MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Kuna hii channel huwa kwenye Youtube inaitwa Bamba live, jamaa huzunguka mitaani Bongo akiuliza uliza maswali ya kawaida, yaani majibu ambayo huwatoka Watanzania yanachekesha hadi unahisi wengi wao wanafaa kuwa kule Mirembe wakipata matibabu ya akili.
Eti Afrika ni nchi ambayo iko ndani ya Tanzania, mara Diamond Platinum aliimba wimbo wa taifa mwaka wa 1960, mwengine eti nchi ya Kenya iko Tanga.
Ni wazi wanasiasa wa Tanzania hutumia hili la Watanzania kutokujua mambo kama mtaji wa kisiasa, maana kwa hali hii, itachukua muda sana kwa watu kuwa kwenye level ya kuhoji chochote.
Eti Afrika ni nchi ambayo iko ndani ya Tanzania, mara Diamond Platinum aliimba wimbo wa taifa mwaka wa 1960, mwengine eti nchi ya Kenya iko Tanga.
Ni wazi wanasiasa wa Tanzania hutumia hili la Watanzania kutokujua mambo kama mtaji wa kisiasa, maana kwa hali hii, itachukua muda sana kwa watu kuwa kwenye level ya kuhoji chochote.