kwamba heche ndio anaweza keleta ahueweni au kumaliza kabisa matatizo hayo π"Mabadiliko hayawezi kuletwa na watu wale wale walioleta matatizo, yaani matatizo hayawezi kutatuliwa na kiwango cha fikra kile kile kilicholeta matatizo, matatizo tuliyonayo ya kukosa maji, umeme, umasikini yameletwa na CCM, CCM haiwezi kubadilisha hayo matatizo, CCM ni sehemu ya matatizo, tatizo haliwezi kujitatua lenyewe, kwa hiyo tunachohitaji watu watuunge mkono tufanye mabadiliko ili kubadilisha maishaa yao" -Heche
John Heche amezungumza hayo alipofanya mahojiano maalumu na Jambo TV.
Mbona sioni mahali Heche kama Heche kadai kuleta mabadiliko?kwamba heche ndio anaweza keleta ahueweni au kumaliza kabisa matatizo hayo π
na mbona hajabainisha mbadala wa mipango na mikakati ya kutatua matatizo hayo π
kwamba with no alternative plans watu wakurupuke from no where wawaunge watu wasio na mipango mdala karne hii Tanzania?π
Real?
kwamba wapo waTz karne hii kirahisi wabebwe u-ng'ombe na heche π
huwezi kuona kwasabb ya haraka haraka na mbio mbio za kureply πMbona sioni mahali Heche kama Heche kadai kuleta mabadiliko?
Kazungumzia CCM kama taasisi, na ninaamini anazungumzia taasisi nyingine kuing'oa CCM. Siyo yeye binafsi!
Walimu wana kazi kwelikwamba heche ndio anaweza keleta ahueweni au kumaliza kabisa matatizo hayo [emoji205]
na mbona hajabainisha mbadala wa mipango na mikakati ya kutatua matatizo hayo [emoji205]
kwamba with no alternative plans watu wakurupuke from no where wawaunge watu wasio na mipango mdala karne hii Tanzania?[emoji205]
Real?
kwamba wapo waTz karne hii kirahisi wabebwe u-ng'ombe na heche [emoji205]