Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Bro wako anachunika vizuri tu Hilo limepita [emoji23][emoji23][emoji23]hili la Vipodozi ndio unipange niwe mwanafunziwako hata mfagiaji poa tu tupige Hela[emoji3][emoji3]

Vipodozi gani? Wii Kantry muongo usimsikize [emoji23][emoji23]
 
Bro wako anachunika vizuri tu Hilo limepita [emoji23][emoji23][emoji23]hili la Vipodozi ndio unipange niwe mwanafunziwako hata mfagiaji poa tu tupige Hela[emoji3][emoji3]
Ushindwe wewe tu, hapo na bado ana pharmacy kubwa tu. [emoji119][emoji119]
 
TUKANA UONE umeandaa na mabodigadi wa kutosha kukuepusha na shari?

Be careful, this is bongo daresalama ukipatwa na kipondoo hakuna wa kukuokoa zaidi ya kupigwa picha, [emoji16]
Mkuu Bodigadi wa kazi gani?

Ninao mchuma ambao naumiliki kihalali kabisa nimekabidhiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya mambo ya Ndani chini ya Jeshi la Polisi!,Hivyo sina hofu,kama mtu akija kwa shari basi ajue ataumia!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu naona unacheka tu lakini tangu asubuhi nimewambia mnipe ratiba zenu ili niweke Oda naona Kimyaaaaa!

Au Ndo mmeingia mitini wewe na wenzio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…