Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,199
Salaleee nini tena hapa...........EiD Alhaji waungwana:yield:
Kimey kumekucha ngoja mie nikaandae viungo vya pilau Eid Alhaji 2 u 2.:wave:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salaleee nini tena hapa...........EiD Alhaji waungwana:yield:
Hiyo furaha lazima wembe upite kwenye hizo underarms leo. Nevertheless ngabu is honored and flattered hahahaaaaa
yaani big hili neno mfadhili usingekuwa nalo walahi sasa hivi ile njia unayopita niliishawambia vijana wakushughulikie
Nakuja Mwika leo (utaneleza maana ya bing bang na kwa nini unawatisha dig dig)
Kimey kumekucha ngoja mie nikaandae viungo vya pilau Eid Alhaji 2 u 2.:wave:
kwan aukuiweka tena magogo???
ilike tRose mpenzi nikutoe tu wasi wasi yaani toka baba chacha alivyonkeraga miaka ile nikahuzunika na kusikitika lakini yakaisha aiseeeeeeeeeeeee ctokuja kuchukia na kuumizwa na kitu chochote tena maishani mwangu mpaka yesu atanikuta na amani. Ndio huwa nahuzunika lakini kidoooooooooooogo then napotezea ctaki imalize hata nusu cku. Kitu kitakachoniumiza labda nikikosa kazi lol hilo kwa kweli ukomavu wangu wote unaweza kupotea lakini haya mengine aaaaaaaaa kawaida tu ila sio siri nimefurahi kupata msg kutoka kwa kila mtu ila ya pain killer imenifurahisha saidi
Saa ngapi nije nikupe maelezo ya kina......
Niliweka akapitia njia nyingine:doh:
Unaenda wapi? Hakuna kwenda
Orait Orait ngoja niandae Kanzu yangu.........Labda GY mwenyewe mimi akuu.....(nnavyo ogopa kusutwa we acha tuu)umekuja fanya nini apa?
ebu nenda uko kajitayarshe na kikao cha jion....
sut za rr zipo tayar?
hp yale maneno na GY hayajafikishwa!!!!!!!1:A S-baby::A S-baby::A S-baby:
hivyo hivyo tu mamito bora Pilau ilike.....nikujibuje? Eid Mubaraka...lol, ucnikosoe tu.....:kiss:
Pika mamie nije nile JF leo wanatoleana uvivu....(ngoja ninue ndizi kabsaa nikifika kwako ni mkao wa kula tu)Kimey kumekucha ngoja mie nikaandae viungo vya pilau Eid Alhaji 2 u 2.:wave:
Saa ngapi nije nikupe maelezo ya kina......
Hivi Waziri mkuu ni nani tena?:doh::doh:
Hivi Waziri mkuu ni nani tena?:doh::doh:
Orait Orait ngoja niandae Kanzu yangu.........Labda GY mwenyewe mimi akuu.....(nnavyo ogopa kusutwa we acha tuu)
hivyo hivyo tu mamito bora Pilau ilike.....
Pika mamie nije nile JF leo wanatoleana uvivu....(ngoja ninue ndizi kabsaa nikifika kwako ni mkao wa kula tu)
Usisahau mdalasini
Eight pages and counting and still talking about dude....."dat dude" is a bad!!!!!