elezea wadau kwa kina kifupi kidogo gentleman, kuhusu hilo..Wakati ule wa maandamano ya Chadema ulikuwa upande ule wa barabara, sasa uko upande huu wa barabara, eti?
Mbowe akifanya hivyo hizo ni dalili za rushwa kuanza ku mobileze wajumbeHakuna haja wala sababu ya maana au ya msingi hata moja kwa Freeman Mbowe kupoteza muda wake na kushiriki midahalo ambayo ni wazi ina ushari ndani yake, na isiyo na tija wala maana yoyote, badala yake aelekeze nguvu na jitihada zake za kisiasa kucosolidate strong holds zake za wajumbe na kumobilize wajumbe wa mkutano mkuu Taifa, na kujipanga nao vizuri ili hatimae kujihakikishia ushindi wa uhakika, wa kishindo kwa uhuru, haki na uwazi.
Zaidi sana,
Ajiandae na maandalizi mengine muhimu mathalani, ya kuweka vipaumbele vya mambo muhimu ambayo atayaweka wazi mkutanoni, siku ya kujieleza wakati wa kuomba kura, mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, ambao ndio waamuzi wa mwisho wa nani awe kiongozi wa Chadema Taifa.
My friends ladies and gentlemen, Je,
mdahalo huo unaopendekezwa una faida gani hasa, na ni kwa maslahi ya nani, wakati wagombea wana nafasi na fursa ya kujieleza kikamilifu mbele ya wajumbe zaidi ya 1000, wa mkutano mkuu wa chadema Taifa siku ya uchaguzi?
mbona kama kuna dalili za kishirikina? mnataka kumroga chairman ee, au kufurahisha mabenyenye ya magharibi yanayomfadhili Kibaraka?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
😂😂 hata mimi nilitaka kuandika hivo hivoUmeandika kile ambacho nilitaka kuandika
kwamba kutokushiriki mdahalo kutamfanya asiwe mwamba wa kaskazini, right?🤣Si anajiamini na kujiita mwamba? Aende kwenye mdahalo akagagaragazwe na lissu kama jinsi tramp alivyomgaragaza biden mpaka ikabidi ashauriwe asigombee tena urais. Naye mbowe akigaragazwa atashauriwa ajitoe kugombea tena uenyekiti
Sina shida na Wana CCM kukwepa midahalo. Inawezekana wana sababu zao za aidha woga au kutojiamini. Lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa watu wengine au vyama vingine visifanye midahalo. Chadema sio chama kikubwa kuliko Republican ya Marekani. Wao walianza midahalo ndani ya chama ili kumpata atakayegombea kupitia chama chao. Tuache uoga ndugu!aingie kwenye mdahalo ili iweje?
nini hasa dhima ya huo mdahalo wa jumla?
wagombea uongozi wa chadema wana nafasi na fursa ya kujieleza na kuwashawishi wajumbe wa mkutano mkuu Taifa ili hatimae wapigiwe kura na hatimae kupimana nguvu kwenye sanduku la kura.
huo mdahalo unalenga nini au matokeo yake ni nini?
kujifurahisha?
au kufurahisha mabenyenye ya ya Magharibi?🐒
Gentleman,Kukimbia mdahalo ni udhaifu wa Kiongozi asiyejiamini na anayeng'ang'ana madarakani wakati anaowaongoza wamamchoka.
Kwa hiyo, kitendo chochote cha Mbowe kukimbia mdahalo ni kuitangazia Dunia kuwa hana uwezo tena wa kuongoza chama.
Huko mbeleni tutakuwa na mdahalo kati ya Mwenyekiti wa CCM Taifa na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, sasa kama atakimbia hata mdahalo tu wa ndani ya chama, atawezaje kufanya mdahalo na CCM?
Lazima Mbowe aingie kwenye mdahalo, msianze kumkingia kifua sasa. Tena Mbowe asilete visingizio vyovyote ili kukwepa mdahalo.
Chadema ilishajifia, marehemu hua anajadiliwa tu ndio maana hata wewe umemtaja marehemu Magufuli.Kamuulize marehemu wenu chato aliyeahidi kuiuwa chadema mtaota sana na msipoandaa mafungu ya polisi kuwalipa ili muwatumie kama trash mtalia kilio hata wa kuwanyamazisha hatakuwepo by the way endelea kuota kuwa chadema imekufa huku unaijadili.
