Hebu tuyaangazie mafanikio ya Diamond Platnumz mwaka huu wa 2018. Tunaweza pata cha kujifunza

Hebu tuyaangazie mafanikio ya Diamond Platnumz mwaka huu wa 2018. Tunaweza pata cha kujifunza

Nyie matimu MAVI msanii wenu akiambiwa ukweli mnasema GUBU mara haters acheni "UFALA" ,Gubu la nini wakati huyo msanii wenu haniingizii lolote,awe nacho au afulie siathiriki na chochote wala haiathiri kazi zangu za kukata mkaa.

Ukweli lazima tuseme ajenge kwenye uwanja mkubwa ni aibu kwa msanii kama yeye kujenga kwenye kiganja cha mkono na auze screpa za japani.
Sasa Kama auathiriki mbona unalazimisha,Kwanza ulishaingia madale?
 
Sasa Kama auathiriki mbona unalazimisha,Kwanza ulishaingia madale?
Sijawahi kuingia madale na sitaingia madale ila hainizuii kuizungumia madale kwani madale nimeiona kwenye Behind scene za video zake na niliona siku walipokuwa wanafanya sherehe sikumbuki ni sherehe gani,kwa kifupi amejenga kwenye KIGANJA cha Mkono.
 
Sijawahi kuingia madale na sitaingia madale ila hainizuii kuizungumia madale kwani madale nimeiona kwenye Behind scene za video zake na niliona siku walipokuwa wanafanya sherehe sikumbuki ni sherehe gani,kwa kifupi amejenga kwenye KIGANJA cha Mkono.
Siku nyingine utumie bangi ya kasulu ndo kali
 
Back
Top Bottom