Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimepita kuwasalimia .....nataraji nyote wazima na matayarisho ya Eid kesho
breakfast is on me 🙂
Tembo ana pembe? au unamaanisha pembe za digi digi?Kuna biashara ya pembe za tembo
Tembo ana pembe? au unamaanisha pembe za digi digi?
Heeeeee teacher,
Mzima wewe? Karibu kahawa!
mzima ila kidogo under the weather lately
Kahawa inanidhuru, labda chai au fresh juice 😀
Mbona unaharaka sana unawahi kutayarisha pilau la kesho
Ukichanganya na valuu inakuwa fresh
Kwani kuwa panya wa lab kitu gani baaanaaaa! we kamata chai weka whisky, weeeee!! kitu inakuwa tamu balaaa!chai na valuu ee ......wewe ushawahi jaribu hiyo, au unatafuta panya wa lab?
chai na valuu ee ......wewe ushawahi jaribu hiyo, au unatafuta panya wa lab?
Kwani kuwa panya wa lab kitu gani baaanaaaa! we kamata chai weka whisky, weeeee!! kitu inakuwa tamu balaaa!
hahaha haya bwana nimewasikia, nitachanganya chai, juice na valuu nione nini inakuwa. Mkisikia sauti imepotea mtajua matokeo mazuri!
Hiyo ni level ya kwanza ya majaribio hapo bado kama level zingine 9
level ya 9 nitakuwa nime paralyze kabisa au? :doh:
nimekugongea senks maty,huyu kakangu asprin na babu DC ni wastaarabu sana,kaka asprin karithi ustaarabu kwa babu na mim nimerithi kwa kaka asprin.
najivunia kuwa na kaka kama asprin,ukiachillia mbali issue zake na eliza ni mtu safi sanaaa.kaka yangu asprin ni mfano wa jinsi kidume kinataiwa kuwa.Nampenda sana brutha asprin sababu sijawahi kumuona akijibizana na mtu.
MY KAKA ASPRIN IZ SOO COOL.
LOLs.
Queen mambo? Nimekutaka urafiki kule..........:smile-big::smile-big::smile-big: