibao ambazo alishazitoaga, nyimbo mpya za kuhesabu n they trash.
 
Nimeishia kusoma uliposema A BOY FROM TANDALE ilikua bonge la album,.. that shit was trash,kajaza ngoma kibao ambazo alishazitoaga, nyimbo mpya za kuhesabu n they trash.
Tatizo lenu hamjui albam ipoje na huwa na sifa gan....
 
Rudia kusoma tena kisha mshauri Dimondi anunue kiwanja kikubwa aachane na viganja vya mkono.
Uwanja kiganja? Broe mmmmh nakuonea had huruma.... tuzungumzie kwanza madale.... sehemu ambapo amejenga nyumba ya bei ghali, ina swimming pool kubwa, garden na nafasi ya kutosha kupark hata magari 7 unaita wanja kiganja? Na wale ambao gari likishapak uwanja ushaisha utawaitaje? Acha chuki binafsi jomba... kikubali kile kidogo alichofanya mwenzako mzee baba... afu unavozid kuandika inaonekana ndo unapotea zaidi...
 
Msanii diamond platnumz ni moja ya wasanii wenye mafanikio sana katika medani ya muziki Tanzania na Afrika kiujumla... safari yake kimziki ilianza miaka tisa iliyopita (2009) baada ya kutoa wimbo wa "nenda kamwambie" ambao ulimtangaza vilivyo na hapo hapo kuchomoza. Mapito yake mpaka alipofikia leo ni makubwa na ya kukatisha tamaa kwa mtu mwenye roho nyepesi... tuachane na hayo twende kwenye maada husika.... Tuangazie katiaka nyanja mbalimbali....

Tukianza na MUZIKI
Kwa mwaka huu diamond kafanya poa sana kimuziki. Kaachia albamu ya A BOY FROM TANDALE ambayo ukisikiliza nyimbo zake mule sio za kitoto... unajua kweli kuna gwiji wa muziki kakaa hapa. Albamu ina ngoma kibao zinazohit mtaan... zikiongozwa na "AFRICAN BEAUTY" Alomshirikisha mwimbaji wa kimarekani Omarion....
Kwenye upande wa kolabo usipime... nadhani kila unayesoma huu uzi unaijua vizuri shida ya KWANGWARU huko mitaani... kuna TIME TO PARTY aliyoshirikishwa na Mr flavour, na hii hitsong ya sasa ambayo wabongo tunaiita homa ya jiji #JIBEBE Idea ya kijana wake Mshedede almaarufu kama Mbosso...View attachment 866166 Moja ya ngoma ambazo mond kafanya na kashirikishwa zkifanya poah sana huko kenya kwnye mtandao wa itunes

View attachment 866174 Master of collabos... [emoji119][emoji119][emoji119]

Tukija upande wa MATANGAZO ya makampuni...
Diamond kasaini mikataba mingi minono minono na makampuni makubwa duniani. Kasaini mkataba na kampuni ya vinywaji ya kifaransa Bellaire... View attachment 866134 Bellaire yenye nembo ya diamond platnumz

Kasaini mkataba na gucci kampuni kubwa duniani la nguo ambao wanavalisha lebo na familia nzima... Gucci
GSM MALLS nazo bado zina mkataba naye... Bado pia dili na Safaricom ya kenya ambayo ni sawa na Vodacom kwa Tanzania.... Anamkataba na kampuni ya Cocacola View attachment 866137 iliyomfanya hadi kutengeneza wimbo spesho wa kombe la dunia wa #COLOURS na Jason derulo...

Kwa upande wa SHOWS...
Mwanzoni tu mwa mwaka huu diamond alipiga show km tatu hivi mfululizo huko Kenya...View attachment 866158 Baadhi ya poster za show huko Kenya

Akaja akapiga show kubwa kabisa Kenya hukohuko siku ya uzinduzi wa albam yake ya " A BOY FROM TANDALE".... alifunika pia kwa kujaza uwanja wa taifa kwenye siku ya kumtambulisha mbosso "MBOSSO DAY"... View attachment 866138 Mbosso day

Mwezi wa tano alienda kwenye show ya ONE MUSIC FEST inayowakutanisha mastaa kibao kutoka Afrika huko London.....
View attachment 866148....

Pia alikuwa na show huko sweden ndani ya mwezi huo huo...
Kama hiyo haitoshi akafanya tour ya albamu yake katika miji kumi huko marekani...View attachment 866140 poster ya show zake zote

Hakukaa akaelekea Mayotte ambako nako akafunika vya kutosha...View attachment 866141

Hakupoa tena huyooo Madagaskar ambako akaenda kujaza uwanja wa mpira...View attachment 866142 show ya mond alojaza uwanja huko madagascar

Hapo bado haitoshi ana show tatu kubwa huko Kanada mwezi wa kumi na moja...View attachment 866143View attachment 866144View attachment 866145

Kuna One music fest dubai inakuja....
Kuna nyingine hv karibuni mwezi huu huko Namibia....View attachment 866150...

