Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Mkomavu au ana tabia iliyokemewa na hayati Mwalimu ya "...himalaya himalaya!" Kwenye siasa?Huko ni vita. Mungu awalinde wafanye uchaguzi kwa amani. Ila Mwita Waitara ni mkomavu wa siasa.
Tuliaswa watu wa aina hiyo tuwaogope kama ukoma