Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Unaandika hivi ukiwa nyuma ya keeyboard huku umefunga milango kwa hofu kuuHili kundi la wezi CCM wanakoelekea ni damu tu kumwagika. BILA HIVYO HATUTAELEWANA.
Uko sahihi kabisa. Hatuwezi kumpata malaika wa kuikomboa nchi hii kutoka dimbwi la umaskini huku tukiwa na raslimali za kutosha tu, kupitia ccm!Toa CCM madarakani, Haina jipya mnaomshangilia the so called MAMA mtamkana soon!
Katiba mpya haiwezi kuzuia marekebisho anayoyafanya Mh. Rais katika kuujenga uchumi waliouharibu yeye na jiwe. Huyu huyu alidai kuwa hata wananchi wasipowapa CCM kura za kutosha watarudi ikulu. Anachokifanya ni kujiosha ili ionekane hakuwa pamoja na JPM.
Kama JPM alikuwa wa hovyo Basi hata huyu ni walewale, anaenda kuharibu zaidi.
Tunatumia katiba inayoegemea busara za kiongozi mmoja badala ya Sheria halisi.
Kutoka hatua moja (down) kwenda hatua nyingine (up) ndio kunyanyua/Kupandisha, sasa kama uchumi ni wa kati, kwani hatuhitaji uchumi wa Juu? Kina Hence wahoji vitu vya msingi ebooo!!"Kwa kauli hizi ameondoa kina Sabaya wachache wa Magufuli anaweka kina Sabaya wake, soon utekaji, mauji na utesaji wa watu utaanza.hivi nchi ambayo wewe ukiwa makamu wa rais mlisema mmeinua uchumi na kupeleka uchumi wa kati lini tena umeanguka mpaka unataka kuuinua? Heshimu katiba"-John Heche
Haumwi ni shida tu kwani hata uwezo wa ku dry clean suti zake umepungua sana-- kukosa ubunge si jambo rahisiHeche amepona lini ugonjwa wa akili?
Heche ni mzima kabisa,,sema wanatumika na maajenti wa CIA kuvuruga nchi,,syria style,,wanajua kabisa hata mchakato wa katiba uanze upya,mwisho wataishia kuweka mpira kwapani,sababu hawana majority ya kupitisha katiba waitakayo,wao wanaombea serikali iendelee kukataa ili wapate sababu za kuanzisha maandamano na harakati zingine,Heche amepona lini ugonjwa wa akili?
Unamwaga damu ya nani?Hili kundi la wezi CCM wanakoelekea ni damu tu kumwagika. BILA HIVYO HATUTAELEWANA.
Mkuu ni wewe huyu???Toa CCM madarakani, Haina jipya mnaomshangilia the so called MAMA mtamkana soon!
Katiba mpya haiwezi kuzuia marekebisho anayoyafanya Mh. Rais katika kuujenga uchumi waliouharibu yeye na jiwe. Huyu huyu alidai kuwa hata wananchi wasipowapa CCM kura za kutosha watarudi ikulu. Anachokifanya ni kujiosha ili ionekane hakuwa pamoja na JPM.
Kama JPM alikuwa wa hovyo Basi hata huyu ni walewale, anaenda kuharibu zaidi.
Tunatumia katiba inayoegemea busara za kiongozi mmoja badala ya Sheria halisi.
Unaandika hivi ukiwa nyuma ya keeyboard huku umefunga milango kwa hofu kuu
Heche ni mzima kabisa,,sema wanatumika na maajenti wa CIA kuvuruga nchi,,syria style,,wanajua kabisa hata mchakato wa katiba uanze upya,mwisho wataishia kuweka mpira kwapani,sababu hawana majority ya kupitisha katiba waitakayo,wao wanaombea serikali iendelee kukataa ili wapate sababu za kuanzisha maandamano na harakati zingine,
Kama watakamatwa,wao ndo wanazidi kupata dola za kimarekani na kujipatia umaarufu,,
Jiulize tu, pesa za kuendesha chama zinatoka wapi na hawachukui ruzuku?
Jibu ni,majasusi wa nje ndio wanafund harakati zao,,
That is why JPM alikuaga chonjo sana kwenye transactions za pesa maana huko ndo zilipitia pesa za kufund harakati,,
Kwasasa waangalie sana foreign embassies,,itakuwa kuna watu wanaendaga kuvuta mipunga ya kufund haya mambo,,
Huwezi kuendesha chama bila pesa,,hawa wanapata pesa toka wapi wakati wamekataa ruzuku,?
Money laundry loading
MUMUWEKE NANI HUYU CHIZI WA CHADEMA MBOWE ALIYEPATA ZERO FORM SIX AU MWINGINE?