Uchaguzi 2020 Heche jiandae kukabidhi jimbo la Tarime Vijijini kwa Mwita Waitara, hutaki unataka

Uchaguzi 2020 Heche jiandae kukabidhi jimbo la Tarime Vijijini kwa Mwita Waitara, hutaki unataka

hakuna kitu wakurya tunachukia kama usaliti na kuwa snichi, hivi vitu vinauma kuliko tunavyo tahiriwa na kisu kikali bila ganzi

Huyu waitara hana nafasi kabisa huku tarime, Abaki huko huko asije pigwa mkuki huku, Heche ndio chaguo letu kwa sasa, sio huyo waitara anakunywa pombe mpaka kujikojolea
 
Hili Jimbo nashauri Siku Moja kabla ya Uchaguzi, Siku ya Uchaguzi na Siku Tatu baada ya Uchaguzi Mapanga, Mikuki, Visu na Mishale yasiuzwe.
wakatiwanvyo ndani siku nyiingi.Mara ni kanda maalum sijui vyombo nya dola vitajipangaje,maana Heche na Waitara wote ni wababe.ni vita haswaa.
 
Wadau jimbo la tarime vijijini kutakuwa na majogoo wawili ambao ni mwita waitara iwapo kamati kuu ya ccm itampitisha vivyo hivyo heche kama naye anapitishwa na kamati kuu ya chadema. Hii battle mtoto atumwi dukani. Mategemeo yangu kampeni zitakuwa za kistaarabu na kiungwana kabisa kwasababu tunajenga katika nyumba moja haina haja ya kunyang'anyana fito.
 
Ngoja nichomekee neti kwanza
Fcx
MURA BITA NI BITA MURA
Eyyhuuhlqq gwaz**33*3""",_*4qqzctxtx
Screenshot_2020-07-21-15-40-17-634_com.quoord.jamiiforums.activity.jpg
 
Siku moja kabla ya uchaguzi uitishwe mdahalo wa kimila, LITUNGU, kati ya Heche na Waitara tuone nani mbabe!
😅
👊 ✌️✌️✌️💥
 
Wana Tarime wakabidhi jimbo kwa mtu aliyeshindwa kwenye jimbo la mjini kabisa tena la Ukonga kwa kuliharibu na kuliacha halitamaniki???

Kweli huu utakuwa ujuha wa kiwango cha SGR
 
Uchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa October utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo.

Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi.

Uchaguzi huu ndio utakua mkali kuliko chaguzi zote nchini, vyombo vya dola vijipange vilivyo kwani tabia za wana Tarime ni za ajabuajabu sana, kugechana kutashamiri sana.

Heche kwaheri Tarime Vijijini!
Tunaomba hekima na busara vitawale maana mura wawili wanapambana wakubaliane iwe kisiasa tu ubabe watulize kutunza amani.
 
Uchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa October utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo.

Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi.

Uchaguzi huu ndio utakua mkali kuliko chaguzi zote nchini, vyombo vya dola vijipange vilivyo kwani tabia za wana Tarime ni za ajabuajabu sana, kugechana kutashamiri sana.

Heche kwaheri Tarime Vijijini!

Huyu Mlevi wa kupindukia ana Utemi gani?
 
Uchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa October utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo.

Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi.

Uchaguzi huu ndio utakua mkali kuliko chaguzi zote nchini, vyombo vya dola vijipange vilivyo kwani tabia za wana Tarime ni za ajabuajabu sana, kugechana kutashamiri sana.

Heche kwaheri Tarime Vijijini!
Waitara mwita kaenda kuiba kura kufanya uchakachuaji lakini sanduku la kura lipo kwa Heche kwa kifupi waitara kaenda kupora jimbo kwa njia haramu
 
wakatiwanvyo ndani siku nyiingi.Mara ni kanda maalum sijui vyombo nya dola vitajipangaje,maana Heche na Waitara wote ni wababe.ni vita haswaa.
Heche ndiye mbabe lakini waitara ni mwizi wa kura na mnafiki wa kutisha
 
Uchaguzi ukiwa huru na wa haki ni vigumu waitara kupata kura, kilichopo sasa ni uporaji wa jimbo kwa njia haramu zitazofanywa na mwita waitara
 
Punguza upambe.....usitake kulitumia jina TARIME kutafuta umaarufu humu. Yaani unatuitia polisi hata kabla kura hazijapigwa?
Tarime tunataka amani.....
Tarime tunataka Uhuru wa kuchagua sio kuchaguliwa...
Tarime tunamtaka HECHE NA MATIKO.
Wewe kweli ni mwana Tarime, wagombea wote wawili ni wadogo zangu na mmoja ninatoka naye kijiji kimoja. Ni ngumu sana sana kwa Waitara kutoboa ingawa kwa sasa ni mwana CCM mwenzangu, ni ngumu sana kama itakavyokuwa ngumu kwa Dr Tulia pale Mbeya. Ili watangazwe ni lazima nguvu ya ziada itumike na si sanduku la kura. Mkuu ni ngumu sana ila inawezekana kwa siasa zetu za figisu.
 
Waitara ni kama wenzake akina Nasari na Lijualikali, anaanzaje kumshindaJH ?
Opnion za wengi hapa Tz tunakubali sana Heche labda zitumike mbinu zile chafu hapo ndio atatangazwa waitara

Maoni yako yanashaka, tafuta watu on the ground ama watatu wanne hivi utaweza kuelewa.

Ndio maana hata ushindani haukuwa mkubwa kwenye mchujo kwa upinzani safari hii. Ila jitahidi kuwasiliana na watu walioko Tarime the ground is shifting.

Wakurya ni watu wataka watu mashujaa, na wana imani hata mkulu wetu shujaa. Ila kila mmoja wao kati ya hao wawili baada ya mpambano mshindi atalaa na viatu..
 
Back
Top Bottom