Hekaheka Uzeeni

Simulizi murua hasa..
Big up mleta mada
 
Nimemaliza kusoma yote mkuu, hakika story ni tamu sana, hua napenda sana vituko vya wakongo...
Kuna safari Moja nilienda Kahama kutoka Dar na kwenye siti nilikaa na Mama wa Kikongo aisee nilijifunza vingi sana...
 
Ushawahi kuwaza kurudi kwenye Ukristo?
Hapana

Watawala za zamani kwa ulafi wa madaraka wametugawa pasipo sababu

Mwenyezi Mungu ni mmoja,
Mitume na manabii wake ni walewale

(Siongelei hawa wa mwendo kasi)

Muhimu ni kumcha Mungu katika ukweli wa kumcha.

Migawanyiko iliyotokea haikupeleki popote kama siyo mcha Mungu.
 
Picha ni kwa hisani ya google, hazina uhusiano wa moja kwa moja na simulizi wala majina katika hizo picha si yenyewe.
Ni bora umesema ukweli,sio Mzee wa Khumbu konda Msafi alivyotupiga kamba ila wabongo wakamuumbua mapema sana kabla jogoo hajawika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…