Hekaheka Uzeeni

Kinyiramba hiki,duh
Mkuu wewe wa Singapore!?
Yes, mimi ni Mtaturu.

Ukitaka kujua zaidi pitia uzi huu


 
Mzee j.bourne ww ni jembe sana.Mungu azidi kukubariki mkuu.unayazungumziaje maisha ya kustaafu utumishi wa umma kiujumla je kuna mambo unayojutia ambayo kwasasa as a retired offecer unacho cha kutushauri sie ambao bado tuko makazini ili tuweke tahadhari????!!!nawasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umemaliza kila kitu UVUMILIVU NA UTULIVU KWELI NI TUNDA LA KHERI
 
Ushauri Kwa watumishi / waajiriwa:-

Anza kustaafu ukiwa bado kazini.

Yaani jizoeshe maisha ya mtaani kana kwamba vile tayari umeshastaafu.

Anzisha mradi hata mdogo Kwa kukuingizia kipato japo kidogo.

Kuza huo mradi hadi uweze kukuendeshea maisha ya kawaida ya kila siku.

Ishi vizuri na mwenza wako sasa ili siku za usoni usijutie.

Kazini ulipoajiriwa fanya kazi Kwa bidii bila kutegea ili ari hiyo ihamie kwenye mradi (miradi yako)

Usimuonee mtu yoyote wala kumdharau yoyote kinyume chake tenda haki.

Furahia maisha muda wote na punguza "makasiriko"

Linda afya yako maana ni mtaji mzuri sana.

Kila la heri.

Benbulugu
 
Shukran sana mkuu ushauri mwanana sana huu ingawa Mimi sijaajiriwa
 
Nimeuchukua.
 
Usimuliaji una bore. Unataka kuchangamsha kwa kuweka weka maneno ambayo mwishowe yanaishia kuchosha msomaji. Na nimeshangaa sababu wewe umesema ni mstaafu sasa unaandikaje kama kijana wa miaka 20.utoto utoto mwingi na maneno meeeeeeengi yasiyo na tija. Ungesimulia tu bila kutaka kunogesha ingependeza sana.... Maneno kama kilimo cha umwagiliaji n.k ni useless hayana maana kwa mtu mzima ambaye unataka simulizi yako ionekane ni ya kweli.
 
Sasa ndio uandike kwa kukoza wino..!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Nilimjibu na kuongea naye mawili matatu, mara Hamida akaingia na kukaa jirani huku akisikiliza. Ila nyie wanawake, Mungu anawaona. Muda wote mko na hisia hisia tu. ‘Anyway’ (siyo ‘anyways’), ndivyo jinsi mlivyoumbwa


Lakini si ulimchakata janeth mkuu..!!...ndio maana alipokuhisi alipita mle mle

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Kuongeza chumvi kidogo ama maji kiasi kwenye baadhi ya sehemu ni kwa ajili ya kuleta ladha aitakayo msimuliaji...

Msimuliaji hatarajii simulizi au aina ya usimuliaji imfurahishe kila mtu...

Wachache watakao furahia inatosha, anaye inaona 'inamboa' msimuliaji hana namna ya kumsaidia...

Narudia kusema kuwa ninyi vijana msidhani kuwa watu wazima hawajui lugha za vijana, tena watu wazima wenyewe waliohadhiri utandawazi na kitembea kwingi...

Msimuliaji anajuwa hadhira anayoisimulia, hivyo si vibaya akileta katika lugha ambayo hadhira hiyo itaielewa haraka na kufurahia...

JF ni moja ya sehemu ninapoondolea stress, acha tufurahie maisha Chizi Maarifa
 
Hata usihangaike nae. Mtu anajiita Chizi, unategemea ataongea cha maana?

Anyway, it's been a while mzee. Dondosha kitu vijana tupate mawili matatu ya kujifunza!
 
Hata usihangaike nae. Mtu anajiita Chizi, unategemea ataongea cha maana?

Anyway, it's been a while mzee. Dondosha kitu vijana tupate mawili matatu ya kujifunza!
Burudika na hii

 
Wanawake wana hisia kali sana. Kuna mambo wanaweza kuona ambayo sisi wanaume tusione kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…