Bro wako anachunika vizuri tu Hilo limepita [emoji23][emoji23][emoji23]hili la Vipodozi ndio unipange niwe mwanafunziwako hata mfagiaji poa tu tupige Hela[emoji3][emoji3]
Ushindwe wewe tu, hapo na bado ana pharmacy kubwa tu. [emoji119][emoji119]Bro wako anachunika vizuri tu Hilo limepita [emoji23][emoji23][emoji23]hili la Vipodozi ndio unipange niwe mwanafunziwako hata mfagiaji poa tu tupige Hela[emoji3][emoji3]
Myajenge tu
So ndio mpaka niongee nae? Au?Badala usomeshe muamalaa, we unaleta manjegekaa.
Badala usomeshe muamalaa, we unaleta manjegekaa.
Kwakweli alafu mm mteja mzuri wa cosmetics hajui tu anapishana na afutatu yangu kilasiku hapa[emoji3][emoji3][emoji3]
Anauza kwa wanaochukua jumlaKwakweli alafu mm mteja mzuri wa cosmetics hajui tu anapishana na afutatu yangu kilasiku hapa[emoji3][emoji3][emoji3]
Hii offer imeanza na ninyi,kisha itakuja kwa wengine!
Mkuu Bodigadi wa kazi gani?TUKANA UONE umeandaa na mabodigadi wa kutosha kukuepusha na shari?
Be careful, this is bongo daresalama ukipatwa na kipondoo hakuna wa kukuokoa zaidi ya kupigwa picha, [emoji16]
Ww najua hili unaliweza[emoji23]
Sema kuna kitu tutaongea nataka nifanye jambo flan kubwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sipajui ndo wapi?
Yes mambo yawe makubwa zaidi na zaidi
Mkuu naona unacheka tu lakini tangu asubuhi nimewambia mnipe ratiba zenu ili niweke Oda naona Kimyaaaaa![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tafuta pesa ndugu zako wayafurahie maisha kijijini,siyo unazurura tu hata ukiombwa utume laki huna!
Mimi nitatoka na weweAmesema kweli nikija nae gharama zake juu yangu, bora niende tu alone
Ushindwe wewe tu, hapo na bado ana pharmacy kubwa tu. [emoji119][emoji119]
Yes cazee atamfaa sana Aaliyah[emoji23]Wewe njoo tuongee ule mpango wetu wa bro [emoji23][emoji23][emoji23]
πππTiffay mnaitwa uku
Anauza kwa wanaochukua jumla
Sema Leo sijui kwa nn nimezungumza yote haya, Im Sorry[emoji119]Vipodozi gani? Wii Kantry muongo usimsikize [emoji23][emoji23]