Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Tatizo dogo muoga sana, leo nataka awe serious aseme ni yupi[emoji23][emoji23]

Mara ms eyes, mara joana, mara wizo, mara to yeye, Mara faiza, mara antonnia. Dogo haeleweki kabisa, yaani anataka yoyote mradi awe anapumua tu.

Leo Nampa chance amtaje, mm nitasaidia upande wa kuwezesha. Wewe kupiga debe( hii angle upo vizuri sana hujawahi kufeli)
Akikwambia namtaka lamomy utamsaidia kupiga debe? 😂😂😂
 
Bora nishinde nakupa mpk ukose nguvu upungue kilo kuliko kujichosha na mzee wa visungura [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] alafu huyu si ndio huwa unamkubaligi sana? Leo kajichanganya wapi[emoji23][emoji23]
 
Tukana acha kutumia id mbili kwa wakati mmoja, ko ulitaka tuonane ukajua sie wenzio wa rangi rangi za kuwaka? 😂😂😂
Huo muda wa kuwa na Multiple Id naupata wapi?

Nyie msikuwa na kazi za kufanya ndo shughuli yenu!
 
Achana nao hao zote ni id za popoma izo ana id 500 humu zote izo anachat mwenyew jana nilimpasua hadi akalambwa banned kwenye id yake moja hiv
Huo muda wa kuwa na Multiple Id naupata wapi?

Nyie msikuwa na kazi za kufanya ndo shughuli yenu!
 
Akikwambia namtaka lamomy utamsaidia kupiga debe? [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe anasema ni dada yake na shem wake, ndio maana hanaga noma. Huyo au tumuweke.kwa cocastic[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom