eeeeheeeeh naona katika hili vijeba a.k.a wababe mnakuja juuu ile mbaya ila nyie kutoka nje ya ndo mnashabikia sana,
by da way acha wadada wafanye vituko.......maana kizazi cha kuoa kilisha kufa kikatoweka kabisa duniani.
:nono::nono::nono::nono::nono:
Ndugu yangu sijui mimba unaichukuliaje kwa mtazamo wako hadi unafanya ni njia sahihi ya kumkomoa msichana wako. Nijuavyo mimi mimba si kitu cha kuchezea unavyofikiria, tambua hapa unazungumzia mtoto wako(DAMU YAKO). NAONAMWENZETU UNAWAFURAHIA WATOTO WA MITAANI WANAVYOPATA SHIDA, HEBU FIKIRIA KAMA BABA YAKO ANGEKUFANYA FIMBO YA KUMUADHIBU MPENZI WAKE WA ZAMANI UNGEJISIKIAJE LEO UKIHADITHIWA.
Naamini ukiwa mmoja wa WANAJF wewe ni mtu mwelewa, msomi. lakini nasikitika kuwa pamoja na uelewa wako unapost kitu kama hiki SHAME ON YOU.