pingli-nywee JF-Expert Member Joined Sep 16, 2015 Posts 11,923 Reaction score 13,350 Dec 20, 2017 #41 kejof2 said: Huku salama kabisa kaka Click to expand... Mungu ni mwema mkuu. Siku nyingi hujaonekana ukitema povu huku, bila mchezo kama ilivo kawaida yako jombaa. Hehe. 😀
kejof2 said: Huku salama kabisa kaka Click to expand... Mungu ni mwema mkuu. Siku nyingi hujaonekana ukitema povu huku, bila mchezo kama ilivo kawaida yako jombaa. Hehe. 😀
Naby Keita JF-Expert Member Joined Oct 20, 2011 Posts 12,893 Reaction score 20,089 Dec 20, 2017 #42 pingli-nywee said: Mungu ni mwema mkuu. Siku nyingi hujaonekana ukitema povu huku, bila mchezo kama ilivo kawaida yako jombaa. Hehe. 😀 Click to expand... Nsije waongezea stress tu . hali zenu tu huko za kuwaonea huruma
pingli-nywee said: Mungu ni mwema mkuu. Siku nyingi hujaonekana ukitema povu huku, bila mchezo kama ilivo kawaida yako jombaa. Hehe. 😀 Click to expand... Nsije waongezea stress tu . hali zenu tu huko za kuwaonea huruma
mzalendoalltz JF-Expert Member Joined Mar 25, 2015 Posts 828 Reaction score 709 Dec 25, 2017 #43 MK254 said: Tatizo ukiwa na mapungufu ya nguvu za kiume huwezi kuona chochote kizuri kwa mwanamke, unaanza vijisababu vya kulaumu unene, mara kazeeka mara hiki mara kile mara miguu mara mikono. Click to expand... Umejuaje kama mtu Akiwa na mapungufu ya nguvu za kiume Hana chochote? Yawezekana ukawa una tatizo hilo.
MK254 said: Tatizo ukiwa na mapungufu ya nguvu za kiume huwezi kuona chochote kizuri kwa mwanamke, unaanza vijisababu vya kulaumu unene, mara kazeeka mara hiki mara kile mara miguu mara mikono. Click to expand... Umejuaje kama mtu Akiwa na mapungufu ya nguvu za kiume Hana chochote? Yawezekana ukawa una tatizo hilo.
MK254 JF-Expert Member Joined May 11, 2013 Posts 32,408 Reaction score 50,809 Dec 25, 2017 Thread starter #44 mzalendoalltz said: Umejuaje kama mtu Akiwa na mapungufu ya nguvu za kiume Hana chochote? Yawezekana ukawa una tatizo hilo. Click to expand... Sizitaki mbichi hizi.... kafanye utafiti wa huu msemo, hapo utajua kwanini mna hulka ya kuwaponda wanawake.
mzalendoalltz said: Umejuaje kama mtu Akiwa na mapungufu ya nguvu za kiume Hana chochote? Yawezekana ukawa una tatizo hilo. Click to expand... Sizitaki mbichi hizi.... kafanye utafiti wa huu msemo, hapo utajua kwanini mna hulka ya kuwaponda wanawake.