mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
nipo shuleDogo utateseka sana, nakuambia ukweli. Kuwa muwazi
Unamuogopa vipi unayempenda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nipo shuleDogo utateseka sana, nakuambia ukweli. Kuwa muwazi
Unamuogopa vipi unayempenda?
Nimecheka balaa tukalale mtu wangu kesho tugombanie daladala harufu ya ban inaanza kunukia hapa 😂😂😂Gomz - kkoo via nyerere road, si unajua shughuli yake asubuhi na jioni?[emoji23]
Mkuu achana na watu wasiojielewa hawa wanatupotezea muda tu!Umejuaje kuwa sina nguvu au niliingiza na mguu wangu nikukuchoma choma na uma hadi ukatoa damu
Hiyo id yako bana 😂😂😂
Chale na tukana zote zako
🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕👌👌
Nyumba mm ya nn? Dunia njia, Sasa najenga vipi njiani?Nyumba hana,akaunti anayo ila ina tu-hela twa kushikizia akaunti,ndo ashindwe kugombania daladala?
Liquid barChimbo gani hapo Kigamboni linafaa kwa utulivu mkuu kama tukipanga tuonane tubadilishane mawazo.
Kuwe na muziki wa taratibu(Slow Jams),Kusiwe na na Vurugu na Vurumai kama za Sinza na washirika wenzie!.
Tafuta pesa mkuu ujenge utoke kwenye Upangaji,Mimi nilijenga kwangu nikiwa nina miaka 27,leo nina miaka 34,unaona namna ninavyofurahia maisha!Gomz - kkoo via nyerere road, si unajua shughuli yake asubuhi na jioni?[emoji23]
Sawa mkuu hayo ni maoni yako,ila ulikuwa ushauri wa bure!Nyumba mm ya nn? Dunia njia, Sasa najenga vipi njiani?
Una waume wangapi?Na sisi tunaoshea account na waume zetu mnatuweka kundi gani?
Sawa mkuu,kesho kutwa nitakwenda Babati mara moja kisha nikirudi nitakucheki weekend tujumuike hapo Liquid angalau tubadilishane mawazo na kuzungumza mawili matatu!Liquid bar
Karibu mkuuSawa mkuu,kesho kutwa nitakwenda Babati mara moja kisha nikirudi nitakucheki weekend tujumuike hapo Liquid angalau tubadilishane mawazo na kuzungumza mawili matatu!
Nimegenelize Tu ila I have a one[emoji419]Una waume wangapi?
Shukurani mkuuKaribu mkuu
Ok,Enjoy u'r life babe girlNimegenelize Tu ila I have a one[emoji419]
Lgbtq?? Cocastic alete list nyingine[emoji23]Hapa tunajichosha tunajibizana na id moja imeshindwa imeamua kulog in kwa id nyingine afu wote wale wa rangi rangi za kuwaka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Thanks [emoji120][emoji120][emoji120]Ok,Enjoy u'r life babe girl
Haya ndiyo matatizo ya kuishi uswahilini,ukiamka cha kwanza unashika simu unaangalia Mange kapost nini na kuna umbeya gani mpya mjini!.Thibitisha? 😂😂😂
Ila wewe uhakika unajitongezesha hapo na umempa mpk location ya kwenda akakufumue solo, eti king’amboniii 🤣🤣😀
Unauza kilejaleja dah!!
@Lamomy huyu vipi tena mbona anazingua?Umejuaje kuwa sina nguvu au niliingiza na mguu wangu nikukuchoma choma na uma hadi ukatoa damu
Ukiwa shule mkonga haufanyi kazi? Dogo kuwa muwazi kwa unayempenda nakuambia kwa mara ya mwishonipo shule