Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,305
eeeeheeeeh naona katika hili vijeba a.k.a wababe mnakuja juuu ile mbaya ila nyie kutoka nje ya ndo mnashabikia sana,
by da way acha wadada wafanye vituko.......maana kizazi cha kuoa kilisha kufa kikatoweka kabisa duniani.
na kizaz cha kuoa KIMEKUFA KABISA APA DUNIAN