Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Mataco yamekuwasha umedanga umepata bwana haya kampe yotreee kigambonino [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unataja had unakopatikana msiba mzito aiseee!!!
T ushaona uliokuwa unawatafuta wamejileta live
Mpotezee, atakuletea ban huyo
 
Shauri yako!,We mfuatiashe hilo shambenga la mjini ushindwe kuyaanda maisha yako na maisha ya wazazi wako!

Nakushauri kama kijana mwenzio na mmoja wa vijana waliofanikiwa!
[emoji23][emoji23][emoji23] jf raha sana.

Mkuu mm pesa ya kula tu tabu, sasa nawezaje kujenga. hebu na ww nishauri basi

Au kuna nyumba ya buku?
 
Nimekuchana nimemaliza leo nimejua na wewe ni kundi moja na kina delicious
Sina mpango na wewe tena kidampa!!
Wanaume marijali washakujua na unakopatikana washapajua umewapa maelekezo subiri wateja wamiminike sawa anti chale!!!
Tchao
Mpotezee huyo, anatafuta kweli upigwe ban. Mpotezee please
 
Mm kazi sihitaji nimeridhika hivi hivi. Mm nabet tu, Kama una odds za uhakika nipe mkuu

Nina jero hapa mfukoni haina kazi
Mkuu mimi pia huwa ni mpenzi wa kubeti ila huwa naweka high stake na nakula sometimes naliwa but lazima uwe n shughuli ya kufanya!

Sawa kama una kazi!,ni jambo la heri!
 
Back
Top Bottom