Pia kuna wasafi festival tumeambiwa inakuja

Kwenye upande wa BIASHARA
Diamond platnumz ni mmoja ya wasanii wanaoiogopa sana kesho yao.. ndio maana kawekeza sana kwenye mziki wake na nje ya muziki... Ni msanii pekee kwa Afrika mashariki kuwa na Vituo vyake ya habari ambavyo ni Wasafi tv na Wasafi fm...kwa upande wa Afrika wapo wawili tu na yule mnaija Olomide...View attachment 866163
Pia ana karanga zake Diamond karanga ambazo zinafanya poah sana sokoni na kupitia hizo karanga kuna vijana wamebadirisha mpaka maisha yao kwa ofa mbalimbali zinazopatikana humo ambapo zawadi kubwa ya gari iliyotolewa kwa bwana Said wengine walidai imeizid hata ile ya miss Tanzania [emoji23][emoji23][emoji23]...View attachment 866164 kijana akiwa kwenye gari alilojishindia
Ana perfume zake zinazofanya poa sana huko uarabuni... ana lebo ambayo ni miongoni mwa lebo kubwa sana hapa Afrika yenye wasanii A-LIST ARTISTES ambao wana vibao vinavyosumbua sana mitaani... kama Chombo na Pochi nene kutoka kwa Rayvanny, Kwangwaru kwa Harmonize, Nadekezwa yake Mbosso, na Gundu ya Lavalava... Jibebe pia haijasahaulika hapo... ana studio yake binafsi ambayo imefanya poah sana kwa mwaka huu chini ya laizer (magic fingers).... View attachment 866171 Baadhi ya nyimbo za wasanii wa WCB Wasafi zinazofanya vizuri kwenye mtanfao wa boomplay music

Kwenye upande wa JAMII inayomzunguka
Vijana wengi wameinuliwa na diamond katika nyanja mbalimbali.. kuanzia watangazaji wa tv na redio, madansa, wasanii, wapiga picha, walinzi, wafanya usafi, madesigner, watu wa matangazo, nakadharika.... Kuna vijana waliojiajiri kupitia miradi ya diamond karanga na perfume.... Amekuwa piah akiwasaidia watu wanaoishi katika mazingira magumu, wagonjwa na yatima nje na ndani ya Tanzania View attachment 866168 Diamond akiwa huko Rwanda na watoto wenye matatizo ya macho

Bado skendo za ajabuajabu ambazo zimewainua wengi akiwemo Hamisa na wengine wote waliowahi kuhusishwa naye kimahusiano.... Bila kuwasahau wale wenye page za udaku na utube channel zinazotegemea mond afanye kitu ili wapate cha kupost wabust followers na subscribers wao....

Hizo ni baadhi tu ya yale mengi ambayo diamond kafanikisha kujiweka mahali salama.... hapo hatujazungumzia upande wa tuzo zake... kama ile ya mtv ya MVP...
Nominations kwnye afrimma USA vipengele sita na afrimma NAIJA... marry you kufikisha mauzo ya platinum mara sita (6× platinam sales),View attachment 866188

Kuimba mbele ya rais siku ua kuingia kwa ndege yetu pendwa Bombadier.... na ile inshu ya kuwa moja ya wasanii wanne kutoka Afrika ambao Billiboard walisema ni tishio la dunia baadae... wengine ni Wizkid, Davido, na Tiwa sawage View attachment 866187

Kiufupi mondi sio wa kispotispoti sidhan km ataweza poromoka leo au kesho....
Safi sana.
Hebu na ww tuekee mafanikio yako tuone sio kufatilia mambo ya watu.
 
Kwa Makala ndefu namna hii bila shaka wewe umo ndani ya wcb au ni mtu wao wa karibu
Wana Nyimbo nzuri bali pia washauri kwamba wanaWeza kufanya hitsongs bila MATUSI nyimbo za diamond na harmonize siku hizi ni matusi tupu
Mbona mboso na Rayvan wanahit bika matusi

Ni hayo yu
 
Safi sana.
Hebu na ww tuekee mafanikio yako tuone sio kufatilia mambo ya watu.
Ngoja nkuwekee ww unayependa kufuatilia ya watu... pengine labda bado huajuona huo uzi... nambie nkusaidie kukuonesha mpuuzi ww.... ulitumwa usome? Huku umefata nini km sio umbea wa kimama mama? Njoo nkuhadithie na yangu upate cha kujifunza ndo maana unatapatapa km mdangaji wa jiji.... nahis hata mama yako hana alichokufundisha ndo maana hujui umuhimu wa kujifunza kwa waliokutangulia....
 
