Uchaguzi 2020 Heche jiandae kukabidhi jimbo la Tarime Vijijini kwa Mwita Waitara, hutaki unataka

Uchaguzi 2020 Heche jiandae kukabidhi jimbo la Tarime Vijijini kwa Mwita Waitara, hutaki unataka

omtiti

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2019
Posts
1,022
Reaction score
1,591
Uchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa Oktoba utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo.

Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi.

Uchaguzi huu ndio utakuwa mkali kuliko chaguzi zote nchini, vyombo vya dola vijipange vilivyo kwani tabia za wana Tarime ni za ajabuajabu sana, kugechana kutashamiri sana.

Heche kwaheri Tarime Vijijini!
 
Punguza upambe.....usitake kulitumia jina TARIME kutafuta umaarufu humu. Yaani unatuitia polisi hata kabla kura hazijapigwa?
Tarime tunataka amani.....
Tarime tunataka Uhuru wa kuchagua sio kuchaguliwa...
Tarime tunamtaka HECHE NA MATIKO.
Sana unawataka sio tunawataka,ebhoo!!
 
Back
Top Bottom