Hebu wachek hawa Aspirin sijui ndio Chrispin sina uhakika na Dark City (DC)

Hebu wachek hawa Aspirin sijui ndio Chrispin sina uhakika na Dark City (DC)

chai na valuu ee ......wewe ushawahi jaribu hiyo, au unatafuta panya wa lab?
Kwani kuwa panya wa lab kitu gani baaanaaaa! we kamata chai weka whisky, weeeee!! kitu inakuwa tamu balaaa!
 
chai na valuu ee ......wewe ushawahi jaribu hiyo, au unatafuta panya wa lab?

Siku moja moja lazima ukubali kuingia lab na kufanya majaribio hauwezijua unaweza kuwa kama akina CHARLES GLASS, JOHNNIE WALKER,
 
hahaha haya bwana nimewasikia, nitachanganya chai, juice na valuu nione nini inakuwa. Mkisikia sauti imepotea mtajua matokeo mazuri!
 
hahaha haya bwana nimewasikia, nitachanganya chai, juice na valuu nione nini inakuwa. Mkisikia sauti imepotea mtajua matokeo mazuri!

Hiyo ni level ya kwanza ya majaribio hapo bado kama level zingine 9
 
nimekugongea senks maty,huyu kakangu asprin na babu DC ni wastaarabu sana,kaka asprin karithi ustaarabu kwa babu na mim nimerithi kwa kaka asprin.
najivunia kuwa na kaka kama asprin,ukiachillia mbali issue zake na eliza ni mtu safi sanaaa.kaka yangu asprin ni mfano wa jinsi kidume kinataiwa kuwa.Nampenda sana brutha asprin sababu sijawahi kumuona akijibizana na mtu.
MY KAKA ASPRIN IZ SOO COOL.
LOLs.

Queen mambo? Nimekutaka urafiki kule..........:smile-big::smile-big::smile-big:
 
Back
Top Bottom