Heka Hela za machimboni: Hizi ndizo sifa za Hoteli (migahawa) ya masankuloni ukiwa machimboni

Heka Hela za machimboni: Hizi ndizo sifa za Hoteli (migahawa) ya masankuloni ukiwa machimboni

Wanaumoja sana utafikiri wote wametoka sehemu Moja mwenzao akifa au kupata ajari watajichanga chap mno huku wakitafuta ndg zake Kwa gharama yoyote ile.
Hakika Kuna chimbo moja nilifika, siku kadhaa Kuna duara ikafukia watu aiseeeeh ilipulizwa filimbi watu wakafika chap Tena wako shap haswa
 
Ukimruhusu mkeo (girlfriend wako) kwenda kupiga mishe machimboni iwe ,(mamalishe,mpesa,biashara).tambua inaenda kua chakula ya machimboni.

Nakumbuka kuna manzi,ilikuja kununua mawe ya dhahabu(semekana),kama mtaji wa m3.

Alipo peleka kusaga akaambulia laki4.kesho yake akamilikiwa na mchimbaji.kwani mtaji umekatika akifikilia kula kulala vyote vinahitaji pesa.alisahau alipo fika watu walimtongoza alikuwa anajibu(jeuri) ye ni mke wa mtu.
 
Hakika Kuna chimbo moja nilifika, siku kadhaa Kuna duara ikafukia watu aiseeeeh ilipulizwa filimbi watu wakafika chap Tena wako shap haswa
Ndo uzuri wa kule wewe hata huna ramani ukifika kule jichangamye na Wana tu kama kuelewa utalewa na kama una nguvu kazi hukoswi hata ya kuponda hayo mawe wanayochimba
 
Ukimruhusu mkeo (girlfriend wako) kwenda kupiga mishe machimboni iwe ,(mamalishe,mpesa,biashara).tambua inaenda kua chakula ya machimboni.

Nakumbuka kuna manzi,ilikuja kununua mawe ya dhahabu(semekana),kama mtaji wa m3.

Alipo peleka kusaga akaambulia laki4.kesho yake akamilikiwa na mchimbaji.kwani mtaji umekatika akifikilia kula kulala vyote vinahitaji pesa.alisahau alipo fika watu walimtongoza alikuwa anajibu(jeuri) ye ni mke wa mtu.
Kule kwenye mawe usipokuwa mwenyeji Los ni ya kufikia tu.

Halafu huko wake za watu sidhani hata 3% inafika. Hata kama una maisha magumu Kaisi Gani mke wako usimruhusu aende huko chimbo ataliwa tu akiwa mgumu anabakwa kabisa
 
Nipe connection mkuu nikajilipue na mm
Mkuu huku njoo na mtaji kidogo tu kwanza uzoee Hali ya huku bara kwanza. Inshort ukwasi upo huko machimboni inategemea unajikita kwenye biashara Gani.

Ukiwa na sola panel kubwa utachaji sana simu sana.

Mimi Kwa sasa sipo huko mkuu ila Huwa likitokea Huwa naenda maana najua Kuna Hela za chap chap kule
 
Story nzuri sana hii 👏


Umenishwmawishi huu mwaka kabla haujaisha ntembelee Machimbo, Kama survey .
 
Mkuu huku njoo na mtaji kidogo tu kwanza uzoee Hali ya huku bara kwanza. Inshort ukwasi upo huko machimboni inategemea unajikita kwenye biashara Gani.

Ukiwa na sola panel kubwa utachaji sana simu sana.

Mimi Kwa sasa sipo huko mkuu ila Huwa likitokea Huwa naenda maana najua Kuna Hela za chap chap kule
Sola panel sio?
 
Itumbi center kuna lodge za hadi 50k , na za 3k zipo
Sasa wewe unaongelea Itumbi ambapo kuna mpaka makampuni ya uchimbaji kama Apex Resources. Wenzako wanaongelea sehemu za uchimbaji mdogo ukisikia "Kuna mlio" watu shazi, mwenye fonka, mwenye koleo, mwenye nyundo wanakutana eneo paliporipuka.
 
Nilikuwa na ndugu yangu mmoja mwehumwehu, yeye alikuwa anauza mercury machimboni
Anatembea na mercury kwenye begi lake,
Siku moja kafika nyumbani, nimefumgungulia mlango, akanipa begi lake nimpeleee ndani
Duuh, ilibidi kufika mbele nilivurute, zito kinoma, ndio kumuuliza anacheka akanitolea vichupa vimejaa mercury Asee ndio siku ya kwanza najua mercury ni nini kipindi niko shule ya miaka ya 80 huko.......
 
Back
Top Bottom