Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Sasa Kama auathiriki mbona unalazimisha,Kwanza ulishaingia madale?Nyie matimu MAVI msanii wenu akiambiwa ukweli mnasema GUBU mara haters acheni "UFALA" ,Gubu la nini wakati huyo msanii wenu haniingizii lolote,awe nacho au afulie siathiriki na chochote wala haiathiri kazi zangu za kukata mkaa.
Ukweli lazima tuseme ajenge kwenye uwanja mkubwa ni aibu kwa msanii kama yeye kujenga kwenye kiganja cha mkono na auze screpa za japani.
Sina hata kiwanja mkuu na bongo hakuna anayemfikia kwani yeye ndio msanii bilionea tz ambaye amejenga nyumba kwenye kiganja cha mkono.Wewe unacho ata hicho au msanii gani bongo anaemfikia?
Sijawahi kuingia madale na sitaingia madale ila hainizuii kuizungumia madale kwani madale nimeiona kwenye Behind scene za video zake na niliona siku walipokuwa wanafanya sherehe sikumbuki ni sherehe gani,kwa kifupi amejenga kwenye KIGANJA cha Mkono.Sasa Kama auathiriki mbona unalazimisha,Kwanza ulishaingia madale?
Siku nyingine utumie bangi ya kasulu ndo kaliSijawahi kuingia madale na sitaingia madale ila hainizuii kuizungumia madale kwani madale nimeiona kwenye Behind scene za video zake na niliona siku walipokuwa wanafanya sherehe sikumbuki ni sherehe gani,kwa kifupi amejenga kwenye KIGANJA cha Mkono.
Kalale Sasa tumeshakusikia.Sina hata kiwanja mkuu na bongo hakuna anayemfikia kwani yeye ndio msanii bilionea tz ambaye amejenga nyumba kwenye kiganja cha mkono.
Natumia ya Arusha Mkuu ya kasulu sio kali.Siku nyingine utumie bangi ya kasulu ndo kali
Sawa mpekelee huo ushauri BOSS wenu.Kalale Sasa tumeshakusikia.