Ukiona Bigirita hajaonekana kwa muda wa siku tatu ujue nimefanya mambo yangu vinginevyo kama unataka nim:rip:
Eti Bigirita ndio nani vile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona Bigirita hajaonekana kwa muda wa siku tatu ujue nimefanya mambo yangu vinginevyo kama unataka nim:rip:
Eti Bigirita ndio nani vile
Lily machungwa mawili tena? Ayapangeje?
JF ina mambo kweli kweli!
Ndizi si unayo kimey ununue tena ya nini.....tena yako yaelekea itakuwa kisukari tamuuuu na haiishi hamu
Angalia asije kukupilau wewe sasa
LOL!!😛eep:
Ya kushushi pilau babu teh teh teh teh, JF is here to stay.
embe likikomaa mtini huwa linajidondosha lenyeweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mdogo wangu Lily,
Hivi machingwa na pilau vinaenda au kweli au sijui pilau unayoiongelea? Mimi najuaga kiboko ya pilau ni ndizi..!!
Hapa hamna ugomvi. Huwezi kugombana na vivuli vya watu. Mnaochukulia mambo kiugomvi ugomvi mnakosea. Having said that, be easy and be good. King Ngabu is out and y'all have fun taking pot shots. Only if they killed.....:smile-big:
Adios amigos
Mdogo wangu Lily,
Hivi machingwa na pilau vinaenda au kweli au sijui pilau unayoiongelea? Mimi najuaga kiboko ya pilau ni ndizi..!!
Vinakwenda kaka hasa yakiwa mawili waliomenywa sawia... lakini kwa pilau ndizi moja tu yatosha
Vinakwenda kaka hasa yakiwa mawili waliomenywa sawia... lakini kwa pilau ndizi moja tu yatosha
Sasa huo ndo ufafanuzi wa kiutu uzima niliokuwa na usubiri...Machungwa mawili...yamemenywa vizuri, na yamepangwa vizuri..hayawezi kutenganisha ati? Ndo sasa mambo yanakuwa mswano.
Ubarikiwe sana..ingawa hujajibu kama unahitaji huduma ya dharura baada ya chakachua ya DOM!
hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa pain killer waona lakini mwe nimecheka mpaka basi jamani hebu jioneeni hii kha kweli inabidi tukubali kutokubaliana kikubwa my dia hata ufanyeje hutonikasirisha
Kweli hata mimi ninapoingia jamii forum huwa naburudika hata kama nina stress hii kwangu ni stress free zone, ila inabidi tukubali tu kuwa watu tumeubwa tofauti na pia tumepata malezi tofauti, kuna watu wengine ukizungumza naye unaweza ukahisi ana hasira au ana kugombeza kumbe maskini ndivyo alivyo. Especially watu wa musoma ( tarime) sio wote kama wapo mtanisamehe
I only have no more than six posts in this thread. So worry not son...it won't be mine(s) that would make it that far.
Does it matter? Depends on how you look at it. If you insinuate you hate someone's guts but then can't stop throwing backhanded jabs at him then obviously it matters to you. Otherwise if you think that person is such insignificant you wouldn't even attempt to fill up the bandwidth with comments aimed at disparaging him.
Sasa huo ndo ufafanuzi wa kiutu uzima niliokuwa na usubiri...Machungwa mawili...yamemenywa vizuri, na yamepangwa vizuri..hayawezi kutenganisha ati? Ndo sasa mambo yanakuwa mswano.
Ubarikiwe sana..ingawa hujajibu kama unahitaji huduma ya dharura baada ya chakachua ya DOM!