TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
- Thread starter
- #641
Yes![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaa!!
Ndio mkikaa pamoja kwa muda mrefu mnaanza kufanana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaa!!
Ndio mkikaa pamoja kwa muda mrefu mnaanza kufanana
Kwenda wapi mkuu😃😃
Jamani😂😂😂🙌Ningeshangaa sana lijei fote na akosekane kwenye hii playlist
Kama huna kichaa basi utakuwa mpumbavu!Kichaa ni nani kati yetu?
1.Ni mimi nayetumia pesa zangu ninazozitafuta kwa jasho langu
2. Au Ni wewe unayefuatilia Maisha yangu wakati hata hela ya kula huna?
Kama unataka nikutoe Out badala ya Dada zako Sema!Kama huna kichaa basi utakuwa mpumbavu!
Hatimaye kwa mara ya kwanza napata mrembo humu... 😋🤤😌😌😌🤗😀😀Sawa
Acha matusi basi... sasa kwani wewe unaathirika nini mkuu jamaa akitumia pesa zake ku-enjoy na waalikwa wake tajwa hapo juu afsa?!Kama huna kichaa basi utakuwa mpumbavu!
Kwenda kufurahia matunda tuliyoyachuma week nzima.Kwenda wapi mkuu[emoji2][emoji2]
sawasawaKwenda kufurahia matunda tuliyoyachuma week nzima.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Labda nikutoe kinyesi!Kama unataka nikutoe Out badala ya Dada zako Sema!
Bila kumsahau Evelyn SaltMimi na salamu ni vitu viwili tofauti,salamu zimefanya waafrika wengi wamekuwa masikini!
Hebu nyie mademu wa hapa Jf naomba mniondolee huu utata(Mkanganyiko) ambao unaendelea kunitia wasiwasi humu Jf.
Kumekuwa na utaratibu siku hizi humu Jf hata wanaume kutumia Id za kike,sijajua lengo la wao kufanya hivyo ni kitu gani!
Kwakuwa uongo na utapeli hapa Jf umekuwa wa kutosha,naomba kesho niwatoe wafuatao "OUT" ili kujiridhisha kweli kama ni KE na wala siyo ME.
MALENGO
Malengo ya Kutoka Out ni Kufahamiana,Kubadirishana Mawazo na Ku-Enjoy kwa pamoja kama wanafamilia wa JF.
Kwakua watumiaji wengi wanaotiliwa mashaka ni wanaotumia Id zenye majina ya KE,naomba wafuatao ikiwapendeza kesho tutoke wote kama Familia ili niamini kweli ni KE.
1. Jemima Mrembo
2. cocastic
3. MZURI SANA
4. Lamomy
5. Demi
6. To yeye
7. Leejay49
8. Carleen
9. recho Jr
10. Hornet
Kama nilivyosema,lengo ni kufahamiana,kubadirishana mawazo na Ku-have funny!
ENEO
Eneo ambalo kwangu nahisi litakuwa Karibu na nililolizoea ni pale Mlimani City Samaki- Samaki,Ila nyie mnaweza pia mkapendekeza eneo ambalo mtakuwa mnaona mko- Comfortable kuenjoy.
Nimependekeza hao wanawake kwa siku ya Kesho kwasababu gharama za kuwamudu ninazo,watakula watakacho na kunywa watakacho!.
Nia na Lengo ni kuondoa huu utata wa kudhani nyie ni madume,naombeni mnidhitishie kwa vitendo hiyo Kesho.
Wengi wenu nafahamu mnao usafiri wenu binafsi lakini itakuwa vema kila mmoja akatumia Uber au Bolt ili tuweze kuwa Comfortable zaidi(Ili wasiokuwa na usafiri wasijisikie vibaya).
Fedha ya Usafiri nitalipia mimi,wala msijali!
Naomba kufahamu ratiba zenu nyote niliowatag ili nijue nafanyaje,nitakapojua ratiba zenu nitapanga muda sahihi wa sisi kukutana pale!.
Lengo si kutongozana wala mambo ya Ajabu,Lengo ni kufahamiana tu!.
Nawasilisha!
To yeye, Leejay49 na cocastic hao waondoe hapo, hao ni mademu 99%Mimi na salamu ni vitu viwili tofauti,salamu zimefanya waafrika wengi wamekuwa masikini!
Hebu nyie mademu wa hapa Jf naomba mniondolee huu utata(Mkanganyiko) ambao unaendelea kunitia wasiwasi humu Jf.
Kumekuwa na utaratibu siku hizi humu Jf hata wanaume kutumia Id za kike,sijajua lengo la wao kufanya hivyo ni kitu gani!
Kwakuwa uongo na utapeli hapa Jf umekuwa wa kutosha,naomba kesho niwatoe wafuatao "OUT" ili kujiridhisha kweli kama ni KE na wala siyo ME.
MALENGO
Malengo ya Kutoka Out ni Kufahamiana,Kubadirishana Mawazo na Ku-Enjoy kwa pamoja kama wanafamilia wa JF.
Kwakua watumiaji wengi wanaotiliwa mashaka ni wanaotumia Id zenye majina ya KE,naomba wafuatao ikiwapendeza kesho tutoke wote kama Familia ili niamini kweli ni KE.
1. Jemima Mrembo
2. cocastic
3. MZURI SANA
4. Lamomy
5. Demi
6. To yeye
7. Leejay49
8. Carleen
9. recho Jr
10. Hornet
Kama nilivyosema,lengo ni kufahamiana,kubadirishana mawazo na Ku-have funny!
ENEO
Eneo ambalo kwangu nahisi litakuwa Karibu na nililolizoea ni pale Mlimani City Samaki- Samaki,Ila nyie mnaweza pia mkapendekeza eneo ambalo mtakuwa mnaona mko- Comfortable kuenjoy.
Nimependekeza hao wanawake kwa siku ya Kesho kwasababu gharama za kuwamudu ninazo,watakula watakacho na kunywa watakacho!.
Nia na Lengo ni kuondoa huu utata wa kudhani nyie ni madume,naombeni mnidhitishie kwa vitendo hiyo Kesho.
Wengi wenu nafahamu mnao usafiri wenu binafsi lakini itakuwa vema kila mmoja akatumia Uber au Bolt ili tuweze kuwa Comfortable zaidi(Ili wasiokuwa na usafiri wasijisikie vibaya).
Fedha ya Usafiri nitalipia mimi,wala msijali!
Naomba kufahamu ratiba zenu nyote niliowatag ili nijue nafanyaje,nitakapojua ratiba zenu nitapanga muda sahihi wa sisi kukutana pale!.
Lengo si kutongozana wala mambo ya Ajabu,Lengo ni kufahamiana tu!.
Nawasilisha!
Wewe naona unataka Mkunyubenga kwa nguvu!Labda nikutoe kinyesi!
Ntakuja kumtmb mtu hapa ohoooooBila kumsahau Evelyn Salt
Atii...? Kavu au na ndom?Ntakuja kumtmb mtu hapa ohooooo
Acha matusi bahariaNtakuja kumtmb mtu hapa ohooooo