Hekaheka Uzeeni

JBourne59 Ushauri mjarabu sana huu. Much respect bro. Kazi nzuri
Heka heka yako ni ya kipekee, walikufundisha kilimo cha umwagiliaji kwa njia za kisasa. Ukawaozesha baada ya kufanikiwa.
 
,Nakadori my
 
Mkuu JBourne59 kilichobaki tunaomba darasa la kilimo cha umwagiliaji maana Ni muhimu sana ,ni changamoto sana kutegemea mvua
Pitieni uzi huu

Japo wengi wanasema zitafutwe fedha, maji yatapatikana tu...

Lakini someni utangulizi wake vizuri.

Muhimu: Hakikisha juhudi za kumwagilia shamba liwe lako kihalali.

Sintohusika na matumizi mabaya katika elimu niliyotoa.

 
Barikiwa sana mkuu
 
Analyse Half american IamBrianLeeSnr KatKit Johnnie Walker Antonnia baby zu Dejane Numbisa Watching

Hii imeisha pitieni story za huyu mzee ziko bomba sana na nimwandishi mzuri sana. .

Mngeanzia huku kwanza hamtijutia
 
Yeah mwamba yuko poa sana!
Kuna ile yake ya Hamida niliianza sijaimaliza!
Ile story alishamaliza. Fanya uimalize uandishi yuko vizuri sana havlboi kabisa
 
Shukrani sana mkuu ngoja niipitie
 
Pamoja sana.. Gily ingawa hii nilisha pita nayo...Barikiwa sana.
 
Nitarud baadae mkuu shukrani
 
Duh sawa nikiwa na mda nitapitia zote kwa amri yako
 
Nilikuwa nataka nijifunze nini wasomaji wa JF wanapenda

Nimegundua kuwa hawapendi stori ndefu

Pia nimegunduwa huwa wana enjoy eposode 1 kila wiki labda

Pia nadhani huwa wanapenda sogozi baina ya episode na episode

Season II tutaenda sawa.
Yaani ungefanya episodes ndio ungeambulia matusi zaidi. Simulizi yako kali na inafunza,na ulivyoamua kutususia yote mpk imeisha imekuwa vzr sana. Sehemu nyingi ulizozitaja nimekaa/nazijua hivyo kunipaa ladha ya kipekee sana,imenikumbusha kukumbukumbu njema. Hongera
 
Huwa nafurahi sana nikipata mirejesho kama hii.
 
Huwa nafurahi sana nikipata mirejesho kama hii.
Pale kinampanda mission ulipofikia wakati unaenda middle school tabora...ndo nyumbani. Nimepata kipaimara pale usharika wa kkkt kinampanda...nimesoma Tumaini secondari...Nduguti...nkalakala.....gumanga.....msingi...kote nimepita..napafahamu. sikufika ibaga,chemchem na mkalama tu...japo babu yangu na bibi waliwahi kuwa walimu pale Mkalama primary. Pia babu yangu upande mwingine...ambaye kwa kabila alikua Mtaturu pure kama ww, Mr. Haama...aliwahi kuwa mwl pale Chemchem primary. Maeneo mengi ktk story yako ya Hamida..hasa kule singida nayajua...na hata ruti ya treni itigi tabora...nimeruka nayo mara kadhaa...nimeisoma story yote ya hamida kwa siku 2 tu...iliniteka...nilijihisi niko ndani ya stori. Vionjo vya lugha yangu...kinyiramba...ni moja ya vitu nimefurahia..." UYU MWELU PEE"....( sista ako akimwelezea mchumbako Hamida) Hahaaaaa...salute mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…