Heche ni mzima kabisa,,sema wanatumika na maajenti wa CIA kuvuruga nchi,,syria style,,wanajua kabisa hata mchakato wa katiba uanze upya,mwisho wataishia kuweka mpira kwapani,sababu hawana majority ya kupitisha katiba waitakayo,wao wanaombea serikali iendelee kukataa ili wapate sababu za kuanzisha maandamano na harakati zingine,
Kama watakamatwa,wao ndo wanazidi kupata dola za kimarekani na kujipatia umaarufu,,
Jiulize tu, pesa za kuendesha chama zinatoka wapi na hawachukui ruzuku?
Jibu ni,majasusi wa nje ndio wanafund harakati zao,,
That is why JPM alikuaga chonjo sana kwenye transactions za pesa maana huko ndo zilipitia pesa za kufund harakati,,
Kwasasa waangalie sana foreign embassies,,itakuwa kuna watu wanaendaga kuvuta mipunga ya kufund haya mambo,,
Huwezi kuendesha chama bila pesa,,hawa wanapata pesa toka wapi wakati wamekataa ruzuku,?
Money laundry loading