Kwa Makala ndefu namna hii bila shaka wewe umo ndani ya wcb au ni mtu wao wa karibu
Wana Nyimbo nzuri bali pia washauri kwamba wanaWeza kufanya hitsongs bila MATUSI nyimbo za diamond na harmonize siku hizi ni matusi tupu
Mbona mboso na Rayvan wanahit bika matusi

Ni hayo yu
Hapana mie sipo hukoo... ni sawa na shabiki wa man u au arsenal ndakindaki aliyepo huku bongo... Kuhusu swala la nyimbo kuwa na mtusi ni mitazamo tu ya mtu na maana atayoweka katika neno hilo... hata neno "katika" nlilolitumia hapo juu ukilichukulia kwa maana yako lina maana tofaut na nliyoitumia mie hapo.... kingine ni kuwa mziki ni upepo... na sahv nyimbo za hvo zenye utata wa maana inbid ziwepo ili kukidhi mahitaji ya kila mmoja... mie siwezi nkasema km nyimbo zao zinamatusi tatizo cjaona tusi lolote kwny nyimbo zao ila wasikilizaji ndo wanamaana tofauti... kwa mfano rais wetu Mh Magufuli alipokuwa morogoro ashawahi sema "hapa kati patamu, sababu ni kati ya dar na dodoma" lakin watu walimcheka kwakuwa walikuwa na maana yao kichwani... lakini je rais alimaanisha hvooo? Ndo hivo mkuu...
 
Yote tisa ,kumi je kamfanyia nini mola wake na kajiaandaa vipi na kaburi lake maana sio kwa misalaba hio hapo kifuani au ndo usanii na ustaa...dunia mapito mkumbushe ...
Wewe mwenyewe umeshajiuliza umejiandaa vipi na mola wako?ko in short akuna msanii any one ambaye anamapendezi machoni pa MUNGU even choir singers.
 
Labda mafanikio ya kibongo bongo,kina Davido wapo levo za private jet na Mansion.

-Dimondi atoke madale anunue "Low Density" area >3600 sqm ajenge Mansion auze screpa za japan anunue vitu vya mjerumani/muiingereza.

-Awekeze kwenye Manufacturing aache kutumika na kina kusaga kuuza perfume na karanga,aanzishe kiwanda chake hapo ndio tutasema ana mafanikio.

Sijawahi kuona msanii mwenye mafanikio anaishi kwenye kiwanja kama kiganja cha mkono,sijawahi kuona msanii mwenye mfanikio anatembelea screpa za japan zenye zaidi ya km laki moja,sijawahi kuona msanii mwenye mafanikio hana big investiment zaidi ya udananda(uchuuzi).
Unagubu you will die alone
 
Nimeishia kusoma uliposema A BOY FROM TANDALE ilikua bonge la album,.. that shit was trash,kajaza ngoma kibao ambazo alishazitoaga, nyimbo mpya za kuhesabu n they trash.
Hizo kwani mbona Ni fire you're a hater shamelessness on you.
 
Uwanja kiganja? Broe mmmmh nakuonea had huruma.... tuzungumzie kwanza madale.... sehemu ambapo amejenga nyumba ya bei ghali, ina swimming pool kubwa, garden na nafasi ya kutosha kupark hata magari 7 unaita wanja kiganja? Na wale ambao gari likishapak uwanja ushaisha utawaitaje? Acha chuki binafsi jomba... kikubali kile kidogo alichofanya mwenzako mzee baba... afu unavozid kuandika inaonekana ndo unapotea zaidi...

Nazungumzia msanii kama Dimondi kuwa na kiwanja kama kiganja ni "UFALA" huyo hamna hamna inatakiwa amiliki si chini ya kiwanja cha ekari moja ndio ajenge mansion,swimming pool ya 5m kwa 10m,parking ya gari 7 hazilipi space kihivyo,madale hawezi kupark gari 7 ndani,kwa kile kiganja kajitahidi sana kwa kubana labda mbili nyingine alaze CCM au nje ya fense.
 
Unagubu you will die alone
Nyie matimu MAVI msanii wenu akiambiwa ukweli mnasema GUBU mara haters acheni "UFALA" ,Gubu la nini wakati huyo msanii wenu haniingizii lolote,awe nacho au afulie siathiriki na chochote wala haiathiri kazi zangu za kukata mkaa.

Ukweli lazima tuseme ajenge kwenye uwanja mkubwa ni aibu kwa msanii kama yeye kujenga kwenye kiganja cha mkono na auze screpa za japani.
 
Nazungumzia msanii kama Dimondi kuwa na kiwanja kama kiganja ni "UFALA" huyo hamna hamna inatakiwa amiliki si chini ya kiwanja cha ekari moja ndio ajenge mansion,swimming pool ya 5m kwa 10m,parking ya gari 7 hazilipi space kihivyo,madale hawezi kupark gari 7 ndani,kwa kile kiganja kajitahidi sana kwa kubana labda mbili nyingine alaze CCM au nje ya fense.
Wewe unacho ata hicho au msanii gani bongo anaemfikia?
 
Back
Top Bottom