Hebu wachek hawa Aspirin sijui ndio Chrispin sina uhakika na Dark City (DC)

Hebu wachek hawa Aspirin sijui ndio Chrispin sina uhakika na Dark City (DC)

Mmmhhh ikiwa ya dharura sinta enjoy sana nataka tupange kabisaaaaaaaaa si wajua tena

Hahahahaha....Babu alimaanisha kama inabidi upelekwe ICU ili ukatundikwe drip...No private ..sawa Mama Big?
 
Babu ulikuwa umelala mbona umeamka ghafla kabla ya usingizi haujaisha nini tatizo au umekuja kusikiliza matokeo ya waziri mkuu au mama big ndio kakuamsha

Baada ya kusoma post ya Mama Big ndiyo nikajua kwa nini umeweweseka...Babu atabaki babu na usiwe na shaka!
 
Spread love and not war......................................... natak jiko la peke yangu mie, si kila mja aje anipikie lol


Love silaha babe, pistol mzigo ati
 
Spread love and not war......................................... natak jiko la peke yangu mie, si kila mja aje anipikie lol


Love silaha babe, pistol mzigo ati

Nenda kamwambie eeee jinsi ninavuompenda mie ahhhh......
 
Hahahaaa kwa kweli ukikasirika hata mimi sitakuelewa. Kwa nini ukasirikie kivuli? Si utakuwa huna akili timamu.....lakini kama huudhiki wala kukasirika basi hakuna haja ya kukimbilia kwa painkiller, au siyo? Unanipotezea tu....heheheheheheheeee

Wote humu jamvini ni vivuli but you nononon darling this is your true colour anyway may our alminghty God have mercy on you (rekebisha kidogo grammar naona haijakaa vzr eti mwalimu)
 
Wote humu jamvini ni vivuli but you nononon darling this is your true colour anyway may our alminghty God have mercy on you (rekebisha kidogo grammar naona haijakaa vzr eti mwalimu)

Ndugu, hunijui kabisa. Hunijui kabisa!! Hata kama unadhani kwa namna moja ama nyingine kuwa unanijua, bottomline ni kuwa hunijui. Hakuna anayenijua humu hata kwa wale wawili ambao nimebahatika kuonana nao ana kwa ana. Kwa hiyo huna mamlaka ya kusema hizi ni rangi zangu za kweli.

Kama unanijua hebu mwaga huo mtama basi...tena hapahapa...rukhsa!!!
 
Ndugu, hunijui kabisa. Hunijui kabisa!! Hata kama unadhani kwa namna moja ama nyingine kuwa unanijua, bottomline ni kuwa hunijui. Hakuna anayenijua humu hata kwa wale wawili ambao nimebahatika kuonana nao ana kwa ana. Kwa hiyo huna mamlaka ya kusema hizi ni rangi zangu za kweli.

Kama unanijua hebu mwaga huo mtama basi...tena hapahapa...rukhsa!!!

Even a stress free thread is now heading towards stress true colours.....
 
Ndugu, hunijui kabisa. Hunijui kabisa!! Hata kama unadhani kwa namna moja ama nyingine kuwa unanijua, bottomline ni kuwa hunijui. Hakuna anayenijua humu hata kwa wale wawili ambao nimebahatika kuonana nao ana kwa ana. Kwa hiyo huna mamlaka ya kusema hizi ni rangi zangu za kweli.

Kama unanijua hebu mwaga huo mtama basi...tena hapahapa...rukhsa!!!

Uwe na jioni njema
 
Hunijui, nukta.


akananana akananana kaile kona kaile kaile nikeogolaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kwi kwi kwi kwi kwi wapi rutashubanyuma, wapi katerelo njoo fafanua hii hapa
 
akananana akananana kaile kona kaile kaile nikeogolaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kwi kwi kwi kwi kwi wapi rutashubanyuma, wapi katerelo njoo fafanua hii hapa

Bado hunijui.....
 
Spread love and not war......................................... natak jiko la peke yangu mie, si kila mja aje anipikie lol


Love silaha babe, pistol mzigo ati
Nimekusoma...........naomba kufundishwa love.
mj1, evening classes zinahusika?
 
Back
Top Bottom