Uchaguzi 2020 Heche jiandae kukabidhi jimbo la Tarime Vijijini kwa Mwita Waitara, hutaki unataka

Uchaguzi 2020 Heche jiandae kukabidhi jimbo la Tarime Vijijini kwa Mwita Waitara, hutaki unataka

Huko ni vita. Mungu awalinde wafanye uchaguzi kwa amani. Ila Mwita Waitara ni mkomavu wa siasa.
Mkomavu au ana tabia iliyokemewa na hayati Mwalimu ya "...himalaya himalaya!" Kwenye siasa?
Tuliaswa watu wa aina hiyo tuwaogope kama ukoma
 
Uchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa October utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo.

Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi.

Uchaguzi huu ndio utakua mkali kuliko chaguzi zote nchini, vyombo vya dola vijipange vilivyo kwani tabia za wana Tarime ni za ajabuajabu sana, kugechana kutashamiri sana.

Heche kwaheri Tarime Vijijini!
Wagombea wa CCM wasioishi kwenye majimbo yao watatoswa. Pia wagombea wenye tamaa au uchu wa madaraka watatoswa. Kadhalika wagombea malaya malaya wa kisiasa nao watatoswa. Je, Waitara hana sifa hizo aweze kuteuliwa kama mgombea kwa tikiti ya CCM?
 
Uchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa October utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo.

Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi.

Uchaguzi huu ndio utakua mkali kuliko chaguzi zote nchini, vyombo vya dola vijipange vilivyo kwani tabia za wana Tarime ni za ajabuajabu sana, kugechana kutashamiri sana.

Heche kwaheri Tarime Vijijini!
Waitara atashinda kupitia vyombo vya dola kwa kupora ushindi. Vinginevyo Heche hata asipofanya kampeni atashinda.
 
Uchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa October utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo.

Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi.

Uchaguzi huu ndio utakua mkali kuliko chaguzi zote nchini, vyombo vya dola vijipange vilivyo kwani tabia za wana Tarime ni za ajabuajabu sana, kugechana kutashamiri sana.

Heche kwaheri Tarime Vijijini!
Hii ndoto
Waitara hatoboi
 
Waitara yupo kwenye mapungufu yoote uliyo yataja hapo juu
Wagombea wa CCM wasioishi kwenye majimbo yao watatoswa. Pia wagombea wenye tamaa au uchu wa madaraka watatoswa. Kadhalika wagombea malaya malaya wa kisiasa nao watatoswa. Je, Waitara hana sofa hizo aweze kiteuliwa kama mgombea kwa tikiti ya CCM?
 
Wana Tarime washa jiandaa kukabiliana na kila aina ya uhuni utakao fanywa ili kulazimisha ushindi kwa Waitara
Waitara atashinda kupitia vyombo vya dola kwa kupora ushindi. Vinginevyo Heche hata asipofanya kampeni atashinda.
 
Ila hata kama kuna kutiana moyo, lakini ushindi Wa Waitara kwenye kura za maoni haukutarajiwa na Chadema.

Hapa ngoma ni fifty fifty. Kila mtu ajiandae kisaikolojia
 
Huko ni KANDA MAALUMU , Mwita kalikimbia Jimbo la Ukonga wananchi wanamuuliza issue za maendeleo anawambia wanywe BIA tu,Sasa unafikiri wanaTARIME ni wajinga wamchague MWITA? Mwita amepigiwa kura za maoni na wanaCCM wenzake ila akija kwa wapiga Kura wa NEC anapigwa za USO!! Wana TARIME wanapiga KURA na wanazilinda "FITA NI FITA MURA".
 
Waitara atashinda anatokea ukoo mkubwa wa wairege waliojaa nyamwaga mpaka bwirege, wakati heche yeye ni mkira wa sirari..ushindi tarime unaamuliwa na koo
 
Uchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa October utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo.

Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi.

Uchaguzi huu ndio utakua mkali kuliko chaguzi zote nchini, vyombo vya dola vijipange vilivyo kwani tabia za wana Tarime ni za ajabuajabu sana, kugechana kutashamiri sana.

Heche kwaheri Tarime Vijijini!
Juzi nilikuwa maeneo ya Tarime asilimia 90 ya bendera zilizokuwa zinapepea ni za CDM, vipi za CCM bado hazijashonwa?
 
Uchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa October utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo.

Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi.

Uchaguzi huu ndio utakua mkali kuliko chaguzi zote nchini, vyombo vya dola vijipange vilivyo kwani tabia za wana Tarime ni za ajabuajabu sana, kugechana kutashamiri sana.

Heche kwaheri Tarime Vijijini!

Waitara hakusaidia lolote jimbo lake la awali. Mkimpa jimbo lenu huku mkijua hilo mtakuwa mnajikomoa wenyewe sio Heche.

Amandla...
 
Unawajua vzr hao kina Heche huko Tarime? Aliyekuwa mwanasheria wa Nemc na ambaye alichukua form ccm kupambana na Waitara ni tumbo moja na Heche( mbunge Tarime vijijini chadema). Alichukuwa form kimkakati subiri utaona matokeo yake ngoja kampeni ianze.
Hivi kwanini NEMC kuna wakurya wengi?
 
Back
Top Bottom