Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Sasa Kama auathiriki mbona unalazimisha,Kwanza ulishaingia madale?Nyie matimu MAVI msanii wenu akiambiwa ukweli mnasema GUBU mara haters acheni "UFALA" ,Gubu la nini wakati huyo msanii wenu haniingizii lolote,awe nacho au afulie siathiriki na chochote wala haiathiri kazi zangu za kukata mkaa.
Ukweli lazima tuseme ajenge kwenye uwanja mkubwa ni aibu kwa msanii kama yeye kujenga kwenye kiganja cha mkono na auze screpa za japani.