Ha ha ha, ati mwalimu wa mwandiko, teh teh teh, kama namuona nanihiii anavyowatamani ila ndio hivyo akijiroga kujibu tu wasiomsoma watakuwa wamemtambua rasmi
Cheusi mambo?
yeye mwenyewe ndio yupo perfect chini ya jua...wengine wote mna makosoro/matatizo yenu...kawa malaika?
HAHHA haaaa ajibu tu
yeye achangii yeye akija apa anatafuta grammar na drama zake...ahh ananchosha yule!!!
afu dzain mtu mzma lakin swaga zake dooooooooo bora ata tineja ana busara.....nyamayao edit kdg bwana asije mwalimu akakuta nina makosa...sjaipost bado mpk uiedit....ndo ntatuma ahhh haaaaaaaaaaa!!!!!!:smile-big::smile-big:
HAHHA haaaa ajibu tu
yeye achangii yeye akija apa anatafuta grammar na drama zake...ahh ananchosha yule!!!
afu dzain mtu mzma lakin swaga zake dooooooooo bora ata tineja ana busara.....nyamayao edit kdg bwana asije mwalimu akakuta nina makosa...sjaipost bado mpk uiedit....ndo ntatuma ahhh haaaaaaaaaaa!!!!!!:smile-big::smile-big:
hii sredi ni ya DC na Asprin tu?
mimi ni muizraeli wa Yerusalemu.
uwiii rose naomba usivunje hizi mbavu za cheusi,maana nacheka hapa hadi naishiwa pumzi.penye wengi ni kawaida kuwa na mengi.
dearest nimekumiso sana...ucpotee kihivyo.
Loh! nilitegemea watu kuwa wastaarabu kwenye thread hii lakini wapi!! Wanausema ustaarabu wa wengine huku wakivunja kanuni ya ustaarabu na kuwarushia madongo yasiyo ya moja kwa moja wengine. Tena wanarusha hayo madongo huku wakiogopa kumtaja/ kuwataja huyo/hao watu. I see great thinkers hard at work!!
Hamna haja ya kuogopana humu. Kama mtu anakuudhi mwambie tu. Au mnaogopa mkimtaja huyo mtu au watu mtagongewa majumbani kwenu? Sidhani hata kidogo. Vilevile kuna "ignore list". Hakuna haja ya kuansisha thread nzima kusema watu. Ukiona mtu anakuboa wee mpotezee tu. Mweke kwenye orodha yako wa wapuuzwaji. Hakuna haja ya kutumia mafumbo. Isn't here where dare talk openly?
haahah nshaediti...hv ni mwalimu wako Rose? manake wewe ndio mama wa ma grammar....lol, anaonekana ni mbabu fulani lakini busara kazisahau alipozificha, cjui huwa anaona kila mtu anashobokea huko cjui mirikani...ovyo sana, kila mtu na lyfe lake humu hatujaja kuombana ugali bali kupanua mapafu, aje huko na vituc vyake vya cheap cheap vya mabatini/nyegezi....
ndo wwale wanaoringa kwa kujua chingereza
ANASHNDWA KUTOFAUTISHA KATI YA KNWLDGE NA LUGHA.
A:rip::rip::rip: TODAY
NAMTAMAN AJIBU
wap ndiz nile plau langu mie!!!1Loh! nilitegemea watu kuwa wastaarabu kwenye thread hii lakini wapi!! Wanausema ustaarabu wa wengine huku wakivunja kanuni ya ustaarabu na kuwarushia madongo yasiyo ya moja kwa moja wengine. Tena wanarusha hayo madongo huku wakiogopa kumtaja/ kuwataja huyo/hao watu. I see great thinkers hard at work!!
Hamna haja ya kuogopana humu. Kama mtu anakuudhi mwambie tu. Au mnaogopa mkimtaja huyo mtu au watu mtagongewa majumbani kwenu? Sidhani hata kidogo. Vilevile kuna "ignore list". Hakuna haja ya kuansisha thread nzima kusema watu. Ukiona mtu anakuboa wee mpotezee tu. Mweke kwenye orodha yako wa wapuuzwaji. Hakuna haja ya kutumia mafumbo. Isn't here where dare talk openly?
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa dearest upo karibu jamvini
jamani baba aspirin naomba niazime miwani yako hv naona vizuri kweli, pale juu painkiller kanigongea sanks hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee au kuna mtu kaiba password yake
wap ndiz nile plau langu mie!!!1
skukuuu ishanoga apa!!!
matyu upo mama?
sjakosea spelln nyamayao?
hii sredi ni ya DC na Asprin tu?
mimi ni muizraeli wa Yerusalemu.