Hebu wachek hawa Aspirin sijui ndio Chrispin sina uhakika na Dark City (DC)

Hebu wachek hawa Aspirin sijui ndio Chrispin sina uhakika na Dark City (DC)

Hiyo ni typo au? mbona ukifundishwa huwa huelewi? hiyo ni ticha BANA, UMEKOSEA GRAMA HAPO.

hahah hahah haloooooooooooooooooo mwanipa raha mie..
kakosea grama na drama zake?
msemee kwa mwalimu wa mwandiko amchape amchape mpk akome kukosea gramma.
mwalimu mkal uyoooooooooo hatak mafyongo kwenye somo lake la gramma
 
Hiyo ni typo au? mbona ukifundishwa huwa huelewi? hiyo ni ticha BANA, UMEKOSEA GRAMA HAPO.


holalalala....unaona sasa, bila watu kama nyie forum kwishney....haahha john kisomo, bado huja edit title.
 
nope nope....Maty ndio kamshoneshea mariooo suti ya batiki.

haaaaaaaaaaaaa haaaaaa maty kumbe we mkali eennhh
iko penda marioo mfanowe neh..et sut ya batik mama?
na mokas au foengo
mpambe mama ameremete wengne wanaweza kumwona wakakusaidia majukumu..!!!!!!1
 
kuna mijitu inadhani wengine tumeishilia njoro na sumabwanga au nachingwea, wao waliokwea pipa bac ndio wataalamu mpaka watengeneze maini ya binadamu.....nyoooo.
nini tena mamie nani amekuudhi......Baba hapendi ujue...
 
HA HA HA HA Nyie watu leo sijui mmeishaanza kula pilau la iddi mapema kabla ya iddi yenyewe
Kuna jirani yangu alinituma mchele wa Kilombero last month, nilikuwa naelekea huko, sasa jana amenikaribisha rasmi kwa pilau la Idd. Najua utakuwa mchele uleee.......yani kesho naenda na ndizi mbivu kichane kimoja.
 
hahah hahah haloooooooooooooooooo mwanipa raha mie..
kakosea grama na drama zake?
msemee kwa mwalimu wa mwandiko amchape amchape mpk akome kukosea gramma.
mwalimu mkal uyoooooooooo hatak mafyongo kwenye somo lake la gramma

Weeee Rose vipi leo?

Halafu wewe, sidhani kama unahitaji mwalimu wa grammer...itabidi nikutafute tufundishane mambo fulani...kwani vineno vyako vizuri sana ila kuvitafuta ukavipata ni kazi si haba!!

Ila usiwe na shaka, raha zako ni muhimu kuliko kila kitu na kila mtu..Usidanganyike.Tusome tusisome wewe pata raha tu!
 
Salaleee nini tena hapa...........EiD Alhaji waungwana:yield:
umekuja fanya nini apa?
ebu nenda uko kajitayarshe na kikao cha jion....
sut za rr zipo tayar?
hp yale maneno na GY hayajafikishwa!!!!!!!1:A S-baby::A S-baby::A S-baby:
 
Maty, Nyamayao (nakupenda ujue) na Rose1980 (hapo kwa Nyamayao nimedanganya).....
Mnadiskas nn hapa....ka kichen pati?
 
Weeee Rose vipi leo?

Halafu wewe, sidhani kama unahitaji mwalimu wa grammer...itabidi nikutafute tufundishane mambo fulani...kwani vineno vyako vizuri sana ila kuvitafuta ukavipata ni kazi si haba!!

Ila usiwe na shaka, raha zako ni muhimu kuliko kila kitu na kila mtu..Usidanganyike.Tusome tusisome wewe pata raha tu!
achante,
 
we naniii naniiiiiiiiiiiiiii njoooooooooooooooooo njooooo uku wameanza kugo.................maty swetie dont polute yr day
enjoy yr thax beb
eeeehh eeehh mungu wangu
aman ya bwana amaaaaaaaaaaan ya bwana.................ninakupa mkono wa aman .................aman ya bwana
pc pc pc is very crucial....maty ivi una nguo ya sikukuu?mariooooooo alikununulia?
potezea virus.

Rose mpenzi nikutoe tu wasi wasi yaani toka baba chacha alivyonkeraga miaka ile nikahuzunika na kusikitika lakini yakaisha aiseeeeeeeeeeeee ctokuja kuchukia na kuumizwa na kitu chochote tena maishani mwangu mpaka yesu atanikuta na amani. Ndio huwa nahuzunika lakini kidoooooooooooogo then napotezea ctaki imalize hata nusu cku. Kitu kitakachoniumiza labda nikikosa kazi lol hilo kwa kweli ukomavu wangu wote unaweza kupotea lakini haya mengine aaaaaaaaa kawaida tu ila sio siri nimefurahi kupata msg kutoka kwa kila mtu ila ya pain killer imenifurahisha saidi
 
Kuna jirani yangu alinituma mchele wa Kilombero last month, nilikuwa naelekea huko, sasa jana amenikaribisha rasmi kwa pilau la Idd. Najua utakuwa mchele uleee.......yani kesho naenda na ndizi mbivu kichane kimoja.

haahaha...halafu unafanya kuwahi mapema wakati mchele bado haujawekwa jikoni ili muende sambamba na wenyeji....hahaah JF kutamu.
 
Please dont even start (napenda kuwa na amani moyoni) hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa i am so happppppppppppppppppppppppppppppppy kupata sanks toka kwa pain killer

Hiyo furaha lazima wembe upite kwenye hizo underarms leo. Nevertheless ngabu is honored and flattered hahahaaaaa
 
nakuja mwika leo (utaneleza maana ya bing bang na kwa nini unawatisha dig dig)

yaani big hili neno mfadhili usingekuwa nalo walahi sasa hivi ile njia unayopita niliishawambia vijana wakushughulikie
 
Kuna jirani yangu alinituma mchele wa Kilombero last month, nilikuwa naelekea huko, sasa jana amenikaribisha rasmi kwa pilau la Idd. Najua utakuwa mchele uleee.......yani kesho naenda na ndizi mbivu kichane kimoja.

Eliza wa JJ anakuulizia
 
Back
Top Bottom