Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Mkuu kwakuwa Mademu wa Dar es Salaam na almost mademu wote karibia tabia hufanana,hivyo nimeandaa fungu la kutosha,najua hawawezi kumaliza mkuu!

Nimeandaa si chini ya Tsh 12 Milioni!
Naomba unikope laki 6 niongezee kwenye mtaji wangu wa mbao ,,nilipe mafundi ntarudisha kwa liba.
 
Huyu muandishi kama sio kidukulilo basi kuna tatizo sehemu, vyenginevyo itakuwa ametoroka mirembe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom