Heche alishindwa na Esther Matiko nafasi ya Mwenyekiti Kanda ya Serengeti

Heche alishindwa na Esther Matiko nafasi ya Mwenyekiti Kanda ya Serengeti

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima sana Wanajamvi,

Mheshimiwa Heche anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti Taifa,hii ni nafasi ya pili kubwa ndani ya CHADEMA.

Uchaguzi wa Kanda ya Serengeti nafasi ya Mwenyekiti ilishindaniwa na Bibie Easter Matiko (Covid 19) na Heche. Bibie Matiko (Covid 19) alimshinda kwa mbali sana Bwana Heche Mzee wa maneno mengi bila vitendo.

Heche ana historia ya kushindwa tena na Mwanamke katika jamii ambayo wana historia na hulka ya kuwadharau wanawake.

Kifupi Heche na Mjomba wake Lissu nawaona wakiangukia pua kabla jua halijachwa.

Ngongo kwasasa Mikocheni
 
Ni wazi tena pasipo shaka Heche hakujiandaa kugombea Umakamu Mwenyekiti.
 
Heshima sana Wanajamvi,

Mheshimiwa Heche anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti Taifa,hii ni nafasi ya pili kubwa ndani ya CDM.

Uchaguzi wa Kanda ya Serengeti nafasi ya Mwenyekiti ilishindaniwa na Bibie Easter Matiko (Covid 19) na Heche.Bibie Matiko (Covid 19) alimshinda kwa mbali sana Bwana Heche Mzee wa maneno mengi bila vitendo.

Heche ana historia ya kushindwa tena na Mwanamke katika jamii ambayo wana historia na hulka ya kuwadharau wanawake.

Kifupi Heche na Mjomba wake Lissu nawaona wakiangukia pua kabla jua halijachwa.

Ngongo kwasasa Mikocheni

Hiyo sasa ndiyo sababu ya kuchaguliwa badala ya kukata tamaa alienda kujipanga na sasa ni kiongozi bora. Lakini huyu kijana kazaliwa 1981 ni mdogo sana bado kuliko hata Lema na Sugu
 
Yule Covid 19 ambaye ni mke wa kiongozi mmoja mkubwa chamani alisaidiwa kushinda na ushawishi wa mumewe
Hoja kuu alishindwa uchaguzi wa Kanda na Mwanamama.

Uchaguzi wa Taifa atauweza.
 
Hoja kuu alishindwa uchaguzi wa Kanda na Mwanamama.

Uchaguzi wa Taifa atauweza.
Magu alishindwa ubunge mara mbili na bado angeshindwa tena kama majimbo yasingegawanywa ndipo akapata ubunge na akaja kuwa rais.
Kushindwa siyo hoja hata jakaya alishindwa na mkapa ila baadaye akaja kushinda na akawa rais.
Ukishindwa unajua labda wakati huo bado hujatosha au una mapungufu fulani unayarekebisha unarudi tena.
 
Kwani Heche kwa sasa ni kiongozi wa ngazi ipi katika kanda ya Serengeti?
Hana nafasi.
Heche ni Mjumbe Kamati Kuu Taifa,hii nafasi kapewa na Mbowe.

Mwenyekiti ana nafasi Tano moja wapo kampatia Heche baada ya kugaragazwa na Matiko.Mbowe akaona Kijana anaweza kupotea katika ulingo wa siasa.

Baada ya kupewa ujumbe wa kamati kuu na Mbowe fadhila zake ni kumbagaza Mwenyekiti.Bora umfadhili Mbuzi utakunywa mchuzi.
 
Heshima sana Wanajamvi,

Mheshimiwa Heche anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti Taifa,hii ni nafasi ya pili kubwa ndani ya CHADEMA.

Uchaguzi wa Kanda ya Serengeti nafasi ya Mwenyekiti ilishindaniwa na Bibie Easter Matiko (Covid 19) na Heche. Bibie Matiko (Covid 19) alimshinda kwa mbali sana Bwana Heche Mzee wa maneno mengi bila vitendo.

Heche ana historia ya kushindwa tena na Mwanamke katika jamii ambayo wana historia na hulka ya kuwadharau wanawake.

Kifupi Heche na Mjomba wake Lissu nawaona wakiangukia pua kabla jua halijachwa.

Ngongo kwasasa Mikocheni
Kale kajamaa na Domo lake kubwa Huwa kanaongea kana kwamba anagombana na mtu hana tofauti na Mdude 😂😂

Ila wale wanawake wa Chadema ninhependa Samia awape ubunge Kwa namna yeyote washinde sio Hawa wapuuzi wengine
 
Hana nafasi.
Heche ni Mjumbe Kamati Kuu Taifa,hii nafasi kapewa na Mbowe.

