Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Bado hujamjua Heche
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ExplainHuko ni vita. Mungu awalinde wafanye uchaguzi kwa amani. Ila Mwita Waitara ni mkomavu wa siasa.
Huyo ni mkurya wa kitunda mkata mauno kwenye vigodoro tu,hana ubabe wowote alikimbizwa mwanza juzijuzi mwanaume surualiUchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa October utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo.
Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi.
Uchaguzi huu ndio utakua mkali kuliko chaguzi zote nchini, vyombo vya dola vijipange vilivyo kwani tabia za wana Tarime ni za ajabuajabu sana, kugechana kutashamiri sana.
Heche kwaheri Tarime Vijijini!
Mali ya Heche alipewa urithi na baba yake?Acha ufala mtoto wa kiume, hilo jimbo ni mali ya Heche!
Chagu kikwetu ni kahabaMali ya Heche alipewa urithi na baba yake?
So what? Mama yako ni kahaba pia?Chagu kikwetu ni kahaba
Nimesema Neno 'chagu' maana yake.So what? Mama yako ni kahaba pia?
So what?Nimesema Neno 'chagu' maana yake.
Ni hivyo tu utambue mkuu. Hamna jengine.So what?
Baada ya kutambua?Ni hivyo tu utambue mkuu. Hamna jengine.
Utaamua wewe ufanye nini 'chagu'Baada ya kutambua?
Umeshavuliwa nguo ya ndani? si unaona mida yenyewe.Utaamua wewe ufanye nini 'chagu'
Hii mida ya kuwahi kutafuta we 'chagu' unawaza kuvuliwa nguo ya ndani au kwakuwa u 'chagu' so ndo kazi umeizoea?Umeshavuliwa nguo ya ndani? si unaona mida yenyewe.
Tunazifahamu siasa za Kanda Maalum.Uchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa October utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo.
Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi.
Uchaguzi huu ndio utakua mkali kuliko chaguzi zote nchini, vyombo vya dola vijipange vilivyo kwani tabia za wana Tarime ni za ajabuajabu sana, kugechana kutashamiri sana.
Heche kwaheri Tarime Vijijini!
Unaota mzee babaUchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa October utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo.
Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi.
Uchaguzi huu ndio utakua mkali kuliko chaguzi zote nchini, vyombo vya dola vijipange vilivyo kwani tabia za wana Tarime ni za ajabuajabu sana, kugechana kutashamiri sana.
Heche kwaheri Tarime Vijijini!