Pale wapiganiaji mdahalu wanapoona midahalo ni Adui kwa ni kichekesho mbonaHakuna haja wala sababu ya maana au ya msingi hata moja kwa Freeman Mbowe kupoteza muda wake na kushiriki midahalo ambayo ni wazi ina ushari ndani yake, na isiyo na tija wala maana yoyote, badala yake aelekeze nguvu na jitihada zake za kisiasa kucosolidate strong holds zake za wajumbe na kumobilize wajumbe wa mkutano mkuu Taifa, na kujipanga nao vizuri ili hatimae kujihakikishia ushindi wa uhakika, wa kishindo kwa uhuru, haki na uwazi.
Zaidi sana,
Ajiandae na maandalizi mengine muhimu mathalani, ya kuweka vipaumbele vya mambo muhimu ambayo atayaweka wazi mkutanoni, siku ya kujieleza wakati wa kuomba kura, mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, ambao ndio waamuzi wa mwisho wa nani awe kiongozi wa Chadema Taifa.
My friends ladies and gentlemen, Je,
mdahalo huo unaopendekezwa una faida gani hasa, na ni kwa maslahi ya nani, wakati wagombea wana nafasi na fursa ya kujieleza kikamilifu mbele ya wajumbe zaidi ya 1000, wa mkutano mkuu wa chadema Taifa siku ya uchaguzi?
mbona kama kuna dalili za kishirikina? mnataka kumroga chairman ee, au kufurahisha mabenyenye ya magharibi yanayomfadhili Kibaraka?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Ungeacha wenye akili Timamu wajadili hoja.Mbowe hawez kusikiliza ushauri wa mapumbavu ya ccm na kizmkazi maana sio mpumbavu 🪛🪛🪛🪛
Gentleman,Sina shida na Wana CCM kukwepa midahalo. Inawezekana wana sababu zao za aidha woga au kutojiamini. Lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa watu wengine au vyama vingine visifanye midahalo. Chadema sio chama kikubwa kuliko Republican ya Marekani. Wao walianza midahalo ndani ya chama ili kumpata atakayegombea kupitia chama chao. Tuache uoga ndugu!
Sipati picha apa lissu anapeleke mashambulizi pale yupo MWABUKUSI mbna ccm watakoma!? tupate wap watu kama Hawa!?Nilichojifunza kwenye huu uzi wako;
1:Mbowe hana hoja na hawezi akajenga hoja kumzidi Lissu
2:CCM mnamuogopa sana Lissu na mnaomba usiku na mchana FAM ashinde ili muweze kumuendesha………Mnajua kabisa akiingia Simba TAL yeye ndiye atawaendesha na atawapelekea moto vibaya sana
3:Ni utaratibu wa kiongozi dhaifu kukimbia midahalo,unahisi wapiga kura wa “Mwamba tuvushe” atawapatia wapi ikiwa hataki hoja zake ziwe public!??
4:Nchi inamuhitaji Lissu kuliko Lissu anavyo ihitaji Nchi/CHADEMA
Tulia dawa ikuingie taratibu wewe Chawa na hapo bado,safari hii mtaomba TAL apotee kabisa hapa duniani na yeye anafahamu hilo coz hana cha kupoteza
Gentleman,Mbowe akifanya hivyo hizo ni dalili za rushwa kuanza ku mobileze wajumbe
Yeye ni Mwamba kama mnavyompamba. Kwa nini kwenye issue ya mdahalo mnakuwa wapole na mnaandaa mazingira ya kukimbia?Gentleman,
anakimbiaje na wakati ni Lazima kwa wakati muafaka, asimame mbele ya wajumbe, ajieleze na kuwashawishi wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema kabla ya kupigiwa kura..
huo mdahalo mnaoupigia chapuo anajieleza nini, kwa nani, na ili kitokee nini? kama sio kupoteza wakati?
asie na uwezo wa kuiongoza Chadema atashindwa na atakataliwa kwa kura kwenye uchaguzi utakaofanyika Jan. 22, 2025.
ni muhimu kutuliza mawenge ndrugu zango 🐒