Mwenyekiti ana nafasi Tano moja wapo kampatia Heche baada ya kugaragazwa na Matiko.Mbowe akaona Kijana anaweza kupotea katika ulingo wa siasa.

Baada ya kupewa ujumbe wa kamati kuu na Mbowe fadhila zake ni kumbagaza Mwenyekiti.Bora umfadhili Mbuzi utakunywa mchuzi.
Kwa hiyo hana haki ya kugombea kwa sababu aliteuliwa ujumbe kamati kuu taifa?
 
Kale kajamaa na Domo lake kubwa Huwa kanaongea kana kwamba anagombana na mtu hana tofauti na Mdude 😂😂

Ila wale wanawake wa Chadema ninhependa Samia awape ubunge Kwa namna yeyote washinde sio Hawa wapuuzi wengine
CDM itawamiss sana covid 19.
 
Kwa hiyo hana haki ya kugombea kwa sababu aliteuliwa ujumbe kamati kuu taifa?
Haki anayo sana.

Tatizo Heche anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti,badala ya kujishughulisha na nafasi ya Makamu Mwenyekiti anatumia muda na nguvu nyingi kupambana na Mwenyekiti.

Heche hakuwa na sababu za kumshambulia Mbowe kwa namna yoyote.
 
Heshima sana Wanajamvi,

Mheshimiwa Heche anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti Taifa,hii ni nafasi ya pili kubwa ndani ya CHADEMA.

Uchaguzi wa Kanda ya Serengeti nafasi ya Mwenyekiti ilishindaniwa na Bibie Easter Matiko (Covid 19) na Heche. Bibie Matiko (Covid 19) alimshinda kwa mbali sana Bwana Heche Mzee wa maneno mengi bila vitendo.

Heche ana historia ya kushindwa tena na Mwanamke katika jamii ambayo wana historia na hulka ya kuwadharau wanawake.

Kifupi Heche na Mjomba wake Lissu nawaona wakiangukia pua kabla jua halijachwa.

Ngongo kwasasa Mikocheni
Wenje akimshinda Heche hao wapiga Kura watakuwa vichwa.
 
Heshima sana Wanajamvi,

Mheshimiwa Heche anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti Taifa,hii ni nafasi ya pili kubwa ndani ya CHADEMA.

Uchaguzi wa Kanda ya Serengeti nafasi ya Mwenyekiti ilishindaniwa na Bibie Easter Matiko (Covid 19) na Heche. Bibie Matiko (Covid 19) alimshinda kwa mbali sana Bwana Heche Mzee wa maneno mengi bila vitendo.

Heche ana historia ya kushindwa tena na Mwanamke katika jamii ambayo wana historia na hulka ya kuwadharau wanawake.

Kifupi Heche na Mjomba wake Lissu nawaona wakiangukia pua kabla jua halijachwa.

Ngongo kwasasa Mikocheni
Kushindwa uchaguzi sio kosa wala sio aibu.
 
Haki anayo sana.

Tatizo Heche anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti,badala ya kujishughulisha na nafasi ya Makamu Mwenyekiti anatumia muda na nguvu nyingi kupambana na Mwenyekiti.

Heche hakuwa na sababu za kumshambulia Mbowe kwa namna yoyote.
Na kwa sababu alishindwa kwenye uchaguzi mwanamke akashinda(kama base ya uzi wako)?Kwani wewe unaichukuliaje jinsi ya kike/uanamke katika maisha kwa ujumla?
 
Heshima sana Wanajamvi,

Mheshimiwa Heche anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti Taifa,hii ni nafasi ya pili kubwa ndani ya CHADEMA.

Uchaguzi wa Kanda ya Serengeti nafasi ya Mwenyekiti ilishindaniwa na Bibie Easter Matiko (Covid 19) na Heche. Bibie Matiko (Covid 19) alimshinda kwa mbali sana Bwana Heche Mzee wa maneno mengi bila vitendo.

Heche ana historia ya kushindwa tena na Mwanamke katika jamii ambayo wana historia na hulka ya kuwadharau wanawake.

Kifupi Heche na Mjomba wake Lissu nawaona wakiangukia pua kabla jua halijachwa.

Ngongo kwasasa Mikocheni
Wewe mbona umeshindwa na mkeo na hatusemi?
 
Wamachame mnaogopa sana sanduku la kura,bado wiki 2 tu tutawanyoosha
 
Na kwa sababu alishindwa kwenye uchaguzi mwanamke akashinda(kama base ya uzi wako)?Kwani wewe unaichukuliaje jinsi ya kike/uanamke katika maisha kwa ujumla?
Nimeishi katika jamii za kimaasai,kikurya nimeona na kushuhudia mara nyingi Wanawake wakiwekwa daraja la chini katika mambo mengi sana.
 
Back
Top Bottom